Nimetoka West Kilimanjaro kuchukua nyanya za kuzipeleka Dar.. Kufika Njia Panda,Moshi nikapaki kusubiria kagiza kaingie kuepuka tochi na vyeti pia kuoneshana umwamba barabarani 'ligi'...
Basi nikachoma nyama kushibisha tumbo.. Muda umesogea sogea akaja jamaa fulani dalali wa pale, kanipa mchongo wa abiria anaenda Dar.. Tukakubaliana bei na hela yake ya udalali... Nikawa nimesave hela yangu, hapo tayari nimepata buku buku za askari njiani...
Akaenda kuja na abiria, alikuwa mwanadada miaka kama 27-29 hivi.. Alikua mweupe, ni demu wa kawaida.. Hana maajabu ya kushtua.. Nikakaa nae pale tukawa tunapiga stori na kusindikizia na nyama.. Alikua kaja Moshi kumsindikiza rafiki yake msibani.. Nikamnunulia bia 3 ingawa mwanzoni alikua anadengua dengua... Hapo nakunywa maji maana nikiwa barabarani tungi nalisaliti kwa muda...
Saa 1 kasoro tukang'oa nanga, hapo ni mwendokasi spidu ya bombadia full kufukia mashimo, mwendo wa kufukuzana.. Ukikutana na mnyonge unamkatia mlimani akija kumaliza kilima anaona taa zinatokomea kuleee.... Gari nililokuwa nalo lilikua nzima na ule mzigo wa nyanya ikawa ni kama kipeto...
Yule demu alikuwa anasinzia vibaya mno, muda mwingine nikawa nachezesha gari ili aamke... Kabla ya kufika Hedaru akaniomba akojoee.. Nikatafuta sehemu nzuri ya kupaki, akashuka kukojoa nikawa nampiga chabo kwenye sights mirror... Akarudi, tukaendelea na safari, hapo kichwa kishakata network nawaza tuu namna ya kula tunda.. Nikawa na shindana na pepo la ngono linaning'oneza 'usiache chombo hicho'... Katika lindi la mawazo zikanikata Fuso 'singo' mbili, hataaa! ni dharau sana kupitwa na 'singo' nikanyoosha mguu ikaibuka ligi kidogo uchu wa ngono ukatoweka...
Tumeenda kufika Korogwe anataka tena kukojoa, nikaona huyu analeta mambo ya kucheleweshana... Nikamkazia hadi tufike Michungwani ndio atakojoa... Nyoosha goti kweli Michungwani hii hapa, akaenda zake kutafuta choo nikabaki kukagua gari.. Tukaa pale kama robo saa ili kidogo injini ipoe..... Haooo tukaanza kuzikata kilomita, Kabuku, Mkata, Mmbewe, Msata, Kiwangwa... Tukawa sasa Bagamoyo kuitafuta Dar, kuna sehemu akataka tena kukojoa.. Amaaa! Nikatafuta sehemu poa pa kuweka gari, akashuka nami nikashuka... Nikawa nakagua matairi upande wa kulia kufika upande wa kushoto nikamkuta kachuchumaa hajamaliza kukojoa...
Kuniona kashtuka 'jamani sii vizuri kuchunguliana' nikabaki kumwangalia na kale kasauti cha mkojo chwiiiiiih kikaamsha kichwa cha chini.. Akamaliza, akapandisha chupi na suruali yake akawa anaelekea kwenye gari nikamshika mkono... "Hapa nikiendesha gari tutapata ajali" nikamwambia... 'Kwanini'... "Mapaja yako hayo meupe na tako lako la uchokozi vimekaa machoni barabaran sitaiona.." Akacheka kisha akaniambia 'sasa utafanyaje'... Nikaona hapa nikaze nijilie kitumbua "wewe mkubwa bhana, nikishusha mzigo macho yataona barabara"... 'Weee mazingira hayaruhusu na sijawai kufanyia barabarani' akaniambia....
Nikajua huyu muoga tuu, nikaanza kumshika chuchu mara ya kwanza akawa hataki anasema 'naogopa' nikamwambia 'kila kitu kina mwanzo' mipapaso ilivyomkolea akaachia... Ile haikuwa na cha maandalizi wala nini... Nikamshikisha body ya gari, teremsha chupi, teremsha suruali paka mate mbo* tia kitu ndani... Alikuwa na K kubwa, hapo ni mwendo wa nje ndani fastafasta ili nikojoe safari iendelee.. Magari niliyoyaacha yakawa yananipita na honi nyingi wakijua nimepata breakdown, kumbe najichenjulia k...
Tulitumia dakika 20 kuvunja amri ya 6, nikajinawisha na yeye akanawa (hapa niliuze mechi)... Cha mbele, breki Ubungo akashuka maana alikuwa anakaa Magomeni... Saa 11 nikafikisha mzigo Stereo sokoni, hata namba za demu sikuchukua..