Baada ya kumaliza chuo yeye alipata kazi dar mimi nikapata mkoani. Mwana yupo alishaoa na ana Watoto wawili kwa Sasa..alikujapata mke Mrembo sana. Wakati wakiwa wachumba nilibahatika kukutana nao mlimani city... Baada ya kunitambulisha tu mwana akanivuta pembeni akaniambia...mwana huyu ndo nataka kuweka ndani pls usifanye kama yule mwingine. Nikamjibu...ondoa shaka mwana...mpaka harusi yao nilihudhuria na mwana alitaka niwe best man wake mimi nikakataa.

Tuliendelea kuwa karibu...kila nikija dar nilikuwa nawatembelea maana makazi yangu yalikuwa dar. Badae nilipunguza tabia ya kuwatembelea sana maana kuna kitu nilihisi kinaweza kutokea.

Kimsingi mimi na mwana ni rika moja ila mwana ana utoto Fulani na mimi nilikuwa naonekana nimepevuka zaidi yake. Kwa hyo tukiwa Kwenye mazungumzo mimi nilikuwa nasikilizwa zaidi. Hata mke wake alikuwaga anayapa attention sana mazungumzo yangu. Kwa hyo nikahisi kinaweza tokea kitu..ikabidi nipunguze mawasiliano nao.

Badae mimi nilihamia mkoa kabisa kwa hyo kukitana nikawa haipo tena...tunawasiliana kwa simu tu...ila nikifika dar huwa nawatembelea

Mwana bado ni kitombi na hata mke wake anajua...sema mke anampenda na anapenda familia yake kwa hyo vitu vingine anavumilia tu.
Vizuri sana mkuu.. nimejifunza kitu.
Napenda sana watu wakae kirafiki.. Hongera sana
 
Nilipiga shoo kama ya Mr Marcus kudadadeki tumetoka sote tumeroesha chapachapa kwa jasho, yule dada hata hiyo mudi ya club yote ilimruka akachukua bodaboda akaelekea nyumbani na mkoba aliacha akafata skuyapili.

We acha tuliacha kiharufu mle mana yule dada mazingira yake hayakua mazuri kabisa, Ila niliwahi mapema Skuyapili nikaeka mambo sawa niliacha mlango wazi, air frsh ikafata na baadae nikpandishia kipupwe.
 
Wadau huu uzi umenisababisha nimeaibika jana..

Baada ya kusoma comments za wadau kuhusu kula tunda kimasihara nikataka kwenda kuyaweka maneno ya wadau into practice...

Sasa na hiki ki mvua kuna manzi hapa kitaa ananiangalia angalia sana.. sasa nikajumlisha na story za wadau kuhusu manzi kukuangalia angalia nikasema huyu mtoto namtafuna bila kutongoza...

Sasa nikamlia timing jioni jioni kama saa 1 hivi ametoka town kupiga mishe zake nikamfwata nikapiga story nae tukawa tumesimama sehemu ...nikijumlisha kigiza giza + shuhuda za wadau hapa nikasema huyu namtafuna hapa hapa....sasa nikajichanganya kumgusa mkono nikaona ametulia... hapo nikasema mtoto ndo alishaelewa....
Ile napeleka mdomo kula mate alinigonga kofi moja hatari sana.

Nikabaki naona nyota tu.. ikabidi niulize kulikoni.. akaanza kunitemea shit kwamba alikua anajua najiheshimu kumbe mwanaume hovyoooo...

Niliondoka pale na aibu kama kilo 5... leo sitaki kutoka home maana tukikutana sijui ntamuangaliaje..


MMENIPONZA WADAU..
Mdau shukuru Kwa hiko kibao! Angepiga kule kwenye 'balls' kule kwenye 'buku na jero' ungeinama Kama lisaa ukatembea ka Una tumbo la kuhara
 
Mwaka 2017 nilikutana na Shem yangu njiani ,yeye alikuwa anatoka sokoni gomz ,nikaamua kumsindikiza coz ilikuwa mida ya jion kagiza giza ndo kanaanza,Basi kufika relini Shem akasema tupumzika miguu imechoka ,nikakubali tulikaa pale huku tukipiga story Mara akaniambia nimshike tumbo linauma ,kama nilivyoelekezwa mwanaume nikashika tumbo, daa alikuwa wa moto balaaa lile joto likapandisha mzuka nikajikuta nashika kiunoni ,nikaanza kuona Mtoto anazidi kulegea,nikamkumbatia nikaomba mate akarespond ,nikaomba gemu akanikubalia nikakaa chin Mtoto akaja juu huku akiwa kafunua chup ndani ya dela kiaina ,nikamaliza tukaagana ,mpaka Leo tunaheshimiana sana coz kuna sir kubwa ndani yetu ambayo mmewe hajaigundua mpaka leo
Hiyo mechi ulimpa mimba au vp kwahyo siri ana mwanao???
 
