Mwaka fulani hivi nilienda Songea nikawa nimefata huduma yangu ofisi za mkuu wa wilaya baada ya mazungumzo marefu na DC nikawa natoka njee ili niondoke wakati natoka kwenye viunga hivo nikamuona binti mzuri haswaaa anapita.
Akili ikaja huyu inabidi nimlambe nikamuita bahat nzuri akaja nikamuuliza unaenda ofisi gani akanielekeza baada ya kunielekeza ofisi ile nikajua pale kazi zao wanafanya bure wala hawaihitaji pesa ila ukikaa kindezi wanakupiga nikamwambia nenda pale ofisini wambie DC kasema mnisaidie ikishindikana nipigie wambie ww ni ndugu yangu na unaishi Kwangu
Bahat nzuri nilijua ratiba ya DC mda huo alikuwa anatoka kwenda kwenye mradi fulani
Bhas nikampa no nikaondoka baada ya dk chache no mpya ikapiga nipo zangu kwenye boda nikamtumia sms "tuma sms" baadae akatuma sms ndefu ya kunishukuru maana aliyokuwa ameambiwa mwanzo itamtoka si chini ya laki ila kwa amri yangu kafanyiwa bure sikumjibu mpaka jioni nikamuomba tukutane tupate japo soda kama anaweza akasema sawa ngoja angalie
Kwenye saa moja hivi jioni akapiga sikupokea nikamtafuta saa mbili uck akasema nilijiandaa ukawa hupokei nikamwambia sorry majukumu kidogo yalibana akauliza tunakutana wapi ikabidi nicheze kama Pele nikamwambia kwa hadhi yangu na cheo changu nikionekana maeneo ya wazi na ww itakuchafulia saana ww pia mm maana Chadema watatumia kama njia ya kunipasua kisiasa nikamuomba kama hatojali nitafute lodge au hotel njee ya mji tuongelee humo akasema sawa
nikaenda lodge niliyofikia nikatoa vitu vyangu nikahamishia mapokezi nikampanga nenda lodge fulani chumba no nne mm nikakaa njee ili nione kama ni mtego wa PCCB niwahi kuchimba nimekaa pale nikamuona anaingia nikamuomba anisubir ntakuja nimeingia saa sita usiku akawa ameshalala kulikuwa hamna story tena ni kunyanduana mwanzo mwisho na niliendelee mara kwa mara alivyorudi chuo dsm nikamwambia mm nishatumbuliwa nikiwa nampeleka lodge Tu za buku 10
Samahanini kwa mwandiko mbaya.
 
Mwaka fulani hivi nilienda Songea nikawa nimefata huduma yangu ofisi za mkuu wa wilaya baada ya mazungumzo marefu na DC nikawa natoka njee ili niondoke wakati natoka kwenye viunga hivo nikamuona binti mzuri haswaaa anapita.
Akili ikaja huyu inabidi nimlambe nikamuita bahat nzuri akaja nikamuuliza unaenda ofisi gani akanielekeza baada ya kunielekeza ofisi ile nikajua pale kazi zao wanafanya bure wala hawaihitaji pesa ila ukikaa kindezi wanakupiga nikamwambia nenda pale ofisini wambie DC kasema mnisaidie ikishindikana nipigie wambie ww ni ndugu yangu na unaishi Kwangu
Bahat nzuri nilijua ratiba ya DC mda huo alikuwa anatoka kwenda kwenye mradi fulani
Bhas nikampa no nikaondoka baada ya dk chache no mpya ikapiga nipo zangu kwenye boda nikamtumia sms "tuma sms" baadae akatuma sms ndefu ya kunishukuru maana aliyokuwa ameambiwa mwanzo itamtoka si chini ya laki ila kwa amri yangu kafanyiwa bure sikumjibu mpaka jioni nikamuomba tukutane tupate japo soda kama anaweza akasema sawa ngoja angalie
Kwenye saa moja hivi jioni akapiga sikupokea nikamtafuta saa mbili uck akasema nilijiandaa ukawa hupokei nikamwambia sorry majukumu kidogo yalibana akauliza tunakutana wapi ikabidi nicheze kama Pele nikamwambia kwa hadhi yangu na cheo changu nikionekana maeneo ya wazi na ww itakuchafulia saana ww pia mm maana Chadema watatumia kama njia ya kunipasua kisiasa nikamuomba kama hatojali nitafute lodge au hotel njee ya mji tuongelee humo akasema sawa
nikaenda lodge niliyofikia nikatoa vitu vyangu nikahamishia mapokezi nikampanga nenda lodge fulani chumba no nne mm nikakaa njee ili nione kama ni mtego wa PCCB niwahi kuchimba nimekaa pale nikamuona anaingia nikamuomba anisubir ntakuja nimeingia saa sita usiku akawa ameshalala kulikuwa hamna story tena ni kunyanduana mwanzo mwisho na niliendelee mara kwa mara alivyorudi chuo dsm nikamwambia mm nishatumbuliwa nikiwa nampeleka lodge Tu za buku 10
Samahanini kwa mwandiko mbaya.
Dc wa kuchongesha😀
 
Naona humu zimebaki stori za Nokia tochi, sijui Siemens...... Embu ngoja na mimi nishee moja ya stori zangu za kula kimasihara

Nakumbuka kipindi hicho ndio nimeanza kazi, nimepanga kageto kangu na kasebule. Sebuleni kuna TV tu na kakochi flani kakisela na nilikuwa na tabia ikifika mida ya saa tatu kwenda mbele nahamishia TV chumbani

Eneo nililokuwa naishi kulikuwa kuna wapangaji wengi sana, na kati ya hao wapangaji kulikuwa na mpangaji mmoja mbulu. Mtoto ni mzuri, sio mrefu sana lakini ana unywele kutoka Baghdad, pua kutoka Basra na rangi kutoka Najaf, chuchu ndogo kama za mtoto wa form 2. Kiufupi huyo mwanadafada kila kitu amepata kutoka Iraq, kasoro tako tu ndio ameiba kutoka usukumani ama kwa wahaya.

Huyu mtoto alikuwa ni wale mabinti ambao wapo mjini wamepanga chumba, na unakuta weekend flani inakuja njemba kwake, halafu siku za kazi huioni tena. Kiufupi mimi nilikuwa namchukulia kama hawara wa jamaa kwani huyo jamaa pia kuna baadhi ya weekend alikuwa haji pale tunapoishi. Huyu binti alikuwa anaringa kiaina, nadhani ni kutokana na uzuri wake na huduma anazopatiwa na jamaa yake, kwani nilikuja kujua baadae kwamba huyu mzichi anafanya kazi kwenye mashirika ya kiserikali na mpunga anao wa kutosha.

Huyu binti alikuwa ni mzuri sana na mwanaume yoyote mzima angemtamani, lakini kwa jinsi nilivyo mimi huwa hata kama natamani demu huwa si mshobokeaji sana, kwa hiyo hata mazoea kati yangu mimi na yeye yalikuwa ni salamu tu, kuchangiashana hela ya umeme na stori mbili tatu.

Siku moja nipo geto mida ya saa 3 usiku nacheki TV chumbani, nikasikia hodi ya sauti ya kike inagongwa nikasema karibu, nikaona kimya mtu haingii, nikatoka sebuleni nikasogea hadi mlangoni, nilipochungulia nje ili kujua ni nani huyo, nikakuta ni jirani.

Nirudi nyuma kidogo, siku za nyuma huyu dada alipohamia hapo kwenye nyumba niliyokuwa ninaishi niliwahi kumchombeza huyu demu na kumkaribisha geto, akanijibu we kaka jiheshimu, basi tangu siku hiyo ikawa ni salamu tu, na baadaye ikawa ni salamu na kuombana viberiti n.k. Kama kawaida ya mabachela nikawa naendelea kuvusha watoto wazuri na yeye akishuhudia baadhi matukio.

Baada ya kuchungulia mlangoni na kukuta ni jirani Mwarabu wa Karatu nikamuuliza vipi, unataka kiberiti, akajibu hapana, ninaomba nije kuangalia mchezo/tamthiliya ya kibongo, nikamwambia karibu, basi akaingia, nikamwambia lakini mwenzio nilikuwa naagalizia TV chumbani, kwa kusitasita, mtoto akaingia chumbani. Nikamuuliza huwa unaifuatilia huu mchezo, siku nyingine huwa unaangalia wapi, akasema huwa naangalia kwangu ila TV imegoma kuwaka.

Basi kwa kuwa mimi huwa sifuatilii tamthiliya za kibongo nikawa nimelala tu kitandani, binti yeye anaangalia tamthiliya akiwa amekaa kitandani. Nikasema ngoja niwe gentleman kwa mgeni.

Niwe mkweli, mwanzo wakati huyu binti anaingia chumbani, sikuwa na wazo kabisa la kumgonga, maana kiukweli majibu yake ya siku ile ya kuniambia nijiheshimu yalinikera sana. Lakini kadiri ya muda ulivyokuwa unakwenda, nikaanza kuingiwa na mawazo ya kibaharia, nikaanza kumwangalia kwa kuibia, ndipo nilipogundua na yeye akili yake kwa sehemu kubwa haikuwa kwenye kuangalia mchezo.

Nikamua kwenda toilet na kurudi ndani, ile narudi ndani ndio nagundua kuwa kumbe huyu kiumbe alikuwa amevaa nguo ambazo zinavulika kirahisi, alikuwa hajavaa jeans tight (hilo tu ndio naweza kusema). Baada kama ya dakika 5 mchezo ukaisha nikaona yule binti kama anataka kusema kitu lakini anasita, baada ya dakika kadhaa mbele akawa anaaga aondoke, nikamwambia poa usiku mwema (hapa akili yangu kichwani ilikuwa inasema akiwa serious anaondoka, hafiki mlangoni namrukia namrudisha, leo lazima agegedwe mtu hapa, lakini wakati huo huo nasema ngoja na yeye nimringie kiaina, kichwani bado nakumbuka majibu mabovu aliyowahi kunipa) .

Pamoja na kuaga nikaona mtoto haondoki, nikawa namuangalia kwa kuibia na yeye anaangalia TV. Ikapita nusu saa tena akaaga nikazuga kama sijasikia, tukaendela kuwa bize kimawazo (sijui yeye alikuwa anawaza nini, ili mimi nilikuwa nawaza lazima nimgegede leo)

Basi safari hii akaaga huku ananyanyuka, akawa anatoka kama hataki kutoka, nikamwambia unaenda wapi, akasema naenda kulala, nikamwambia kwani hapa hakuna kitanda cha kulala, akawa anajiumauma, nikanyanyuka, nikashuka kitandani, nikamshika mkono huku namvutia kwa bedi naona anakuja, nikaenda sebuleni nikafunga mlango nikamkuta demu yupo kwa bedi amepanda kabisa, nikapanda na mimi kitandani, nikaanza kumpiga mabusu ya nje (sio denda), huku mikono inapita kiunoni na kuminya minya makalio laini ya huyu mtoto mzuri.

Tukaendelea kupiga foreplay baada ya kila mtu kutupa nguo zake huko, nikapiga finga za kutosha huku nanyonya chuchu zake zenye ukubwa wa ngumi ya Mwakinyo, wakati huo demu anagumia na kutoa milio isiyoeleweka. Nikampiga ndimi kila kona ya mwili ikiwemo masikioni, shingoni, tumboni, kitovuni, mapajani, magotini, kasoro kwenye K.

Baada ya foreplay ya kama zaidi ya dakika 30, demu akawa anaomba dyudyu, nikasema kweli leo mbuzi kafia kwa mpika supu, nikashuka chini ya kitanda, nikaingiza mkono kwenye begi,nikachomoa zana ya kazi nikarudi kitandani. Shughuli ya kuchana mbao ikaanza, ilipigwa show baada ya kama dakika 20 round ikaisha, ikabidi tupumzike.

Nikamtania demu vipi huendi kulala kwako, akasema kwani hapa hamna kitanda, nikacheka na yeye akacheka. Baadae tena, game ikafufuliwa tena, ikapigwa show hapa zaidi ya 45 minutes ambayo iliibidi tupumzike bila hata ya kufika mountain kilimanjaro (kwa upande wangu) ila demu, anaonekana alikuwa kajijojolea vya kutosha maana yeye ndio aliyeomba poo.

Baada ya dakika kadhaa nikataka niliamshe dude, demu akawa anasema amechoka, basi mimi nikaa kaa kitandani, nikapitiwa na usingizi, kwenye saa 8 usiku nastuka, naona mtu analishika shika dyudyu huku analinyonya. Nikaamka, show ikaanza upya.....kwa Ufupi huyu demu nilimgonga siku hiyo kwa hasira, kesho yake saa 11 alfajiri ikabidi awahi geto kwake majirani wasijeshitukia mchezo.

Kuanzia siku hiyo, nikawa nikataka kumgonga, au akitaka kugongwa ananitumia meseji nataka nije kuangalia tamthiliya, au mimi namwambia njoo uangalie tamthiliya. Akija show inapigwa ya kukamuana ute ute mwilini.

Demu baadae alikuja kuhama sehemu tuliyokuwa tunaishi na tukapotezana kimawasiliano.
Poor brain❌

Smart brain✅
 
Naona humu zimebaki stori za Nokia tochi, sijui Siemens...... Embu ngoja na mimi nishee moja ya stori zangu za kula kimasihara

Nakumbuka kipindi hicho ndio nimeanza kazi, nimepanga kageto kangu na kasebule. Sebuleni kuna TV tu na kakochi flani kakisela na nilikuwa na tabia ikifika mida ya saa tatu kwenda mbele nahamishia TV chumbani

Eneo nililokuwa naishi kulikuwa kuna wapangaji wengi sana, na kati ya hao wapangaji kulikuwa na mpangaji mmoja mbulu. Mtoto ni mzuri, sio mrefu sana lakini ana unywele kutoka Baghdad, pua kutoka Basra na rangi kutoka Najaf, chuchu ndogo kama za mtoto wa form 2. Kiufupi huyo mwanadafada kila kitu amepata kutoka Iraq, kasoro tako tu ndio ameiba kutoka usukumani ama kwa wahaya.

Huyu mtoto alikuwa ni wale mabinti ambao wapo mjini wamepanga chumba, na unakuta weekend flani inakuja njemba kwake, halafu siku za kazi huioni tena. Kiufupi mimi nilikuwa namchukulia kama hawara wa jamaa kwani huyo jamaa pia kuna baadhi ya weekend alikuwa haji pale tunapoishi. Huyu binti alikuwa anaringa kiaina, nadhani ni kutokana na uzuri wake na huduma anazopatiwa na jamaa yake, kwani nilikuja kujua baadae kwamba huyu mzichi anafanya kazi kwenye mashirika ya kiserikali na mpunga anao wa kutosha.

Huyu binti alikuwa ni mzuri sana na mwanaume yoyote mzima angemtamani, lakini kwa jinsi nilivyo mimi huwa hata kama natamani demu huwa si mshobokeaji sana, kwa hiyo hata mazoea kati yangu mimi na yeye yalikuwa ni salamu tu, kuchangiashana hela ya umeme na stori mbili tatu.

Siku moja nipo geto mida ya saa 3 usiku nacheki TV chumbani, nikasikia hodi ya sauti ya kike inagongwa nikasema karibu, nikaona kimya mtu haingii, nikatoka sebuleni nikasogea hadi mlangoni, nilipochungulia nje ili kujua ni nani huyo, nikakuta ni jirani.

