Jinsi yako ni ipi?maana kama we ni mwanamke ujue anataka rushwa ya ngono kama ni hivyo tumkatishe afukuzwe kaziHabari za mda huu Wana fj.?
mimi mdogo wenu katik ujenzi wa Taifa lakini pia ni mgeni katika jukwaa Lini nimeandika ivi kuomba ushauri na kujua ni vipi ww ulikabiliana nalo ili tatizo!
Nipo chuo kikuu kwa Jina (naomba niifadhi) nasomea udaktari/MD lakini ivi juzi Kati Kuna mambo yalitokea kiukwel nimekuwa mtu wa mawazo sana kwasababu
nimerudia semister chuoni ila tatizo ni kwamba Kuna daktar ambaye kwa kweli alinifelisha kwenye somo La clinical na kunipa 35% makusudi kabisa ila theory nilikuwa na A ya 85% ila sasa kama mnavotambua kwa masomo yetyu ya afya lazima ufaulu kote at least 50% ndo pass marks. ila daktar uyo alinifelisha pasina kujua tatizo. Changamoto kubwa I nakuj kweny kurudia somo moja (paedtric), kwanza sikubahatika kupata mkopo wala sponsorship, wazazi ndo wananipa support na kwa wale mliopitia chuoni nadhan ugumu mnaujua,
kwa Sasa nimebakiza mwaka mmoja nitimu masomo angu kwa kwelii chuoni najituma kwenye kusoma ata Kuna wakati silali ata masomo mengine almost masomo yangu yote Nina A na sijawahi kupata C tangu niingie chuoni kabisa yaan ,
Sasa nimeamua kurudia ivo kwa kuwa mpini kashika yeye na mm makali lazima niumie. Nikijifanya niko juu au Kuja juu nitaumia mm na still na malengo makubwa.
kinachonipa matumaini nikuwa principal wa chuo aliona matokea angu nakuzungumzia swala Hilo nakunipa pole ila kaniahidi kuwa atalisimamia next exam clinical isitokee hivo.,
maana Kuna uwonevu ndani ake maana walijadiliana wenyewe maana clinical exam kufel ni ngumu sana.
Swali langu ni je ww ulishawahi kukutana na changamoto kama hii na nini mwisho wake ilikuwa je ?
Samahanini lakini kwa uwandishi mpovu, mtanisamehe kwa hilo
niwatakie ujenzi mwema ktk Taifa.
Wapi huko 3 years MD umesoma theory tu?Aya Bahn kiongozi maana medicine is all about practical wkt 3yrs exactly ni theory tyu ata wodini unaweza usiingie ata kuchukua vital signs uwezi kama aupo serious
Msomi gani una uandishi wa kidada hivi?Kwa sisi tunasoma Medicine sijuagi tatizo nini linapokuja swala La kujieleza sorry lkn
Jinsia gani kiongozi?,Wenda tunaweza kukusaidia zaidiAya si kwamba nashindwa kupangilia maneno
Straight?Male
copy ya james deli.Male
kasomo kamoja tu tena paediatric??? Hauko serious.Habari za mda huu Wana JF,
Mimi mdogo wenu katika ujenzi wa Taifa lakini pia ni mgeni katika jukwaa Lini nimeandika ivi kuomba ushauri na kujua ni vipi ww ulikabiliana nalo ili tatizo!
Nipo chuo kikuu kwa Jina (naomba niifadhi) nasomea udaktari/MD lakini ivi juzi Kati Kuna mambo yalitokea kiukwel nimekuwa mtu wa mawazo sana kwasababu
Nimerudia semister chuoni ila tatizo ni kwamba Kuna daktar ambaye kwa kweli alinifelisha kwenye somo La clinical na kunipa 35% makusudi kabisa ila theory nilikuwa na A ya 85% ila sasa kama mnavotambua kwa masomo yetyu ya afya lazima ufaulu kote at least 50% ndo pass marks.
Ila daktar uyo alinifelisha pasina kujua tatizo. Changamoto kubwa I nakuj kweny kurudia somo moja (paedtric), kwanza sikubahatika kupata mkopo wala sponsorship, wazazi ndo wananipa support na kwa wale mliopitia chuoni nadhan ugumu mnaujua.
Kwa sasa nimebakiza mwaka mmoja nitimu masomo angu kwa kwelii chuoni najituma kwenye kusoma ata Kuna wakati silali ata masomo mengine almost masomo yangu yote Nina A na sijawahi kupata C tangu niingie chuoni kabisa yaani.
Sasa nimeamua kurudia ivo kwa kuwa mpini kashika yeye na mm makali lazima niumie. Nikijifanya niko juu au Kuja juu nitaumia mm na still na malengo makubwa.
Kinachonipa matumaini nikuwa principal wa chuo aliona matokea angu nakuzungumzia swala Hilo nakunipa pole ila kaniahidi kuwa atalisimamia next exam clinical isitokee hivo.
Maana kuna uwonevu ndani ake maana walijadiliana wenyewe maana clinical exam kufel ni ngumu sana.
Swali langu ni je ww ulishawahi kukutana na changamoto kama hii na nini mwisho wake ilikuwa je ?
Samahanini lakini kwa uwandishi mpovu, mtanisamehe kwa hilo niwatakie ujenzi mwema ktk Taifa.
msiwe vibwanyenye maandishi ya madaktari ndo yalivo afadhali mmeelewa na mmejibu.Kwa huu mwandiko tatizo si uandishi mbaya au mzuri tatizo unaandika kama mtoto wa form 2 xxxxxx nyingi. Andika upya ndio utapewa ushauri
Hata sisi wengine tuna rejesta zetu kwenye kazi zetu ila haituzuii kuandika Kiswahili fasaha pale inapohitajika.msiwe vibwanyenye maandishi ya madaktari ndo yalivo afadhali mmeelewa na mmejibu.
Wengine duuuu!!! Utakaa chini....huambuliii kitu. sijui mara
tds.
qid
ante cibos
4/7
Kekundu
Keupe
Nyie watu
mnayajua haya?
huta kaa uelewe milekwHata sisi wengine tuna rejesta zetu kwenye kazi zetu ila haituzuii kuandika Kiswahili fasaha pale inapohitajika.
Huko shuleni ndio mnafundishwa kuandika xaxa badala ya sasa...huta kaa uelewe milekw