MeruA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 1,390
- 2,153
Mtu ambaye hajawahi kuchakata pampuchi za kutosha hatakuelewa ila kwa sisi (mimi) tuliowahi kufanya uzinzi wa kibaharia enzi hizo hii komenti yako upo sahihi 101%Kuna mstari mwembamba sana kati ya mwanamke malaya na asiye malaya.
Na huu mstari mwembamba unaweza ukawepo kwa kuwa tu hujajua mambo ya mwanamke husika.
Mwanamke anaweza kuonekana mstaarabu na anayejishimu lakini siku ukijua faili lake utabaki mdomo wazi.
Mstari kati ya mwanamke malaya na asiye malaya ni wa kuangalia kwa kutumia microscope.
Enzi za ubazazi wangu miaka kama kumi tu hivi iliyopita nilikiwa mzinzi kuliko hata neno lenyewe, nilichakata pampuchi za kila aina bila hata sababu za msingi.
Siyo married, siyo binti,siyo single mothers yaani ilikuwa kanyaga twende, uzinzi ulinipa ujasiri wa kutongoza mwanamke yeyote mwenye kazi yeyote na nafasi yeyote ila tu niwe na ukaribu naye ameishaa.Mpaka nikawa najiuliza wanawake wenye misimamo ya kusema NO na wakasimamia wanachokisema wapo lakini ni kiasi kidogo sana.
Nilipomaliza shule na kuingia mtaani huo ukawa mwisho wangu wa kufanya uzinzi,nilipooa 9 years ago ndiyo kabisaa hata kupiga voko nimeshaanza kusahau,
Mpaka leo huwa nakaa najiuliza hivi nilikuwa nawezaje enzi hizo kuwa na more than 5 girlfriends/ladies na hawakutani lakini leo only one wife anaweza kukamata namba ya mwanamke hata sijamtongoza


Mkuu comment yako imenirudisha mbali sana.

