Yaani nimecheka hadi daladalani watu wakawa wananiangalia.

Bazazi


Usicheke sababu mimi nilijua naenda kumtembelea bro kweli mpaka sikua na wazo nachoshkru mpaka wa leo ananitreat kama katoto nilijpatia bonge ya mume
 
Miaka kadhaa, nilipanga mitaa fulani hapa jijini ilikuwa sebule+chumba (master bedroom) katika hiyo nyumba wapangaji tulikuwa watatu.
Miezi michache ofisi ikapata mradi mkoa mmoja huko kaskazini hivyo nikawa miongoni mwa wafanyakazi waliotakiwa kwenda huko. Kutokana na mazingira ya kule mkoani ilikuwa nakuja dar kila baada ya miezi mitatu. Nikiwa mkoani mama mwenye nyumba(tulikuwa tumezoeana Sana) akaniuliza kama natarajia kurudi siku za karibu, nikamjibu hapana. Ndipo akaniomba atumie chumba changu ili amhifadhi ndugu yake kwa siku kadhaa. Sikumkatalia na kwa kuwa alikuwa ni ni mama mstaarabu. Hivyo alitumia ufunguo wa akiba ili ndugu yake aishi kwenye chumba changu. Kufikia hapo hata sikuuliza jinsia ya huyo mgeni.
Wiki mbili baadaye nikahitajika kurudi jijini kwa suala la kiofisi. Kwa kuwa nilichelewa kutoka mkoa, nilifika Dar saa tatu usiku, mpaka nafika nilipopanga ni saa nne kasoro. Nikafika na kufunguliwa mlango mkubwa, na kukutana na mama mwenye nyumba akiwa amekaa nje na dada mmoja mnene na mweupe. Niliwasalimu na kumpatia mama mwenye nyumba zawadi zake kutoka mkoani. Mama alishukuru na kisha kunipa pole ya safari na akaongeza kusema ",unajua yule mgeni wangu niliyekuambia ndio huyu hapa" nikamtupia jicho bi dada na kupigwa na butwaa maana mimi nilidhani mgeni ameshaondoka. Mama akaendelea nenda kaweke mabegi yako kwanza, huyu atakuja kutoa vitu vyake ili akalale na wadogo zake".
Niliingia sebuleni na kuweka mabegi nikaelekea chumbani na kukuta kitanda kimetandikwa vyema, dressing table imejaa vikorokoro vya kike na chooni kumeanikwa chupi kadhaa.
Akili nyeusi ikaniingia, nikatoka nje na kumwambia mama kuwa kwa kuwa ni usiku basi acha dada alale tu huku, Mimi nitalala sebuleni, haina tatizo. Mama mwenye nyumba alimwangalia dada kisha akasema,kama amekubali sawa ila usimletee fujo tu maana ameshposwa huyu.
Mama mwenye nyumba aliingia nyumbani kwake mimi na binti tukaingia nyumba ya wapangaji mpaka sebuleni. Binti alikuwa amevaa track na t-shirt moja pana. Tulipofika akaishia sebuleni na kuniambia nenda kaoge kabisa ndipo nije kulala huku. Niliingia na kuoga Kisha kutoka na shuka pamoja na mto tayari kuja kulala sebuleni. Binti akaniambia kitanda kikubwa sana kile kwa nini uteseke wakati umelipa kodi. Baada ya mazungumzo ndipo nikagundua kuwa amekuja kwa ndugu yake akijiandaa kuolewa wiki chache mbele.Alikua mchangamfu na mwenye kujiamini sana.
Tukaingia bedroom na mashindano ya nani alale upande ukutani yaliianza. Mwisho akakubali kulala ukutani. Saa sita hivi nikiwa nimepitiwa na usingizi nadhani kwa sababu ya uchovu wa safari niliamshwa na sauti ya huyu binti akiwa anaongea na mume wake mtarajiwa. Alipomaliza kuzungumza aliniambia sorry Kisha akasema mume mtarajiwa ana wivu sana. Sikuwa na neno la kuongeza, aliendelea kuniuliza mbona hujajifunika huku akikunjua shuka na kunifunika, nikamwambia siwezi kulala kama taa inawaka ( maaa alitoa sharti la taa kutozimwa) na kama mjuavyo ni ngumu kuanza utundu mkiwa mnaonana 😂
Binti aliinuka na kwenda chooni kisha akazima taa na kuja kitandani na kunifunika shuka moja pamoja naye. Alijisogeza Karibu kabisa na kuweka kichwa begani.
Tuliamka kama tulivyozaliwa maana nilikula tunda la bi harusi mtarajiwa kwa Wiki mbili mfululizo. Binti alikuwa mlaini yule, vilio vya mahaba, msafi na anayependa mchezo. Wiki tatu baadaye akaolewa.
Sijapata tena mama mwenye nyumba mkarimu kama yule.
Sioi mm.🏃🏃
 