In short demu nilimgonga kizembe sana bila hata kutegemea.

Nilipiga mechi mbovu na ya kizembe sana(shame on me). Uwezi amini mshikaji wake alinifumania baada ya mechi. Hata condom sijavua Tuko uchi wa mnyama (jambo la kufedhehesha sana mpaka leo nalijutia). Mshikaji alilia kama mtoto(ni mstaraab sana). Ki ukweli roho iliniuma sana.

Akamwambia mwanamke mbele yangu ni miaka miwili tuko pamoja sijawai kuugusa mwili wako nimekua mwaminifu sana kwako haya ndio malipo tena kwa mshikaji wang kama kaka ama ndugu umenikosea sana.

Dah!niishie hapo.
 
In short demu nilimgonga kizembe sana bila hata kutegemea.Nilipiga mechi mbovu na ya kizembe sana(shame on me).Uwezi amini mshikaji wake alinifumania baada ya mechi.Hata condom sijavua Tuko uchi wa mnyama (jambo la kufedhehesha sana mpaka leo nalijutia).Mshikaji alilia kama mtoto(ni mstaraab sana).Ki ukweli roho iliniuma sana.Akamwambia mwanamke mbele yangu ni miaka miwili tuko pamoja sijawai kuugusa mwili wako nimekua mwaminifu sana kwako haya ndio malipo tena kwa mshikaji wang kama kaka ama ndugu umenikosea sana.Dah!niishie hapo
Ungeiweka vizur tunaweza okota la kujifunza sio mpka na sisi tuexprience
 
Duuu..hiii thread hii???2013 nikiwa mwanza nilikuwa na ishu Fulani hv ilimilazimu kukaa lodge kwa muda mrefu, basi bwana receptionist mkali balaa, tako acha kabisa. Ila kidume simuongeleshi wala nn ni salami na kuclear bills basi. Siku moja wakati naclear bills akaniuliza hv ina maana wewe hujui kuongea?? Nikamjibi najua kidogo, nikalipa nikasepa.

Nilikuwa napenda kupata breakfast chumbani, siku moja baada ya kupata breakfast nikapiga simu kitchen waje kichukua Vyombo, simu haikupokelewa ikabidi Nipige reception nikamwambia waambie waje wachikue Vyombo. Baada kama ya dk tano akaja yule Mdada aliyeniuliza kamma Sijui kuongea na ka-skirt kake kafupiiii...

Nikashangaa nikamuuliza wahudumu hawapo mbona umekuja wewe, akaniambia usijali nimeamua tu kuwasaidia, akakusanya Vyombo ile anaondoka kijiko kikadondoka akainama kukichukua....asalalee...yule demu hata chupi alikuwa hajavaa...alipofika mlangoni akaniangalia akatabasamu akaondoka.

Siku hyo nilikuwa na ishu nafanya room kwa hyo sikutoka, baadae akanipigia akaniambia hutoki Leo...nikamwambia nipo tu, haikuisha hata dk 10 nikasikia Mlango unagongwa...kufungua receptionist huyu hapa...akaingia akafunga Mlango kwa ndani akaniuliza INA maana ni kwamba huna macho. Nikamwambia ninayo...akasema kwa hyo???nikamuuliza kikauzu what do you want...akaniambia **** me, kabla sijajibu akanisukuma nikaangukia kitandani kwa mgongo akanirukia kanikalia kiunoni akaniambia we mawe Sijui hata ukoje tu.

Zikaanza denda mwishowe akaniambia sivui kapandisha miniskirt yake nikamla mbuzi kagoma kimoja akaniambia nitatafutwa Sasa hv akaondoka. Mida mida akanipigia simu akaniambia bado upo nikamwambia Leo sitoki...akaja tena nikamtunuku kingine...akachkua Namba yangu akaondoka.

Kufika tu reception akanitext Watsapp... Nakuja tena baadae...nikamwambia poa...akaniuliza do you do anal???nikamuuliza what is that???akacheka???kisha akaniambia ndo maana hujui kuongea...akaniambia namtuma mtu aje akachukue elfu kumi...nikamuuliza ya nn? Akaniambia we mpe tu utajua ya nn baadae...nikamwambia poa...akaja Dogo Fulani nikampa huku kumi.mchana nikaagiza menu nikagonga.....baadae kidogo akanitext....vp uko poa...nikamjibu yap...Mara Mlango ukagongwa kufungua receptionist huyu hapa...akatoa tube fulani hv imeandikwa KY...akaniambia unajua hii ni nn???nikamwambia nop...akaniambia Leo utajua...akanisukuma tena nikaangukia kitandani kwa mgongo akanivua akaaanza kunyonya dushe...akatoa ile tubu akaminya akapaka dushe kisha akalipandia kwa juu...duuu shetani huyu nilifanya kitu sijawai Fanya maishani mwangu...anyway she was good at it....baada ya kumaliza akaingia toilet alipotoka akaondoka bila kuaga..muda kidogo akanitext...umeshajua buku kumi nilikuwa ya nn???nikamjibu tu kuwa...you are a whore
....akaniambia....yeah a French whore na kesho asubuhi kabla hujaondoka Lazima unif.....nikasema Mungu Wangu....kilichoendelea pale lodge mpaka naondoka......na kinachoendeleaga mpaka Leo nikienda MWANZA.....???hawa viumbe akili zao wanazijua wenyewe...
Hiiii (in magu's voice)yan mazali kama hayo ya demu mwenye matako makubwa anayependa kuliwa ndogo huwa siyapatagi mm ila nikilipata siku moja hiiiii(in magufuli's voice)
 
Mkuu nikuombe endelea kumheshimu mke wake, sasa usifanye kama ulivyomfanyia, mke anauma sana kwa mujibu wa kauli za wahenga.
Baada ya kumaliza chuo yeye alipata kazi dar mimi nikapata mkoani. Mwana yupo alishaoa na ana Watoto wawili kwa Sasa..alikujapata mke Mrembo sana. Wakati wakiwa wachumba nilibahatika kukutana nao mlimani city... Baada ya kunitambulisha tu mwana akanivuta pembeni akaniambia...mwana huyu ndo nataka kuweka ndani pls usifanye kama yule mwingine. Nikamjibu...ondoa shaka mwana...mpaka harusi yao nilihudhuria na mwana alitaka niwe best man wake mimi nikakataa.

Tuliendelea kuwa karibu...kila nikija dar nilikuwa nawatembelea maana makazi yangu yalikuwa dar. Badae nilipunguza tabia ya kuwatembelea sana maana kuna kitu nilihisi kinaweza kutokea.

Kimsingi mimi na mwana ni rika moja ila mwana ana utoto Fulani na mimi nilikuwa naonekana nimepevuka zaidi yake. Kwa hyo tukiwa Kwenye mazungumzo mimi nilikuwa nasikilizwa zaidi. Hata mke wake alikuwaga anayapa attention sana mazungumzo yangu. Kwa hyo nikahisi kinaweza tokea kitu..ikabidi nipunguze mawasiliano nao.

Badae mimi nilihamia mkoa kabisa kwa hyo kukutana sana ikawa haipo tena...tunawasiliana kwa simu tu...ila nikifika dar huwa nawatembelea

Mwana bado ni kitombi na hata mke wake anajua...sema mke anampenda na anapenda familia yake kwa hyo vitu vingine anavumilia tu.
 
Mluu nikuombe endelea kumheshimu mke wake sasa usifanye kama ulivyomfanyia mke anauma sana kwa mujibu wa kauli za wahenga.



Ondia shaka boss..huwezi Amini kuwa hata Namba ya mke wa mwana sina...wakati nikiwa nawatembelea sana kuna siku mke wake aliniomba Namba ila kwa jinsi alivyoniomba nilimnyima..tulikuwa sehemu tunagonga Vyombo..akasubiri mume wake kaenda washroom ndo akaniomba Namba...sikupenda ile kitu nikamnyima.

Wanawake ni viumbe wa ajabu Mkuu...ile tu kuwa mazungumzo yangu yalikuwa yanamvutia tayari niliona kama ana kitu Anataka...ikabidi nizuie kistokee...ndo maana niliamua kupunguza ukaribu na mwana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom