Kisoda James
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 1,114
- 812
Rais Samia anafanya mambo makubwa sana huyu mama. CCM oooyeeeee.Rais Samia anajenga stiglers gorge ambayo ilimshinda Mjerumani miaka hiyo anaitawala Tanganyika.
Rais Samia anafanya mambo makubwa sana huyu mama. CCM oooyeeeee.Rais Samia anajenga stiglers gorge ambayo ilimshinda Mjerumani miaka hiyo anaitawala Tanganyika.
Nimeona na daraja letu la kigamboni,hongera sana Rais Samia.Rais Samia anafanya mambo makubwa sana huyu mama. CCM oooyeeeee.
CHADEMA walilamikia ufisadi ila Samia ameondoa ufisadi na matokeo yake majizi na mafisadi yamekimbilia kujificha Chadema.Nimeona na daraja letu la kigamboni,hongera sana Rais Samia.
Hata siku moja Rais Samia hapumzishwi wala kutishwa na wahuni wa mtandaoni.Chadema walilamikia ufisadi ila Samia ameondoa ufisadi na matokeo yake majizi na mafisadi yamekimbilia kujificha Chadema.
That's why Presdent Samia was declared the hero of Africa.Hata siku moja Rais Samia hapumzishwi wala kutishwa na wahuni wa mtandaoni.
Nitaamrisha watoto wangu kila moja aite mtoto wake mmoja jina Samia Hili jina limejaa uzalendo sanaThat's why Presdent Samia was declared the hero of Africa.
Tunashukuru Tanzania tumepata Rais Mzalendo anayeipenda Nchi yake Asante sana mama Samia.Nitaamrisha watoto wangu kila moja aite mtoto wake mmoja jina Samia Hili jina limejaa uzalendo sana
Watanzania hatutaki siasa chafu wajifunze siasa safi za Samia hao Wapinzani.Tunashukuru Tanzania tumepata Rais Mzalendo anayeipenda Nchi yake Asante sana mama Samia.
Mbowe na Mnyika wana hofu ya kushindwa na Samia Wanajua Samia lazima ashinde wezi na mafisadi wote.Watanzania hatutaki siasa chafu wajifunze siasa safi za Samia hao Wapinzani.
Rais Samia na JPM walitoa elimu bure iliyomshinda mkoloni.Mbowe na Mnyika wana hofu ya kushindwa na Samia Wanajua Samia lazima ashinde wezi na mafisadi wote.
Samia anajenga stiglers gorge ambayo ilimshinda mkoloni. Huyu mama ni ngangari.Rais Samia na JPM walitoa elimu bure iliyomshinda mkoloni.
Usimfananishe Rais Samia na vitu vya hovyo kama vile Lissu kibaraka wa wazungu.Samia anajenga stiglers gorge ambayo ilimshinda mkoloni. Huyu mama ni ngangari.
Inaonekana unapenda sana siasa?Usimfananishe Rais Samia na vitu vya hovyo kama vile Lissu kibaraka wa wazungu.