Mtaa niliokulia wanananiheshimu sana kama kijana niliyetulia na mstaarabu. Wakati nipo sekondari kuna vile vibinti vilivyokua primary bado vidogo sana.

Baada ya kupata kazi dsm, majirani wanadhani bado ni yuleyule Kiga mpole, kama kuna kabinti kanasafiri kupitia dsm wananipigia sim mpokee mdogo wako flani anaenda shule Ifakara/Regina Mundi/Kilakala etc Wakati huo nikiwa bado bachelor na wanajua ila wananipostia vibinti.

Nimejikuta nawala mabinti wa mtaani kama sita kwa staili hii.

Wa mwisho kabisa ilikua 2016. Huyu ndo alikua anaenda kidato cha tano Kilakala. Kiukweli sikua na mpango nako kwanza kwa sababu nilishakulaga dada yake kimasihara, pili nilikua nishaoa. Basi tumekapokea stendi ya dar express kanaaibuaibu kufika home baada ya kutulia nikakaita tukaanza kupiga stori za Arusha kitaa.

Nikakauliza, dada yako nanlii hajambo. Kakaanza kucheka kichinichini. Eti, hajambo ameniambia nikusalimie. Nikakauliza, mbona unafurahi. Kakasema basi tu, nikajua hawa washasimuliana.

Kesho yake wife kaenda job, mm nlikua likizo, nasikia kananigongea kanaomba nguo chafu kafue. Kutoka nakuta kanakijikanga kimoja tu. Mtihani. Nikakatolea nguo, nikasogea kucheki tv huku nikiperuzi mitandao, kakaacha kufua kanajipitisha na kanga yake.

Nikajidai nakaomba maji ya kunywa. Ndugu msomaji najua mnaelewa zile kanga zinazofungiwa nyuma ya shingo, sometimes manzi akitembea kipaja kinakua wazi. Huyu mtoto sio kipaja tu, yaani wakati ananiletea maji niliona hadi pichu.

Kwa hiyo kimsingi nilimvutia tu hapo kwenye sofa tukamalizana.

Eti kananiambia hongera kula mtu na dada yake.

Nakauliza kalijuaje, kakasema dada yake alimuomba asinikubali hata nikimtongoza maana eti itakua sio vizuri kwa familia na nitawadharau.

Uzuri kanaheshima, Wife alivyorudi akakuta kila kitu ameshasaidiwa. Na nimabest mpaka kesho. Sema hatujarudia tena ingawa kanakujaga sana home maana kapo hapa mjini kanasoma chuo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nipe namba yake Kama hutajali mimi ni kijana mstaarabu sana
 
kwa niaba ya aliyenila kimasihara
Ni jirani na pia family friend hivyo tuliishi kama ndugu hivyo nilimchukulia kama kaka tu kwa mazingira tuliyokulia so hakuwahi nitongoza japo macho yalikua yanaongea.
Akahamia mjini kwa ajili ya mishe zake nikiwa kidato cha pili nikaenda tution kwa mjomba mjini alipo sababu tunawasiliana akanambia nikamsalimie siku ya kuondoka mjinga mimi kweli nikampigia akaja kunichkua nikasalimie kaka mpuuzi huyu wakati nakunywa soda ndo anasema anipenda nivile tu hakupata nafasi ya kunambia na bikra yangu ilokua inasubiri ndoa ikatolewa pale pale kuanzia hapo ukawa mchezo wetu mpk namaliza 4.
N.B ni mume wangu wa ndoa miaka zaidi ya saba sasa
Umezingua aiseee mumeo wa ndoa ndo unamwita 'mpuuzi'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa udom chuo kuna dada yuko dar pini hatari tunatoka nae kijiji kimoja hatukuzoeana sana nilipata namba yake nikamtumia sms kiutani tu 'kuna mtoto anaitwa TUTO na baba yake anaitwa MBANE Je huyo mtoto ataitwaje shuleni?' akajibu. Baadae akaniuliza kweli unataka tufanye? Nikajibu ndio nilijua hawezi kufika dom, hee nashangaa anapiga simu nijiandae anakuja kweli akaja ilikuwa ijumaa nikachukua gesti huku tumbo linaniuma mapigo ya moyo yako juu kiukweli nilikuwa namuogopa kwanza mkubwa halafu mzuri balaa basi nikapiga moyo konde nilipiga show ya hatari yaani ilikuwa kama dozi kwa mgonjwa mpaka jumatatu namsindikiza stendi nikarudi chuo niko nyanga'nyang'a akanogewa akaja tena mara ya pili wenyewe ilikuwa tunaita ku- import
 
Umezingua aiseee mumeo wa ndoa ndo unamwita 'mpuuzi'

Sent using Jamii Forums mobile app
Waah sisi wala hatujawahi kuwa serious na maisha tunaishi kama washkaji tunananiana vyovyote pengene labda sababu hatupishani kiumri watoto mpk muda mwingine wanetu wanatuita kwa majina yetu sorry kama umeipa uzito ila sisi hua utani mwingi inategemea tu na ulipoutelea
 
Katika wote waliokula madem iwe kimasihara au planned naona wote wamekula madem classic madem wazur mara wa geti kali. Kwan hawa madem wa kawaida ambao co warembo sana hawaliki kimasihara?
Ni mkuu mmoja tu Juma p Maharage yeye peke yake ndo amekiri kwa kinywa chake kua alimla kimasihara Kichaa mmoja ambae alizoeana nae.
Mkuu Juma p Maharage rudi bhana umalizie ile stori yako tyjue uyo kichaa wako alipatwa na nini hadi akapotea mtaani hapo?
Za wasio wazuri hazivutii mkuu, zipo nyingi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu
nikikazia story yangu hii, July mwaka jana 2019 kuna mshkaji alikua anataka kuoa. so ktk send off akaniomba mie niwe best man wake. fresh nkawa best man. sasa yule best man wa bi harus mtarajiwa bhana ni Rafiki wa bi harusi. akatokea kunielewa saana. tukaanza relation fresh. ana sifa zote za kunifaa kuoa. lkn namkwepa kinoma kukaa nae falagha. coz naona ataona mbona siombi mzigo. kumbe mwenzake naogopa kuadhirika. basi huyu ndo ananifanya sina Amani. coz wanawake ndo wanasemaga tusubiri hadi ndoa ndo tugegedane, lkn hii imekua kinyume. me ndo nataka tusubiri ndoa.

October 2019 kampuni yetu ilinipeleka china kufanya training fulan ya wiki 3. sasa siku narud bongo demu wangu alkua amenipania saana. (kumbuka sijawahi mgusasex. zaid ya kiss, na romansi then nakwepa). kufika airport ilikua saa 8 usiku. kuclear pale hadi kutoka terminal 3 tayari saa 9. akaja nipokea kimya ingawa me nilimkataza maana nilijua anachokitaka. akakodi uber haoo, akamwambia dereva tupeleke kimara, (kwake) wakat me kwangu mbezi Makonde. daah tumefika pale nkaoga, ile natoka nakuta kavaa mtandio na yeye kaingia kuoga. nilivomuona vile me kitu 4G. LKn nkajua akitoka tuu kuabishana. nkafungua mlango, nkaacha mabegi yangu nkatafuta boda boda nkasepa. nkazima simu zoote. nkafika home nkawaza jinsi alivokua kavaa nkampigia nyeto freeeshi

kesho nkawasha cm nkakuta sms zake nkamtia block fasta kabla hajanitafuta.. hii kitu mbaya wazee. wanaosema pesa ndo kila kitu me hapana. maana km pesa nalipwa fresh, nna Maisha standard tuu, nasukuma ndinga spacio ingawa old model. lkn sio haba. hili jambo bhanaaaa linanikosesha kinoma.

back to ma girlfriend nshamgegeda mara moja. November hii. ingawa nilimlia Viagra 50g. najua ni mbaya lkn ckua na option.. na nkamwambia ushanijua mzima, kuonana tena ni after wedding.
.
Mkuu ninaomba nikupe ushauri na wala sio pesa ninakuomba. Binafsi boarding miaka sita chaputa sana ila Niko poa. Ishu no saikolojia. Niwekee namba yako pm tuongee. Luna muda college yetu aka Coet inacheza na udbs wanatutania wapiga puli. Ninawaambia bila ya pull fizikia haiendi
 