Nirudi nyuma kidogo, siku za nyuma huyu dada alipohamia hapo kwenye nyumba niliyokuwa ninaishi niliwahi kumchombeza huyu demu na kumkaribisha geto, akanijibu we kaka jiheshimu, basi tangu siku hiyo ikawa ni salamu tu, na baadaye ikawa ni salamu na kuombana viberiti n.k. Kama kawaida ya mabachela nikawa naendelea kuvusha watoto wazuri na yeye akishuhudia baadhi matukio.

Baada ya kuchungulia mlangoni na kukuta ni jirani Mwarabu wa Karatu nikamuuliza vipi, unataka kiberiti, akajibu hapana, ninaomba nije kuangalia mchezo/tamthiliya ya kibongo, nikamwambia karibu, basi akaingia, nikamwambia lakini mwenzio nilikuwa naagalizia TV chumbani, kwa kusitasita, mtoto akaingia chumbani. Nikamuuliza huwa unaifuatilia huu mchezo, siku nyingine huwa unaangalia wapi, akasema huwa naangalia kwangu ila TV imegoma kuwaka.

Basi kwa kuwa mimi huwa sifuatilii tamthiliya za kibongo nikawa nimelala tu kitandani, binti yeye anaangalia tamthiliya akiwa amekaa kitandani. Nikasema ngoja niwe gentleman kwa mgeni.

Niwe mkweli, mwanzo wakati huyu binti anaingia chumbani, sikuwa na wazo kabisa la kumgonga, maana kiukweli majibu yake ya siku ile ya kuniambia nijiheshimu yalinikera sana. Lakini kadiri ya muda ulivyokuwa unakwenda, nikaanza kuingiwa na mawazo ya kibaharia, nikaanza kumwangalia kwa kuibia, ndipo nilipogundua na yeye akili yake kwa sehemu kubwa haikuwa kwenye kuangalia mchezo.

Nikamua kwenda toilet na kurudi ndani, ile narudi ndani ndio nagundua kuwa kumbe huyu kiumbe alikuwa amevaa nguo ambazo zinavulika kirahisi, alikuwa hajavaa jeans tight (hilo tu ndio naweza kusema). Baada kama ya dakika 5 mchezo ukaisha nikaona yule binti kama anataka kusema kitu lakini anasita, baada ya dakika kadhaa mbele akawa anaaga aondoke, nikamwambia poa usiku mwema (hapa akili yangu kichwani ilikuwa inasema akiwa serious anaondoka, hafiki mlangoni namrukia namrudisha, leo lazima agegedwe mtu hapa, lakini wakati huo huo nasema ngoja na yeye nimringie kiaina, kichwani bado nakumbuka majibu mabovu aliyowahi kunipa) .

Pamoja na kuaga nikaona mtoto haondoki, nikawa namuangalia kwa kuibia na yeye anaangalia TV. Ikapita nusu saa tena akaaga nikazuga kama sijasikia, tukaendela kuwa bize kimawazo (sijui yeye alikuwa anawaza nini, ili mimi nilikuwa nawaza lazima nimgegede leo)

Basi safari hii akaaga huku ananyanyuka, akawa anatoka kama hataki kutoka, nikamwambia unaenda wapi, akasema naenda kulala, nikamwambia kwani hapa hakuna kitanda cha kulala, akawa anajiumauma, nikanyanyuka, nikashuka kitandani, nikamshika mkono huku namvutia kwa bedi naona anakuja, nikaenda sebuleni nikafunga mlango nikamkuta demu yupo kwa bedi amepanda kabisa, nikapanda na mimi kitandani, nikaanza kumpiga mabusu ya nje (sio denda), huku mikono inapita kiunoni na kuminya minya makalio laini ya huyu mtoto mzuri.

Tukaendelea kupiga foreplay baada ya kila mtu kutupa nguo zake huko, nikapiga finga za kutosha huku nanyonya chuchu zake zenye ukubwa wa ngumi ya Mwakinyo, wakati huo demu anagumia na kutoa milio isiyoeleweka. Nikampiga ndimi kila kona ya mwili ikiwemo masikioni, shingoni, tumboni, kitovuni, mapajani, magotini, kasoro kwenye K.

Baada ya foreplay ya kama zaidi ya dakika 30, demu akawa anaomba dyudyu, nikasema kweli leo mbuzi kafia kwa mpika supu, nikashuka chini ya kitanda, nikaingiza mkono kwenye begi,nikachomoa zana ya kazi nikarudi kitandani. Shughuli ya kuchana mbao ikaanza, ilipigwa show baada ya kama dakika 20 round ikaisha, ikabidi tupumzike.

Nikamtania demu vipi huendi kulala kwako, akasema kwani hapa hamna kitanda, nikacheka na yeye akacheka. Baadae tena, game ikafufuliwa tena, ikapigwa show hapa zaidi ya 45 minutes ambayo iliibidi tupumzike bila hata ya kufika mountain kilimanjaro (kwa upande wangu) ila demu, anaonekana alikuwa kajijojolea vya kutosha maana yeye ndio aliyeomba poo.

Baada ya dakika kadhaa nikataka niliamshe dude, demu akawa anasema amechoka, basi mimi nikaa kaa kitandani, nikapitiwa na usingizi, kwenye saa 8 usiku nastuka, naona mtu analishika shika dyudyu huku analinyonya. Nikaamka, show ikaanza upya.....kwa Ufupi huyu demu nilimgonga siku hiyo kwa hasira, kesho yake saa 11 alfajiri ikabidi awahi geto kwake majirani wasijeshitukia mchezo.

Kuanzia siku hiyo, nikawa nikataka kumgonga, au akitaka kugongwa ananitumia meseji nataka nije kuangalia tamthiliya, au mimi namwambia njoo uangalie tamthiliya. Akija show inapigwa ya kukamuana ute ute mwilini.

Demu baadae alikuja kuhama sehemu tuliyokuwa tunaishi na tukapotezana kimawasiliano.
Poor brain❌

Smart brain✅
 
Ngoja na mimi niweke kisa changu kimoja juu ya uzi huu uliotrendi kuliko nyuzi zote hapa jamvini....

Mtaamua wenyewe muite "Masikhara" au vipiii....

Mnamo mwaka 2018 nikiwa nafanya kazi katika wilaya mojawapo ya mikoa ya Nyanda za Juu Kusini (Mimi ni Civil Engineer) siku moja nikiwa kwenye mishe zangu mida ya jioni kama saa 12 hivi nikiwa nasukuma ndinga yangu Altezza nikiwa na mshikaji wangu sana (ila sasa ni marehemu-RIP)..kupita maeneo ya stendi kwenye tukamwona dada mmoja mzuri kinoma, ana shundu fulani hivi amazing amesimama, nikapaki gari palepale alipokuwa amesimama, nikamwomba aingie ndani ya gari nisemezane naye mambo fulani, akakataa akasema anamsubiri mtu fulani so hawezi na wala hana muda wa kutusikiliza... nikambembeleza pale walau basi anipe namba ya simu ili badae nimpigie ili tufahamiane sawasawa, baada ya kumbembeleza sana basi akanipa namba yake... wakati yote hayo yakiendelea jamaa yangu yule alikaa kimya akisikilizia ule mchakato... Basi alivyonipa namba tukasepa nikaenda kumwacha jamaa nyumbani kwake... na mimi nikaendelea na mishe zangu...

Kesho yake usiku kama saa 2 hivi nikampigia simu yule dada tukapiga stori sana, nikamuomba aje apafahamu kwangu kwa kuwa sasa amekuwa rafiki yangu.. baada ya kumbembeleza akakubali kwa sharti kwamba nikamchukue aje apafahamu home... Basi nikawasha ndinga yangu akanielekeza anapokaa. Na alikuwa anakaa na Mama yake na wadogo zake 2... Basi nilipofika mitaa ya karibu na kwao nikampigia simu akaja.. tukaondoka kurudi nyumbani kwangu...
Tulivyofika nyumbani nikapaki gari nje ya geti, tukaingia ndani basi tukaendelea kupiga stori za kufahamiana hapa na pale, shughuli mbalimbali anazofanya n.k. na alikuwa hataki kabisa kuongelea maswala ya mapenzi... hizo stori hakutaka kabisa.. nishajaribu kuingiza hizo stori lakini hakutaka kabisa na alionekana kutopenda kabisa.. basi nikamwacha tukaongelea na mengine..
Ilipofika saa 4 usiku akasema anaondoka.. basi bila hiyana nikamkubalia. Tukanyanyuka kuondoka.

KIMASIHARA SASA.....
Tulipofika pale nje nilipopaki gari, ile tu tumeingia kwenye gari, akaniomba kwanza akakojoe nyuma ya gari kabla hatujaondoka.. nikamruhusu. Alivyotoka na kufunga mlango wa gari kama sekunde 20 hivi na mimi nikatoka ndani ya gari nikazunguka upande ule alioenda kukojoa... nimefika akashtuka maana ndo kwanza alikuwa amechuchumaa anamalizia mkojo... ile anasimama tu nikamshika kwa nyuma na kuanza kumtomasa makalio.. akawa ananishangaa maana ilikuwa ghafla..nikahamisha mkono nikapeleka kwenye mbususu nikaanza kuipapasa wakati huo napeleķa mdomo wangu kuomba denda.. tukajikuta tumekutanisha midomo...wakati huo nguo zake alikuwa hajapandisha na alikuwa amevaa jinzi. nikamgeuza chapu kikamshikisha boneti ya gari, nikafungua mkanda wa suruali, nikaishusha na kutoa mashine, akainama kidogo, nikaanza kupeleka moto..peleka moto kwelikweli huku anagugumia utamu..nikampiga kimoja hapo..kumbuka hapo tuko nje ya fensi, kiasi kwamba angeweza kupita mtu yoyote angetushuhudia live..... nilivyotoa wazungu, basi tukajifuta pale na kuingia kwenye gari...
Nikawasha gari tukaondoka..
Hatukuongea chochote kwenye gari mpaka tunafika kwao...
Akashuka... na mimi nikageuza kurudi home..

Nafika ndo ananipigia kwamba imekuwaje tumefanya vile, tena nje pale..???

Hahahaha...jameni...

Niliendelea kuwasiliana naye na mara moja moja tukawa tunakutana mpaka pale nilipohamishwa kwenye Wilaya ile..

Sina shaka uandishi wangu haujasumbua kusoma..
chai OG
 
Mwaka fulani hivi nilienda Songea nikawa nimefata huduma yangu ofisi za mkuu wa wilaya baada ya mazungumzo marefu na DC nikawa natoka njee ili niondoke wakati natoka kwenye viunga hivo nikamuona binti mzuri haswaaa anapita.
Akili ikaja huyu inabidi nimlambe nikamuita bahat nzuri akaja nikamuuliza unaenda ofisi gani akanielekeza baada ya kunielekeza ofisi ile nikajua pale kazi zao wanafanya bure wala hawaihitaji pesa ila ukikaa kindezi wanakupiga nikamwambia nenda pale ofisini wambie DC kasema mnisaidie ikishindikana nipigie wambie ww ni ndugu yangu na unaishi Kwangu
Bahat nzuri nilijua ratiba ya DC mda huo alikuwa anatoka kwenda kwenye mradi fulani
Bhas nikampa no nikaondoka baada ya dk chache no mpya ikapiga nipo zangu kwenye boda nikamtumia sms "tuma sms" baadae akatuma sms ndefu ya kunishukuru maana aliyokuwa ameambiwa mwanzo itamtoka si chini ya laki ila kwa amri yangu kafanyiwa bure sikumjibu mpaka jioni nikamuomba tukutane tupate japo soda kama anaweza akasema sawa ngoja angalie
Kwenye saa moja hivi jioni akapiga sikupokea nikamtafuta saa mbili uck akasema nilijiandaa ukawa hupokei nikamwambia sorry majukumu kidogo yalibana akauliza tunakutana wapi ikabidi nicheze kama Pele nikamwambia kwa hadhi yangu na cheo changu nikionekana maeneo ya wazi na ww itakuchafulia saana ww pia mm maana Chadema watatumia kama njia ya kunipasua kisiasa nikamuomba kama hatojali nitafute lodge au hotel njee ya mji tuongelee humo akasema sawa
nikaenda lodge niliyofikia nikatoa vitu vyangu nikahamishia mapokezi nikampanga nenda lodge fulani chumba no nne mm nikakaa njee ili nione kama ni mtego wa PCCB niwahi kuchimba nimekaa pale nikamuona anaingia nikamuomba anisubir ntakuja nimeingia saa sita usiku akawa ameshalala kulikuwa hamna story tena ni kunyanduana mwanzo mwisho na niliendelee mara kwa mara alivyorudi chuo dsm nikamwambia mm nishatumbuliwa nikiwa nampeleka lodge Tu za buku 10
Samahanini kwa mwandiko mbaya.
Hahahahaha
 
Mwaka fulani hivi nilienda Songea nikawa nimefata huduma yangu ofisi za mkuu wa wilaya baada ya mazungumzo marefu na DC nikawa natoka njee ili niondoke wakati natoka kwenye viunga hivo nikamuona binti mzuri haswaaa anapita.
Akili ikaja huyu inabidi nimlambe nikamuita bahat nzuri akaja nikamuuliza unaenda ofisi gani akanielekeza baada ya kunielekeza ofisi ile nikajua pale kazi zao wanafanya bure wala hawaihitaji pesa ila ukikaa kindezi wanakupiga nikamwambia nenda pale ofisini wambie DC kasema mnisaidie ikishindikana nipigie wambie ww ni ndugu yangu na unaishi Kwangu
Bahat nzuri nilijua ratiba ya DC mda huo alikuwa anatoka kwenda kwenye mradi fulani
Bhas nikampa no nikaondoka baada ya dk chache no mpya ikapiga nipo zangu kwenye boda nikamtumia sms "tuma sms" baadae akatuma sms ndefu ya kunishukuru maana aliyokuwa ameambiwa mwanzo itamtoka si chini ya laki ila kwa amri yangu kafanyiwa bure sikumjibu mpaka jioni nikamuomba tukutane tupate japo soda kama anaweza akasema sawa ngoja angalie
Kwenye saa moja hivi jioni akapiga sikupokea nikamtafuta saa mbili uck akasema nilijiandaa ukawa hupokei nikamwambia sorry majukumu kidogo yalibana akauliza tunakutana wapi ikabidi nicheze kama Pele nikamwambia kwa hadhi yangu na cheo changu nikionekana maeneo ya wazi na ww itakuchafulia saana ww pia mm maana Chadema watatumia kama njia ya kunipasua kisiasa nikamuomba kama hatojali nitafute lodge au hotel njee ya mji tuongelee humo akasema sawa
nikaenda lodge niliyofikia nikatoa vitu vyangu nikahamishia mapokezi nikampanga nenda lodge fulani chumba no nne mm nikakaa njee ili nione kama ni mtego wa PCCB niwahi kuchimba nimekaa pale nikamuona anaingia nikamuomba anisubir ntakuja nimeingia saa sita usiku akawa ameshalala kulikuwa hamna story tena ni kunyanduana mwanzo mwisho na niliendelee mara kwa mara alivyorudi chuo dsm nikamwambia mm nishatumbuliwa nikiwa nampeleka lodge Tu za buku 10
Samahanini kwa mwandiko mbaya.
Papuchi hizi, wacha ziheshimiwe
 
Mwaka fulani hivi nilienda Songea nikawa nimefata huduma yangu ofisi za mkuu wa wilaya baada ya mazungumzo marefu na DC nikawa natoka njee ili niondoke wakati natoka kwenye viunga hivo nikamuona binti mzuri haswaaa anapita.
Akili ikaja huyu inabidi nimlambe nikamuita bahat nzuri akaja nikamuuliza unaenda ofisi gani akanielekeza baada ya kunielekeza ofisi ile nikajua pale kazi zao wanafanya bure wala hawaihitaji pesa ila ukikaa kindezi wanakupiga nikamwambia nenda pale ofisini wambie DC kasema mnisaidie ikishindikana nipigie wambie ww ni ndugu yangu na unaishi Kwangu
Bahat nzuri nilijua ratiba ya DC mda huo alikuwa anatoka kwenda kwenye mradi fulani
Bhas nikampa no nikaondoka baada ya dk chache no mpya ikapiga nipo zangu kwenye boda nikamtumia sms "tuma sms" baadae akatuma sms ndefu ya kunishukuru maana aliyokuwa ameambiwa mwanzo itamtoka si chini ya laki ila kwa amri yangu kafanyiwa bure sikumjibu mpaka jioni nikamuomba tukutane tupate japo soda kama anaweza akasema sawa ngoja angalie
Kwenye saa moja hivi jioni akapiga sikupokea nikamtafuta saa mbili uck akasema nilijiandaa ukawa hupokei nikamwambia sorry majukumu kidogo yalibana akauliza tunakutana wapi ikabidi nicheze kama Pele nikamwambia kwa hadhi yangu na cheo changu nikionekana maeneo ya wazi na ww itakuchafulia saana ww pia mm maana Chadema watatumia kama njia ya kunipasua kisiasa nikamuomba kama hatojali nitafute lodge au hotel njee ya mji tuongelee humo akasema sawa
nikaenda lodge niliyofikia nikatoa vitu vyangu nikahamishia mapokezi nikampanga nenda lodge fulani chumba no nne mm nikakaa njee ili nione kama ni mtego wa PCCB niwahi kuchimba nimekaa pale nikamuona anaingia nikamuomba anisubir ntakuja nimeingia saa sita usiku akawa ameshalala kulikuwa hamna story tena ni kunyanduana mwanzo mwisho na niliendelee mara kwa mara alivyorudi chuo dsm nikamwambia mm nishatumbuliwa nikiwa nampeleka lodge Tu za buku 10
Samahanini kwa mwandiko mbaya.
Weee noma!

Mwaka 2017 nilijiteua kuwa katibu tawala msaidizi wa wilaya ya Bunda, cheo ambacho hakipo.

Niliichapa vizuri sana barua, font size 12!
Nikiigonga na mhuri wa Siri.

Ilisomeka

UTEUZI
Kwa mamkaka aliyopewa rais wa jmt, ninayofuraha kukutaarifu kuwa umeteuliwa kuwa katibu tawala msaidizi wa wilaya ya Bunda kuanzia tarehe, siikumbuki.

Unapaswa kutipoti Kwa katibu tawala wa mkoa ndani ya siku 14 Toka upate barua hii.

Hongera.

O.S
Kmk
Nakala Ras,

Kwa barua hii, siku tatu nikiwa udom kuchukua cheti nilikula mademu 5. Kulikuwa mwana nilimseti awe anawaonesha Ile barua, wakijua wamempata kigogo kumbe hewa.
 
Nilivyokula Tunda Kimasihara na Kuambulia Kipigo cha Mbwa Koko huko Nairobi


Mwaka 2012 nilijiunga na chuo kikuu kimoja nchini Kenya, ikiwa ni baada ya kukosa course niliyoazimia kusoma katika vyuo vya hapa ndani.

Hii ilikuwa mara ya kwanza kutoka nje ya nchi, na wonderful enough nilisafiri kuelekea jijini Nairobi peke yangu nikiongozwa na instincts za kibaharia. Ubaharia wangu unatokana na kusoma shule za boarding toka darasa la nne! Tena shule zenyewe mbali haswa na nyumbani; anyway story for another day.

Nilifika Nairobi jioni ya saa 12 na kuchukua taxi kuelekea eneo chuo kilipo. Nilipowasili nikapokelewa vizuri na wanachuo wenzangu wa higher levels (orientation crew) kwa ajili ya udahili na taratibu nyingine za usajili. Baada ya hapo tukaelekea dining hall for dinner.

Kesho yake asubuhi tukaamka mapema kujiandaa na siku ya pili ya orientation program. Generally, ukifika chuo especially privately owned, chenye hadhi ya kimataifa, haya ni mambo ya kawaida haswa kwa wanafunzi wanaotoka nchi tofauti.

Tuliendelea na orientation kwa wiki nzima, na baada ya hapo nikaanza kuona watu wanaongezeka kwa kasi ya ajabu, kumbe sisi tulipaswa ku-report wiki moja kabla ya wanachuo wazoefu ili kujua mambo mbalimbali kuhusu chuo ikiwemo sheria, taratibu, mifumo, mazingira na utamaduni wa chuo hicho na nchi kwa ujumla.

Ilikuwa siku ya Jumanne mishale ya saa sita na nusu mchana (ndio ulikua wakati wa kwenda dining hall kwa ajili ya lunch). Na kawaida ukifika dining unakuta mstari wa wanafunzi wenzako, unaunga kuelekea kwenye meza za chakula kwa ajili ya kuserve.

Nilipanga mstari nikiwa tayari nimeshaanza kupata washkaji, nikiwa na mwanangu mmoja (Mkenya) tunapiga story za hapa na pale. Wakati tunaendelea kusonga, nikamuona binti mmoja mdogo mdogo mzuri kweli. Alikuwa akitoka kuashiria ameshamaliza kula anaelekea darasa la mchana. Nilimuangalia toka anasimama kwenye meza yake mpaka akiwa anakaribia mlangoni, kumbe naye ali-notice. (Utajua badae)

Basi mshkaji akaniuliza mbona umemuangalia sana huyo manzi? Umemuelewa nini? Tukacheka, yakapita tukachukua chakula tukakaa kula na kuondoka. Jioni ya siku hiyo hiyo nikawahi kwenda dining kwa sababu nilikua sipendi kukaa muda mrefu kwenye mstari wa chakula na uzuri chakula huwa tayari kuanzia saa 12 kamili jioni.

Wakati naingia tu dining hall, nikaona watu wawili mbele kabisa wakiwa wanapakuliwa, na jinsi walivyo ilikua dhahiri ni wapenzi. Walitaniana, wakashikana mikono, huku wakibebeana chakula kuelekea mezani. Sikutilia maanani sana kwa sababu chuoni nilikua naelewa hayo mambo ya kawaida sana.

Nilipigwa butwaa baada kuchukua chakula, napita kuelekea mezani na kugundua kumbe yule manzi niliyemuona mchana, ndio huyu huyu namuona hapa na jamaa wanakula pamoja. Nikajisemea anyways, it's life. Nikala nikaondoka zangu.

Baada ya kama wiki mbili tatu nikagundua kuna genaral course natakiwa kuanza kuhudhuria kwa sababu lecturer amerudi. Ilikua Ijumaa mchana natoka dining kuelekea lecture room, nikiwa na rafiki yangu mmoja wa kike Mtanzania mwenzangu tunawahi class. Kwa mbali namuona tena yule binti wa dining hall, kwa mara nyingine. Coincidence Hizi!. Wakati tunapishana naye, akamsimamisha yule dada nilikua naye na kuanza kuongea naye. Mi nikaendelea mbele kidogo huku nikiwa nimepumguza mwendo kumsubiri bestie yangu.

Basi wakaagana kama baada ya dakika na sekunde kadhaa, tukaendelea na safari yetu kuelekea class. Tukiwa njiani nikamuuliza unamfahamu huyo dada tuliyepishana naye? Akajibu ndio, nilikua naye group moja la discussion last semester. Nikamuuliza Jina akanitajia, na safari ikaendelea.

Nimefika class tumekaa tunasubiri pindi lianze, ikaingia meseji kwenye simu yangu, number ngeni. "Hi, It's Jessy... Judy's friend. She gave me your number. Hope you won't mind. Have a nice class."
Mmmmh nikajisemea kimzaha tu, ila sikujibu ile meseji wakati ule. Lecturer akaingia, piga pindi pale kama saa mbili na nusu, tukachomoka. Nikaenda zangu hostel. Hostel zetu zilikua nje kabisa ya premises za chuo, so we're free after class. Kufika nikamjibu ile meseji. "Hi Jessy. Sorry for late reply, I had a nice class, I'm out now. Thanks for the wishes".

Akaja kujibu jioni kabisa. Tukachati kidogo jioni ile, akaniambia leo haendi kula dining hall, kama sitojali niagize pizza aje tule wote. Nikajisemea Woyooooo mambo si haya sasa. Bila hiyana, nikamwambia limepita hilo. Kweli mida mida nikaagiza pizza (sio hizi za Pizza Hut au Chicen Inn, kuna mwamba mmoja nje ya chuo alikua na fast food restaurant yake local ina aina zote za vyakula vya kisasa ila kwa bei ya wanafunzi).

Nikajitutumua nikanunua pizza ya Kshs 500, kwa kipindi hicho hiyo ilikuwa kama Tshs 8,500 hivi. Na soda mbili. Nikatuma meseji, pizza imekuja, nikatuma na jina la hostel na number ya chumba. Hapo nimepiga maji, unyunyu wangu wa mchongo, kitanda kisafi, ghetto murua kabisa. Nikakaa naangalia movie mdogo mdogo kwenye laptop.

Baada ya kama nusu saa hivi, nasikia mlango unagongwa. Fungua, mtoto huyu hapa. Tukasalimiana vizuri sasa ile face to face. Tukapiga story mbili tatu, nikatenga Pizza mezani tukaanza kula. Tumekula tukamaliza, tukaendelea na story. Tukaanza kuongelea movies, hapo sasa ndio nikajua weakness yake. Movies. Sikupoteza hata sekunde, nikachagua movie tukaanza kuangalia.

Sasa hizi hostel za wanafunzi zilivyokuwa designed ni for one person only. Kitanda ni 4/6, kuna kiti kimoja, meza moja ya kusomea, kasehemu kajiko, sinki halafu kwa pembeni kuna mlango wa kuingia washroom (self-contained).
Kwa hiyo wakati wote huo tunaangalia movie, tulikua tumekaa kitandani.

Mida ikaenda, bado yupo. Sikutaka kuuliza maswali mengi, nikazima taa, vua pensi na t-shirt. Nikamwambia na hii baridi si tujifunike blanketi tu? Hakubisha maana kweli kulikua na baridi, na saa izo ni saa tano kasoro. Ukweli kilichoendelea sina haja kuelelezea, kila mtu anajua.

Baada ya show, mida ya saa saba nikamsihi alale, akasema siku nyingine leo nimsindikize tu. Basi nikaamka nikamsindikiza hadi karibu na kwake. Sio mbali sana, just approximately 5 minutes walk. Nikarudi kwangu, nakuta texts nyingi za sifa. Akaniambia notion kuhusu obsession ya wanawake wa Kenya kuhusu wanaume wa kitanzania, huku akikiri kuthibitisha hilo. Nikapokea maua yangu nikalala.

Asubuhi naamshwa na meseji yake. Ni kama tayari alikua manzi yangu sasa. Nikajisemea moyoni kama wote ni hivi si ntafia huku mimi? Nikajichekea nikaamka kujiandaa na ratiba ya siku. Hakukua na masomo kwa sababu ilikua Jumamosi. Mida ya saa tano asubuhi akaniuliza kama nipo, nikamwambia nipo library chuo, kuna assignment namalizia. Akasema nikirudi nimjuze na nisile popote, amepika.

Saa sita mchana nikarudi, hata sikumaliza assignment, nikajisemea kesho pia ni siku. Nikamwambia aje, nusu saa huyu hapa na container za chakula. Tukala hapo, tukashiba. Ugonjwa wake ni ule ule, movies. Uzuri nilikua naangalia sana movies nilipomaliza form six. Nilikua na almost 500 GB HDD imejaa movies na series tu, hapo acha zilizoko kwenye laptop.

Ukweli hata movie haikumaliza opening credits (yale majina ya mwanzo kabisa movie inapoanza kama Directors, Producers, Starring etc.) tulikua tayari mbingu ya saba. Movie inaendelea huku, na sisi tunaendelea na yetu. Piga show nyingine ya kibabe mno mchana huu. Tukalala hadi jioni kabisa mida ya saa 12. Tukaamka akaenda kuoga, kajiandaa akarudi kwake.

Mi nikabaki zangu naangalia movie. Mida ya saa tatu, nashangaa mlango unagongwa. Nikasita kufungua, maana sikua nategemea mgeni yoyote usiku ule. Ukaendelea kugongwa tena. Nikasimama kufungua, ile nimefungua tu, nikapokelewa na bonge moja la kibao. Nikakaa kwenye kiti nikiwa na wenge.

Wakaingia jamaa wawili, mmoja kapanda hewani mwingine saizi yangu japo ana mwili kuniliko. Kabla sijaongea chochote wakanikalisha chini kwa nguvu, sijakaa sawa nikapigwa teke la mbavu. Hapo sasa uzalendo ukanishinda, nikataka nianze kupiga kelele kwa sababu ukweli nilikua nimezidiwa.

Kabla sijafanya chochote, wakaniuliza swali moja tu na hapo nikajua nilipoyatimba.
"We ulicome Kenya kut*mba madem zetu ama kusoma msee?"
Nikakumbuka huyu ni yule jamaa nilimuona na Jessy kule dining hall wiki iliyopita. Akaniuliza tena na kibao juu, "Unajua Jessy ni dem yangu?" Kabla sijajibu mwenzake ngumi ya kichwa, huku anamshauri wakanireport kwa Dean of students nifunzwe adabu. Mwenzake anamwambia "wacha kwanza sisi tufunze adabu ghasia hii".

Wadau, nilichezea kichapo sio cha nchi hii, literally . Baada ya yote wakachukua simu yangu wakaniambia nitoe nywila (password), kinyonge nikatoa. Wakapitia meseji zote nilizochati na mrembo. Makosa. Wakafuta kila kitu hadi number ya Jessy, wakanionya siku wakasikia tena nimetoka naye, itakua mwisho wangu. Wakaondoka.

Aaaaaah nikapumua pumzi ndefu sana!. A sigh of relief. Nikakaa pale chini karibu nusu saa, natafakari. Wiki ya tatu tu hapa, nimeshaanza kutoka ngeu ntatoboa miaka minne kweli? Sikutaka hata kutoka nje, nikazima taa, simu, laptop yaani kila kitu nikajifunika. Nikajaribu kulala.

Sikulala usiku kucha, wasiwasi, nipo nchi ya watu, jamaa wanajua hadi kwangu, wakija usiku wa manane wanivunjie mlango wanipige beto?

Nikaamka mapema sana Jumapili, nikajiangalia kwenye kioo, sikuwa nimevimba sana, na uzuri nilikua na miwani na kofia. Nikatoka huyo mpaka chuo, nikakaa library hadi saa nne. Simu bado iko off. Nikaiwasha, meseji ya kwanza "Good morning babe", nilichoka mwili, nafsi na roho kwa sababu zilikuwa number za Jessy. Kumbe jamaa walifuta tu hawakublock.

