Ulishawahi kupitia changamoto kama hii?

Tunapigwa. Hiyo chai. Huwa hakuna hadithi za theory kwenye medicine.
Aya Bahn kiongozi maana medicine is all about practical wkt 3yrs exactly ni theory tyu ata wodini unaweza usiingie ata kuchukua vital signs uwezi kama aupo serious
 
Habari za mda huu Wana fj.?
mimi mdogo wenu katik ujenzi wa Taifa lakini pia ni mgeni katika jukwaa Lini nimeandika ivi kuomba ushauri na kujua ni vipi ww ulikabiliana nalo ili tatizo!
Nipo chuo kikuu kwa Jina (naomba niifadhi) nasomea udaktari/MD lakini ivi juzi Kati Kuna mambo yalitokea kiukwel nimekuwa mtu wa mawazo sana kwasababu
nimerudia semister chuoni ila tatizo ni kwamba Kuna daktar ambaye kwa kweli alinifelisha kwenye somo La clinical na kunipa 35% makusudi kabisa ila theory nilikuwa na A ya 85% ila sasa kama mnavotambua kwa masomo yetyu ya afya lazima ufaulu kote at least 50% ndo pass marks. ila daktar uyo alinifelisha pasina kujua tatizo. Changamoto kubwa I nakuj kweny kurudia somo moja (paedtric), kwanza sikubahatika kupata mkopo wala sponsorship, wazazi ndo wananipa support na kwa wale mliopitia chuoni nadhan ugumu mnaujua,
kwa Sasa nimebakiza mwaka mmoja nitimu masomo angu kwa kwelii chuoni najituma kwenye kusoma ata Kuna wakati silali ata masomo mengine almost masomo yangu yote Nina A na sijawahi kupata C tangu niingie chuoni kabisa yaan ,
Sasa nimeamua kurudia ivo kwa kuwa mpini kashika yeye na mm makali lazima niumie. Nikijifanya niko juu au Kuja juu nitaumia mm na still na malengo makubwa.
kinachonipa matumaini nikuwa principal wa chuo aliona matokea angu nakuzungumzia swala Hilo nakunipa pole ila kaniahidi kuwa atalisimamia next exam clinical isitokee hivo.,
maana Kuna uwonevu ndani ake maana walijadiliana wenyewe maana clinical exam kufel ni ngumu sana.
Swali langu ni je ww ulishawahi kukutana na changamoto kama hii na nini mwisho wake ilikuwa je ?
Samahanini lakini kwa uwandishi mpovu, mtanisamehe kwa hilo
niwatakie ujenzi mwema ktk Taifa.
Jinsi yako ni ipi?maana kama we ni mwanamke ujue anataka rushwa ya ngono kama ni hivyo tumkatishe afukuzwe kazi
 
Aya Bahn kiongozi maana medicine is all about practical wkt 3yrs exactly ni theory tyu ata wodini unaweza usiingie ata kuchukua vital signs uwezi kama aupo serious
Wapi huko 3 years MD umesoma theory tu?

Ndo maana nimekuambia kama ni ndoto yako kuwa MD komaa utoke hapo ulipo usogee.
 
Wapi huko 3 years MD umesoma theory tu?

Ndo maana nimekuambia kama ni ndoto yako kuwa MD komaa utoke hapo ulipo usogee.
Aya double R ila tofautisha clinicals na kwenda kucheza na kadava( kpnd cha anatomy en physiology)
 
Habari za mda huu Wana JF,

Mimi mdogo wenu katika ujenzi wa Taifa lakini pia ni mgeni katika jukwaa Lini nimeandika ivi kuomba ushauri na kujua ni vipi ww ulikabiliana nalo ili tatizo!

Nipo chuo kikuu kwa Jina (naomba niifadhi) nasomea udaktari/MD lakini ivi juzi Kati Kuna mambo yalitokea kiukwel nimekuwa mtu wa mawazo sana kwasababu

Nimerudia semister chuoni ila tatizo ni kwamba Kuna daktar ambaye kwa kweli alinifelisha kwenye somo La clinical na kunipa 35% makusudi kabisa ila theory nilikuwa na A ya 85% ila sasa kama mnavotambua kwa masomo yetyu ya afya lazima ufaulu kote at least 50% ndo pass marks.

Ila daktar uyo alinifelisha pasina kujua tatizo. Changamoto kubwa I nakuj kweny kurudia somo moja (paedtric), kwanza sikubahatika kupata mkopo wala sponsorship, wazazi ndo wananipa support na kwa wale mliopitia chuoni nadhan ugumu mnaujua.

Kwa sasa nimebakiza mwaka mmoja nitimu masomo angu kwa kwelii chuoni najituma kwenye kusoma ata Kuna wakati silali ata masomo mengine almost masomo yangu yote Nina A na sijawahi kupata C tangu niingie chuoni kabisa yaani.

Sasa nimeamua kurudia ivo kwa kuwa mpini kashika yeye na mm makali lazima niumie. Nikijifanya niko juu au Kuja juu nitaumia mm na still na malengo makubwa.

Kinachonipa matumaini nikuwa principal wa chuo aliona matokea angu nakuzungumzia swala Hilo nakunipa pole ila kaniahidi kuwa atalisimamia next exam clinical isitokee hivo.

Maana kuna uwonevu ndani ake maana walijadiliana wenyewe maana clinical exam kufel ni ngumu sana.

Swali langu ni je ww ulishawahi kukutana na changamoto kama hii na nini mwisho wake ilikuwa je ?

Samahanini lakini kwa uwandishi mpovu, mtanisamehe kwa hilo niwatakie ujenzi mwema ktk Taifa.
kasomo kamoja tu tena paediatric??? Hauko serious.

Chuo gani kwanza. Kampala ndo wana tabia hiyo...
 
Kwa huu mwandiko tatizo si uandishi mbaya au mzuri tatizo unaandika kama mtoto wa form 2 xxxxxx nyingi. Andika upya ndio utapewa ushauri
msiwe vibwanyenye maandishi ya madaktari ndo yalivo afadhali mmeelewa na mmejibu.

Wengine duuuu!!! Utakaa chini....huambuliii kitu. sijui mara
tds.
qid
ante cibos
4/7
Kekundu
Keupe
Nyie watu
mnayajua haya?
 
msiwe vibwanyenye maandishi ya madaktari ndo yalivo afadhali mmeelewa na mmejibu.

Wengine duuuu!!! Utakaa chini....huambuliii kitu. sijui mara
tds.
qid
ante cibos
4/7
Kekundu
Keupe
Nyie watu
mnayajua haya?
Hata sisi wengine tuna rejesta zetu kwenye kazi zetu ila haituzuii kuandika Kiswahili fasaha pale inapohitajika.
 
Back
Top Bottom