sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 18,505
- 41,744
Unaanzaje kucheka??? Hizo ni zereu....kama zereu nyingine.Hahaaa!! Yani wanaume bwana, akosee yeye alafu awe mkali yeye, sijui hata kicheko kilitoka wapi, yaani nilicheka, nikageuziwa kibao.
Unaanzaje kucheka??? Hizo ni zereu....kama zereu nyingine.Hahaaa!! Yani wanaume bwana, akosee yeye alafu awe mkali yeye, sijui hata kicheko kilitoka wapi, yaani nilicheka, nikageuziwa kibao.
Speed yote hiyo.....??? Utajikwaa bure
Ya kawaida tu tehSpeed yote hiyo.....??? Utajikwaa bure
Unataka uchungulie ili ugundue nini labda?? Kwani huniamini.....Paasword mke n mume ya nini???
Yaani vya kuweka pws wamwviacha wazi vya kuacha wazi wamejaza nywilu kibaaaao
Niwahi kuangalia nikakuta ametumiwa msg ya tigopesa, nilipomuuliza nani akasema kaka yake.
Nikamwambia mpigie simu umwambie asante kwa loud speaker tusikie wote, akaanza kutetemeka, alipompigia hajui aongee nini akamwambia asante halafu akakata simu.
*Baada ya dakika 2 jamaa akamtumia msg "baby mbona sikuelewi, unajua mimi nakupenda nakupigia simu hupokei unatatizo gani?"
Siku nyingine, demu mwingine wakati tumelala nimepitiwa na usingizi akazisoma msg karibu zote inbox, kuja kushtuka ndo anamalizia malizia..dah msg aibu, nyengine za mademu nyengine nimemponda.
*Tangu siku hiyo mpaka leo simu yangu haikai na msg na delete. Zaidi ya miaka minne sijawahi kurudia kosa na nipo makini mpaka kusave contacts name.
Yaani sio kuchungulia, baliUnataka uchungulie ili ugundue nini labda?? Kwani huniamini.....
Unaanzaje kucheka??? Hizo ni zereu....kama zereu nyingine.
Me nilikuta sms "penzi ulilonipa jana ni tamu sana "nilijistukia tu nipo jela sijui nini nilifanya
Me nilipekua nikakuta anatengeneza mazingira ya kumkopa mwanaume ambae alikua anamtaka zamaniKumekuwa na uzi mwingi sana kuhus watu kupekua sim za wapenz wao. Binafsi naona kupekua sim ya mpenzo wako sio kosa japo sio jambo zuri kabisa ni hatari.
Ishu inakuja kama utafanikiwa pekua utakachokikuta iwe siri yako usipaniki coz uliyataka mwenyew. Kama unapresha au stress please don't do that utakuja kufa bure.
Asilimia 99.9% watu huwa hawatoki salama kabisaa, na kama ulitoka salama basi ww mbinguni utaenda tiketi unayo, na huyo mpenz wako usimwache.
Je ulishawai pekua simu ya mpenz wako ukatoka salama???
Sent from my iPhone using JamiiForums
Me nilipekua nikakuta anatengeneza mazingira ya kumkopa mwanaume ambae alikua anamtaka zamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Simu ya mpenzi ni kama jeneza. Ishike pale tu inapokubidi..
Nikimpata nitapekua