Hivi watu wanaodai hizi stori ni uongo wanaweza kuthibirisha au ni kujimwambafai na kimbelefronti tu

Chai chai kwani ulikuwa naye? Pia kwani umelazimisha kupita mitaa yenye chai nyingi! Kuchamba kwingi tu. Leteni zenu zenye uhalisia. Wivu unawasumbua sana na mtakufa na kijiba cha roho

Bazazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo wanatamani wangekua wao basi tu!
Wanabaki kusema chai...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani hizi bahati tunazokutana nazo kwenye public buses watu wanakuwa kwenye mission. Last week niliamua tumia usafiri wa umma. Kutoka kituoni sikupata siti hadi nafika Uhasibu watu wengi pale wanashuka; jirani yangu kuna kijana alishuka akamwacha binti wa Kipare japo yeye anadai Mngazija kakaa siti ya dirishani.

Nikaketi kwenye ile siti safari imeendelea kufika Mivinjeni kukawa na foleni baada kama ya dak 5 nikamwambia yule binti hii foleni bora nitembee kazini jirani. Akasema anaomba kama simu yangu ina dakika aongee na dada yake anamsubiria akimtumia meseji hajibu, nikampa akapiga kama mara mbili simu haikupokelewa.

Akanirudishia simu mie huyo nikasepa, jioni akanitext kwa namba aliyokuwa ana beep kuwa hello dada nilimkuta mie fulani, nikasema poa unaishi wapi akasema Kariakoo, Mzizima.

Nikamuuliza Kigamboni ulitoka kwa nani akasema kusalimia ndugu nikamtania weekend basi itakuwa zamu yangu kupokea mgeni akasema kesho narudi Arusha na tiketi nishakata nikasema poa basi ngoja nije angalau niku-hug mtoto wa Kingazija. Akajibu kama nitamrudishia nauli ya tiketi kesho aje kunisalimia alafu kesho kutwa aondoke nikaona itani-cost zaidi nikamwambia nachelewa toka shift kesho ngoka nije tu niku-hug akasema poa.

Nilikuwa home nikawasha zangu gari huyo mpaka Mzizima nikamchukua mtoto tukaenda kule Jangwani kuna sehemu fulani yanapaki malori ya mizigo.

Tumepiga story mbili tatu akasema anataka rudi home dadake atamgombeza nikasema tukae nyuma basi uni-hug akakubali kwenda nyuma mtoto kashaanza mchezea nyeti yangu, alikuwa kasimama akasema lol kuna usalama kweli hapa. Nikamwambia usijali ni-hug tu uondoke.

Ishu ikawa style ya kuni-hug nikamwambia unakuja kama nakupakata naku-hug mtoto wa Kingazija. Akakubali akatoa baibui ndani alikuwa amevaa gauni fulani la kuteleza nikawa nashindwa mpakata vizuri lilikuwa linabana nikamshawishi apandishe akawa akagoma kumbe ndani hajavaa kitu, nikamwambia sikufanyi kitu kwenye gari akakubali kusogea.

Nimem-hug katulia tu akaniuliza hivi kunisumbua kote huku unanilipa nini nikamwambia ukitulia kuna zawadi nzuri akasema haya, nikatoa dudu nikamwambia akalie akakubali tukapiga kimoja fasta nikamwamchia 40 na kumrudisha home.

Kesho yake nikamcheki vipi umesepa akasema hapana dada yake kamwambia kuna kazi anamtafutia atulie kwanza nikasema nakuja baadae kukusalimia akasema poa tukarudia kamchezo japo alininyonya tu. Tulifanyia kwenye gari napo nikamwachia 20 nilichokuja gundua anajiuza; simu yake ina applicatiom za Badoo Tinder Tagged nikajua na mie nilinaswa kwenye mtego wake na Kigamboni alitoka kutoa huduma asubuhi yote ile ajihumu kutoka kwa ndugu kwenda kwa ndugu. Mpaka leo sijamcheki akini-text namwambia nipo safari.

Wanaume tuwe makini, hakuna bahati -- watu wapo kazini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom