Pedrz
Member
- Apr 2, 2021
- 75
- 104
- Thread starter
- #41
Hahahaha...sifa wepesiWakati naongea na demu wangu Y kwenye simu nikasikia sauti ya mtu anaimba nikamuuliza huyo nani anaimba akaniambia ni mtoto wa mama ake mdogo nikamwomba niongee nae japo nimsalimie akafanya kosa akampa huyo dogo namba yangu ilituwe tunawasiliana badae nikaja kumega wote