Minja Ngalason
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 894
- 1,118
Qumanina ww jamaaKAZI IENDELEE!
Ndugu wafuasi wa shetani, kitengo cha zinaa, waumini wa ufuska, bila kuwasahau wanachama wa tawi la uasherati, nawasalimu kwa jina la kula tunda kimasihara. Baada ya kuvumilia kwa muda mrefu, uvumilivu umenishinda asee. Acha na mimi nishushe habari zilizojiri katika pirikapirika za kula mbususu. Wewe fala wa kuitwa Rikiboy, nimeconfirm utachomwa moto namba 69 jirani kabisa na Osama Bin Laden na wapuuzi wengine kama Adolf Hitler na Idd Amin "dada".
Turudi kwenye mada dadek zenu. A few years ago, nikiwa mwaka wa kwanza pale chuo kikuu Ardhi, nilipanga chumba mtaani nikiwa na washkaji zangu baada ya kukosa hostel. Nyumba tuliyopanga ilikua inamilikiwa na mabinti watatu (nyumba ya urithi). Wa kwanza na wa pili, wote walikua walevi kupindukia. Na huyu wa tatu ndie alikua muungwana, and of course alikua "fuckable" pia. Uzuri wa wastani yani, kama mnavyowajua mabinti wa kichaga.
Sikua na mazoea nao kabisa sababu ya ugumu wa ratiba yangu. Kozi niliyokua nasomea ilikua very demanding, nikawa mtu wa kurudi gheto usiku, na siku nyingine nakesha kabisa (wazee wa archplaza naamini mmenisoma). Tukawa tunaonana dakika kadhaa tu, tunapeana salamu then mambo mengine yanaendelea. Haka kabinti nilikua nakamezea mate kidizaini, kama vile Kigwangala anavyomezea mate uwaziri (mataga mnisamehe). Kwa bahati mbaya, shetani kitengo cha zinaa za rejareja alikua likizo, ratiba haikuruhusu.
Siku ya tukio, kulikua na kasherehe kadogo ka bethidei ya mtoto wa binti mkubwa (mmoja kati ya wamiliki wa nyumba niliyopanga). Kwa bahati nzuri au mbaya, nilikua nimemaliza mitihani ijumaa, na hako ka sherehe uchwara kakawa jumamosi. Nikaombwa nihudhurie, nikakubali bila hiyana. Kasherehe uchwara kakafanyika mazee. Then usiku ulivyokolea, majirani wakatawanyika. Tukabaki wakazi wa mji husika, tukiwa tunapiga story makundi makundi.
Mimi nilikua nimejitenga pembeni kwenye kagiza totoro nikiwa nachat (kuna manzi nilikua namuweka sawa), ndipo yule binti mdogo ninae mmezea mate akaja kukaa na mimi. Tukawa tunapiga stori za kifala fala tu, huku namuona anajichekesha kikumamae kumamae. Mara ananiambia eti "wewe nahisi huwa unanitaka, ila unashindwa kuniambia", what a mistake hahaaa! Tukiwa katikati ya story zisizo na kichwa wala miguu, mara pepo la ufuska likaninong'oneza, "acha story za kisenge, peleka gheto huyu ule mbususu". Ikumbukwe huyu shetani alimkamata mpaka mfalme Suleiman na hekima zake, sasa mimi ni nani ndugu zangu?
Mpaka hapo ikawa wazi, mtoto anataka mjubilenga. Anko shetani a.k.a shetty baby bin shettlicious, akaniuliza "nikupe nini tena kijana wangu?" Nikajibu anko shetty tulia, huyu "narara nae mbere". Basi nikamwambia mtoto, hapa nje mbu wengi sana, twende ndani tukapige story. Akawa kimya ananiangalia tu. Nikaamka kuelekea gheto, namuona ananifuata nyuma, nikajua tayari "Sabaya ameingia mikononi mwa TAKUKURU" (mataga mnisamehe tena maniner zenu).
Alivyoingia ndani mazee, nikabana mlango kabisa wakati yupo kasimama tu hajui cha kufanya. Kuna kochi ila hakai, kuna kitanda ila halali. Nikajisemea tu, it's a good thing you're waiting for my orders! Nikamsogelea kwa nyuma, kamata kiuno kananiangalia tu. Busu shingoni, kanafumba macho, shika matiti naona kanalegea. Nikakalaza kitandani, then nikakavua jeans na top. Ilipofika zamu ya bra, nikafeli mazee (nitaelezea siku nyingine sababu ya kufeli). Wakati naendelea na romance ya hapa na pale isiyokua na formula maalum, shetty baby akarudi tena akanishtua, "kijana punguza chenga, tafuta goli".
Ndugu wafuska wenzangu, nikamgeuza mtoto na kumuweka ile mnaita mbuzi kagoma kwenda (sijui huwa mnataka aende wapi), chupi yake sikuitoa, niliisogeza tu pembeni baada ya mimi kuwa nimevua tracksuit na boxer kwa kasi ya 5G. Nikapitisha ukuni ukateleza. Nikapiga mzigo, nikala mbususu, nikasugua papuchi ndugu walimwengu. Baada ya dakika takribani saba, nikashusha wareno. Iwe niliwahi au nilichelewa, utajua mwenyewe. Mimi ninachojua, i had fun!
Binti akasepa ndani kwao, mimi nikaingia bafuni, siku ikapita. Baada ya wiki mbili nikiwa nimeshapiga mechi kadhaa za marudiano na yule binti, siku hiyo natoka gheto, ghafla kwenye uchochoro wa kuingia public toilet, nakutana uso kwa uso na pisi moja yenye ukali wa wastani ikiwa inaelekea chooni. Mtoto black beauty, tako la wastani and more important, alikua amevaa kichokozi and I like them nasty hehee. Ni mpangaji mpya maniner, shetty baby kanipa jaribu lingine. Hii ni story ya siku nyingine mazafanta. Kwa leo tuishie hapa. Fu@ck you all, and have a nice day!