Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,375
- 161,378
Seriously naiomba babaa!Ha ha ha ha ha kwel unaitaka angalia usje ukaanza kukata vitunguu ukishapewa?
Niko na roho ya baba ujue, vitunguu tutakata wote
Seriously naiomba babaa!Ha ha ha ha ha kwel unaitaka angalia usje ukaanza kukata vitunguu ukishapewa?
Hahaha hahaha hahaha hahaha
Mimi kuna demu kaniachaa,Niliwahi na nilichokutana nacho niliapa kuachana na hicho kiherehere kabisaaa maana ilibidi tu niachane nae. Sikuweza tena kumpenda na kila nilikuwa nikimtazama napatwa na hasira.
Ulimuacha?Last week mchepuko wng ulikuja ofcn kwng sasa ukawa unapekuapekua simu yake, badae akanipa niangalie picha ambayo alikua amejipiga afu ameipost Fb, kwaujinga wng bada yakunipa Mimi nikanza kuipekuapekua kwa bahati mbaya nikaona picha ya kijana wakiume nikauliza Darling wng huyu ninani? Duh visa vikanzia hapo, nipe simu yng kwanini unaikagua mara haikuhusu sasa ikabidi ainuke kiti cha wageni aje kunisimamia kwenye meza ya kazi, nlichofanya nlimpa cm yake then nikamuonyesha mlango and that was the end of our relationship, namuonaga tu akiwa online lakini its a week now hakuna cha salaam wala nini
Hahaha udikteta sasa huoNdani ya ndoa ni mtu mmoja ndiye mkuu wa ndoa ambae ni mwanaume, binafsi kwa upande wangu huwa nakagua sana cm ya mke wangu na kupewa maelezo ya kina pale ambapo huenda nimetilia mashaka ila sijampa nafasi ya kukagua cm yangu maana niliaswa na wazazi wangu na wake kuwa mwanamke hapaswi kuwa juu ya mme bali mme atakuwa juu siku zote, na hapa nikili nilikuta namba moja baada ya kumpigia nikagundua ni kijana alokuwa anataka kudukua utam wangu sikukawiza nilishusha kipigo cha mbwa mwizi leo miaka miwili sijawahi kuona upuuzi tena.
Hahaha Sumbai jamani, kwema lkn? Habari za sikuNaipekua deile......ila yeye aliapa hawez gusa simu yangu!
Na aendelee hivyo hivyo.....
Siku akikiuka kiapo chake nahisi Ww3....
Me sipekui, Ila ninaishika anytime nikitaka na yeye mwenyewe akiwepo, na ntaendelea kuishika tu as long as we are together. Yangu ipo freeeee, yeye tu. Kama kunakupata presha kisa mwenzio utazipata tu, siku utayoanza kuumwa visivyoeleweka, au siku utakayoletewa watoto ada imeisha au siku atakayopost picha zake za harusi, it's just a matter of time. Nimeshashika sana, nishakutana na mengi, nashukuru yalinisaidia kutokuendelea kuinvest kwa wrong people, sijutii kushika simu na sitojuta. There is no Privacy when it comes to HS. Be free, ntajisahau hata kushika gadgets zako