pirate
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 725
- 714
Kuna kundi moja hiv la uigizaji lipo mbeya, sasa ni bado underground na hapo wetoa muvi moja tu, na walikuwa wakiigizia Kwenye nyumba ya sista angu maana ilikuwa maeneo ya mjini na ilikuwa kubwa na Eneo la nje kubwa pia,
FAST FORWARD, sasa ilikuwa ni middle of the year nimetoka chuo DSM nimeenda kumsalimia, na nikafanye field huko pia sema nikapanga nikae mwez hom ndio nianze field. Ile next day baada ya kufika naona manzi wachache Kwenye lile group lao, jamaa ambaye ndio director wao nilisoma nae primary pale pale so jamaa alikuwaga yeye ni mpole na hadi namkuta ile time yupo vile vile, sasa ile kufika wakaniambia Njoo naww uigize sema nikawaambia mm huwa sinaga mishe hizo, wakanipa kazi niwatafutie manzi ambae ataweza kuigiza sehem ya muhusika mkuu msaidiz na huyo manzi awe mkaliii sana inabid awafunike wote wa pale.
Nikamuita manzi angu mmoja Hiv sema akagoma, akanipa ndugu yake na huyo ndugu yake alikuwa wa maana pia kama yeye, japo shida yeye ameshashusha mara moja tayar yan, so nikamwita siku hiyo maana nilikuwa nimeona picha yake na maelezo yake ambayo alinipa huyo manz angu, kafika manzi akaja had pale kwa sista, manz kuona nyumba kapagawa, namm nilipomuona nikapagawa zaid yani manz kama ajashusha kitu vile, nikamkarbisha geto kwa kuwa nilikuwa na geto la nje so akaingia tu bila aibu maana apakuwa na mtu yoyote, tukapiga story mbili Tatu kuhusu kuigiza kama vile mi ndio director Yani akanitajia muvi ambazo ameshawahi kuigiza, hapo akaniuliza kama nitaigiza nae Kwenye hiyo muvi nikamwambia ndio japo ni uongo, nikamwambia nataka nione kama sehem ya mapenzi unaweza kuigiza vizur manzi kasema Poa, aaaah siku hiyo hiyo nikapiga mzigo, manzi alikuwa vizur sana bed,baadae nilipomaliza game nikamwambia mm sio muigizaj ila hiyo muvi ipo, manzi akasema kama mm siigiz nayy awez kwenda. Sasa ikawa napiga mzigo sana hapo akawa Wakat Nipo mbeya na yule jamaa angu director alipomuona siku moja akaniuliza kama ndio huyo nikamwambia ndio japo dem akagoma tena ila mara hii alisema mpunga Mdogo wa hiyo muvi na ukizingatia jamaa walikuwa underground so wakakausha. Sasa ishu ikaja siku anakuja yule nimle akanikuta na manzi mwingine ambae pia nimeingia na ile ile gia ya kuwa natafuta muigizAji wa kike, aaahh akaniharibia kwa yule ndugu yake ambae alikuwa manzi angu japo nao waligombana sana kwasabab Wakat wote uo yule manzi angu alikuwa tabora chuoni bado. Sema daaah Kwenye ile sector ya kutafuta waigizaji nimewala kimtindo


Sent from my iPhone using JamiiForums
FAST FORWARD, sasa ilikuwa ni middle of the year nimetoka chuo DSM nimeenda kumsalimia, na nikafanye field huko pia sema nikapanga nikae mwez hom ndio nianze field. Ile next day baada ya kufika naona manzi wachache Kwenye lile group lao, jamaa ambaye ndio director wao nilisoma nae primary pale pale so jamaa alikuwaga yeye ni mpole na hadi namkuta ile time yupo vile vile, sasa ile kufika wakaniambia Njoo naww uigize sema nikawaambia mm huwa sinaga mishe hizo, wakanipa kazi niwatafutie manzi ambae ataweza kuigiza sehem ya muhusika mkuu msaidiz na huyo manzi awe mkaliii sana inabid awafunike wote wa pale.
Nikamuita manzi angu mmoja Hiv sema akagoma, akanipa ndugu yake na huyo ndugu yake alikuwa wa maana pia kama yeye, japo shida yeye ameshashusha mara moja tayar yan, so nikamwita siku hiyo maana nilikuwa nimeona picha yake na maelezo yake ambayo alinipa huyo manz angu, kafika manzi akaja had pale kwa sista, manz kuona nyumba kapagawa, namm nilipomuona nikapagawa zaid yani manz kama ajashusha kitu vile, nikamkarbisha geto kwa kuwa nilikuwa na geto la nje so akaingia tu bila aibu maana apakuwa na mtu yoyote, tukapiga story mbili Tatu kuhusu kuigiza kama vile mi ndio director Yani akanitajia muvi ambazo ameshawahi kuigiza, hapo akaniuliza kama nitaigiza nae Kwenye hiyo muvi nikamwambia ndio japo ni uongo, nikamwambia nataka nione kama sehem ya mapenzi unaweza kuigiza vizur manzi kasema Poa, aaaah siku hiyo hiyo nikapiga mzigo, manzi alikuwa vizur sana bed,baadae nilipomaliza game nikamwambia mm sio muigizaj ila hiyo muvi ipo, manzi akasema kama mm siigiz nayy awez kwenda. Sasa ikawa napiga mzigo sana hapo akawa Wakat Nipo mbeya na yule jamaa angu director alipomuona siku moja akaniuliza kama ndio huyo nikamwambia ndio japo dem akagoma tena ila mara hii alisema mpunga Mdogo wa hiyo muvi na ukizingatia jamaa walikuwa underground so wakakausha. Sasa ishu ikaja siku anakuja yule nimle akanikuta na manzi mwingine ambae pia nimeingia na ile ile gia ya kuwa natafuta muigizAji wa kike, aaahh akaniharibia kwa yule ndugu yake ambae alikuwa manzi angu japo nao waligombana sana kwasabab Wakat wote uo yule manzi angu alikuwa tabora chuoni bado. Sema daaah Kwenye ile sector ya kutafuta waigizaji nimewala kimtindo



Sent from my iPhone using JamiiForums




hii kimasikhara ilikua chanzo cha bifu na mwana niliyeishi nae ghetto eti kisa demu! Ila no sweat life goes on
guu guu yani bonge moja la pisi mzazi; na kile kisket alichovaa, nikatamani kungekua na foleni baharini tuchelewe.
then waleee tukaamsha ghetto.
nikajivuta docho navichora tu vile videmu nimbambie yupi.

, sasa demu akataka kuoga asepe kabla wanga hawajaswaki.
demu naye anajibaraguza. Kumbe walikuaga wanachat tangu siku ile walipopeana tarakimu, na mwana alikua keshamtongoza