Sijakaa sawa, simu yake inaingia. Nikajishauri, nipokee au nisipokee. Nikapiga moyo konde, nikapokea. Akawa anashangaa mbona sikua hewani tokea jana usiku hadi asubuhi ile.
Nikafunguka kila kitu kilichotokea usiku wa kuamkia siku hiyo baada ya yeye kuondoka.

Ukweli kabisa, yule binti alikasirika na kuhuzunika mno. Akaniambia tukutane nje ya geti la chuo tuka-report polisi yule jamaa akamatwe. Sikutilia maanani ushauri wake kwa sababu sikutaka mambo yawe mengi, mtu niko nchi ya watu huko nianze kusumbuana na polisi. Nikapotezea. Ila nikamwambia sikuwa tayari kuendelea naye tena.

Bado story ni ndefu ila nimechoka kuandika leo. Ngoja nivute pumzi.
Aisee Chagree Mazee ebu tupe muendelezo ya hii story iko poa sana Buddaa vyenye umesongesha au tuwekee uzi ya kivyake
 
Wakuu nais nakula usalama wa taifa kimasiara sijui ananichunguza uraia wangu sijajuwa

Iko HV tareh tatu January nilikuwa narudi karipoti kazini hvyo sasbh najindaa zangu kutoka ili nifike sehemu ya kupandia gari la ofisin Kisha tuendee kuelekea ofcn mtumba

Nimetoka getin kweny apartment ninako ishi ilazo dodma nikutana na dada anatembee na mkoba midhili ya kueleke uelekeeo mmoja ingawa mm Ni mkaz wa mtaa ule ila sijawai muona dada yule ktk mitaa hyo

Bas nikamsalimia za asbh"
Akajibu POA '
Nikamuuliza unaelekea uelekeo gani
Akajibu " naeenda tu vyovyote vile nikachekaa " vyovyote tu kwa hyo ukiamua inaweza kwenda mlimwa c kwa wazir mkuu unawezaa akasema naweza sana

Bas nikamuambia acha utani mm nafika martn nisubirie gar la ofc so tudake pikipiki moja tuelekee uko kama unaendaa uko ajajali snaa akasema poaa
Nikamuita dogo alipak sehem akafika tukapandaa
Wakt pikpiki inatembee nikachukua mkono wangu nkaushika kiuno akatuli aakatabasamu nikapapaza Tena ndipo akautoa na mm nikatulia

Tulivyo shuka nikamuuliza Kweli unaendaa mtumba au mjini akajibu tena kokote tu naenda mm

Namm nikamtaniaa nikamuambia dada ujue Nina nyege Sana hata ujaona nilivyo kusumbua kwenye boda hata huna uhurumaa kidgo tuanguke akacheke aksema kwa hyo unataka ukanitombe asbh hii yotee Huku akicheka ndipo nikamjibu kuwa ikiwezeka niataarisha kwenda job Kweli leo nikapate tunda lako nikamuambia kuwa najuwa wee Ni pisi au mke wa mtu hisi nafsi huwa haziji Mara mbili Kama ukinikubaliee walai naendaa kukubanduaaaa Sasa HV pale kwenye ile lodg ya vitoria akachekaa sna akasema wee Kama uanaonekana Malaya snaa " nikamjibu kuwa hpn bhna nyegee tu hzi daaa

Kisha akanimbiaa gari ile inayokuja naondoka nayo Basi nikatoa simu chapu nikampa asevu namba zake Kisha akinipa simu ikaja gari tx pardo inaendeshwaa akapanda a akaniambiaa bye mida

Basi na mm nikasubiria stuff bus baada ya dakik tano likafikaa lla kwetu nikapandaa nikanzaa kumtongoza na kumshawishi kwa msg ili jioni nikamkamue nilipo fikaa tu getini nikashuka nikampigiaa akapokeaa nikaanza kumuhoji akanimbia nimcheki saa nne anaingia kweny vikao nikakta nikatuliaaa

Nikapiga Kaz ingawa siyo kivile kwanza bado wakuu wa vitengo wengi hawajaripoti hvyo Kaz pia haziendi.

Imefikaa saa nne mm huyo nikampigiaa nikanzaaa kumuuliza maswla kama anafnya Kaz wapi au labda Ni askari au yupo ofc ipi akagomaa kusema akawa anasema utajuwa siku moja
Basi nikaingia kwenye hoja yangu nikamuombaa tuonane Basi hata mchana kwa luch akaniuliza Kwan sasa hv uanfanya nn nimuambiaa Niko Niko tu nashangashanga Hap ofcn hkn Kaz kihivyo maboss Hawajaripoti ndipo akanimbiaa njoo ninulie chai Hapa kweny kwa restaurant chapu nikamuambia nakuja sas HV

Kuna boda ilikuwa imepaki hapo huyoo nikaita nikasepa nayo kufika eneo la tukio nikamtex kuwa nimefiakaa akchekaa akasema una sipidi Kama Cha kwanza nimm.nikacheka

Nimefika pale tukaagizaa supu Yeye paja mm kidari na chapati mbili tukanywa
Na story mbil tatu Kish nikalipa tukamaliza nikamuambia
Madam plz kama hauko busy twende Basi ukanipe hata kimoja plz aksema Sasa Hivi HIVi nikamuambia ndio "nikajibu mbna fresh tu waage ofcn waambie umepata dharura utarud saa sab aksemaa mmh na wee itakuwaje nikamuambia Nawajulissha tu kuwa niko jiranj in case of anything
Ni kaona Kama anafikiri kitu nikamuwai kumuambiaa ngoja nite ile tax ituchukuee anataka kuongee aksemaa kwanin isiwe jioni plz nikamuambiaa noo plzz let us go now Tex iko pale twenda plz Ni trust "am not stranger am good person. Ni nyege tu hiz bas akakubali hao tukapandaa nikamleta Hadi kweny lodg zilizko pale nane nane stand hao tukaingiaa kule mm kuanza na mate akiwa amezimama na "akasema hafanyi kitu bila ndomu na mm kusikiaa hvyo nikaruka kauntaa kuchukuwa zanaa nikapewaa


Romance na touch za Hhapa na pale nimvua chupa na mm nnikavaa zana zangu vzr Kisha nikaanza kumwekea i
Akaniambia una bahat na mm leo nilikuwa na nyegeee snaa alooo nikapambuu haooo wazungu wakawasilii nikamaliza Cha kwaza akanimbia nenda kaooshe mboo urudi b nikarud akaliikamata akalinyonyaa vzr ikaamkaa tena vimaa nikavaa ndomu Nikampelekeqa Moto alishiaa kusmeeaa. Thanks de tanky ddddd

Tukamaliza saa saba tukarud ofcn nikamuambia muhudumu tunatoka tunarud jioni usije kuuza chumba changu!

Alivyoskiaa naongea ville na muhudumu akaniulizaa unataka urudi na demu wako nn baadaee nikamuambia elf 20 Ni ndefu snaa tutarud wote jion tukitoka job akacheke tukaita tax hao nikashuka mm yeye kapelekwaa sijui wapi huko aliko elekea tax

Basi saa kumi na moja nikamcheki akinimbia tangulia nakuja nitakukutaa anikafikaa kaunta nikaagiza hance choice na peps nikawa nimetuliaa namwait sa kumi na mbili huyo katmbaa. Tulitombana Hadi saa nne n Kisha nikaita boda tukashukaa Hadi mtaani kwetu

Ajabu kinachonishangaza had SAS hvi hapendi nimpigiee simu na msg anajibu kwa kusuasua ila janaa nimekaa zangu sina Hili Wal Hili na. Barid hili la dodoma nikaona msg inaingia inasema uko wapi nikmjulisha Niko sehemu x natizama mpiraa aknimbia nakuja hapo

Akfikaa mechi ya ivoire cost ikaisha akaagiza Savana mbili akamliza na mechi ikaisha tukasepa akaniambia leo naendaa kulala kwako nikasema poaa nikamla kimoja akaomba alale amechoka san akalal asbh saa kumi na Moja kanipa kimoja huyo akasepa bila kudai chochote akaelekea mtaa wa pili

Nampiagia simu apokei
Kwa kifupi Niko njia pandaa
Kwani sijui Kaz Wala ofc na hataki kupokea Simi zangu atasema I will call late na hapiginadata mm isije kuwa katumwa
Huyo atakua afisa KIPENYO mkuu😂😂
 
Weee noma!

Mwaka 2017 nilijiteua kuwa katibu tawala msaidizi wa wilaya ya Bunda, cheo ambacho hakipo.

Niliichapa vizuri sana barua, font size 12!
Nikiigonga na mhuri wa Siri.

Ilisomeka

UTEUZI
Kwa mamkaka aliyopewa rais wa jmt, ninayofuraha kukutaarifu kuwa umeteuliwa kuwa katibu tawala msaidizi wa wilaya ya Bunda kuanzia tarehe, siikumbuki.

Unapaswa kutipoti Kwa katibu tawala wa mkoa ndani ya siku 14 Toka upate barua hii.

Hongera.

O.S
Kmk
Nakala Ras,

Kwa barua hii, siku tatu nikiwa udom kuchukua cheti nilikula mademu 5. Kulikuwa mwana nilimseti awe anawaonesha Ile barua, wakijua wamempata kigogo kumbe hewa.
Daaaaa
 
Mwaka fulani hivi nilienda Songea nikawa nimefata huduma yangu ofisi za mkuu wa wilaya baada ya mazungumzo marefu na DC nikawa natoka njee ili niondoke wakati natoka kwenye viunga hivo nikamuona binti mzuri haswaaa anapita.
Akili ikaja huyu inabidi nimlambe nikamuita bahat nzuri akaja nikamuuliza unaenda ofisi gani akanielekeza baada ya kunielekeza ofisi ile nikajua pale kazi zao wanafanya bure wala hawaihitaji pesa ila ukikaa kindezi wanakupiga nikamwambia nenda pale ofisini wambie DC kasema mnisaidie ikishindikana nipigie wambie ww ni ndugu yangu na unaishi Kwangu
Bahat nzuri nilijua ratiba ya DC mda huo alikuwa anatoka kwenda kwenye mradi fulani
Bhas nikampa no nikaondoka baada ya dk chache no mpya ikapiga nipo zangu kwenye boda nikamtumia sms "tuma sms" baadae akatuma sms ndefu ya kunishukuru maana aliyokuwa ameambiwa mwanzo itamtoka si chini ya laki ila kwa amri yangu kafanyiwa bure sikumjibu mpaka jioni nikamuomba tukutane tupate japo soda kama anaweza akasema sawa ngoja angalie
Kwenye saa moja hivi jioni akapiga sikupokea nikamtafuta saa mbili uck akasema nilijiandaa ukawa hupokei nikamwambia sorry majukumu kidogo yalibana akauliza tunakutana wapi ikabidi nicheze kama Pele nikamwambia kwa hadhi yangu na cheo changu nikionekana maeneo ya wazi na ww itakuchafulia saana ww pia mm maana Chadema watatumia kama njia ya kunipasua kisiasa nikamuomba kama hatojali nitafute lodge au hotel njee ya mji tuongelee humo akasema sawa
nikaenda lodge niliyofikia nikatoa vitu vyangu nikahamishia mapokezi nikampanga nenda lodge fulani chumba no nne mm nikakaa njee ili nione kama ni mtego wa PCCB niwahi kuchimba nimekaa pale nikamuona anaingia nikamuomba anisubir ntakuja nimeingia saa sita usiku akawa ameshalala kulikuwa hamna story tena ni kunyanduana mwanzo mwisho na niliendelee mara kwa mara alivyorudi chuo dsm nikamwambia mm nishatumbuliwa nikiwa nampeleka lodge Tu za buku 10
Samahanini kwa mwandiko mbaya.
DC kivuli,umepiga kama miso misondo!!

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
ivi hao wadada wote mliowakula kimasihara hawapo um jf waje wathibitishe,,au wadada hatujawah kujilengesha tu af wenyewe wajue n kimasihara kumbe n plan
 
Kaka
Mwaka fulani hivi nilienda Songea nikawa nimefata huduma yangu ofisi za mkuu wa wilaya baada ya mazungumzo marefu na DC nikawa natoka njee ili niondoke wakati natoka kwenye viunga hivo nikamuona binti mzuri haswaaa anapita.
Akili ikaja huyu inabidi nimlambe nikamuita bahat nzuri akaja nikamuuliza unaenda ofisi gani akanielekeza baada ya kunielekeza ofisi ile nikajua pale kazi zao wanafanya bure wala hawaihitaji pesa ila ukikaa kindezi wanakupiga nikamwambia nenda pale ofisini wambie DC kasema mnisaidie ikishindikana nipigie wambie ww ni ndugu yangu na unaishi Kwangu
Bahat nzuri nilijua ratiba ya DC mda huo alikuwa anatoka kwenda kwenye mradi fulani
Bhas nikampa no nikaondoka baada ya dk chache no mpya ikapiga nipo zangu kwenye boda nikamtumia sms "tuma sms" baadae akatuma sms ndefu ya kunishukuru maana aliyokuwa ameambiwa mwanzo itamtoka si chini ya laki ila kwa amri yangu kafanyiwa bure sikumjibu mpaka jioni nikamuomba tukutane tupate japo soda kama anaweza akasema sawa ngoja angalie
Kwenye saa moja hivi jioni akapiga sikupokea nikamtafuta saa mbili uck akasema nilijiandaa ukawa hupokei nikamwambia sorry majukumu kidogo yalibana akauliza tunakutana wapi ikabidi nicheze kama Pele nikamwambia kwa hadhi yangu na cheo changu nikionekana maeneo ya wazi na ww itakuchafulia saana ww pia mm maana Chadema watatumia kama njia ya kunipasua kisiasa nikamuomba kama hatojali nitafute lodge au hotel njee ya mji tuongelee humo akasema sawa
nikaenda lodge niliyofikia nikatoa vitu vyangu nikahamishia mapokezi nikampanga nenda lodge fulani chumba no nne mm nikakaa njee ili nione kama ni mtego wa PCCB niwahi kuchimba nimekaa pale nikamuona anaingia nikamuomba anisubir ntakuja nimeingia saa sita usiku akawa ameshalala kulikuwa hamna story tena ni kunyanduana mwanzo mwisho na niliendelee mara kwa mara alivyorudi chuo dsm nikamwambia mm nishatumbuliwa nikiwa nampeleka lodge Tu za buku 10
Samahanini kwa mwandiko mbaya.
Huna baya mwandiko wala hauna shida
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nakumbuka tuliwahi kodi kosta marafiki wa mtaani tunapofanyia biashara kwenda kwenye graduation ya mtoto wa mfanyabiashara hapa mtaani, basi tulienda tunakunywa na kufika tunakunywa na kurudi usiku kama saa 6 hivi tumelewa mbovu, njiani tukakutana na hiace imeharibika ikatulazimu kuwapa abiria lift manake ilikuwa usiku mkali, basi kuna kadada kanauzaga duka la nguo hapa mtaani kakaachia siti kwa mbibi mmoja kakanikalia, ila tumezoeana sana, kalivaa gauni, kunikalia tu jogoo akawika, kumgusa mbususu kametulia tu na tupo back seat, kiukweli nilifungua zipu na kenyewe kwa nyuma kakapandisha gauni, mie abdallah kichwa wazi ndani, dakika 2 nyingi wazungu hao, mpaka leo kanasemaga hakaamini nilikala kwenye kosta.

NB: Usiulize kama nilitumia zana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom