Naomba jina lake au namba na mimi nimpongeze kwa kukuridhisha, ila kuwa mkweli ulimtoa bikra ama alishatolewa na afande CHACHA?
 
Kulala ilikuwa inatokea mara kibao baaada ya DISKO. Hakukuwa na ukaguzi usiku japo ndani ya anga kulikuwepo na afande.
Enzi hizo kulikuwa na uhaba mkubwa sana wa vest, pitshot.....hivyo hiyo siku waligawiwa wale wote waliokuwepo! Watoro ilikula kwetu!
 
Huenda vikosi vinatofautiana maana sisi tulipewa hizo green vest za kijani, godoro, buti mestin na kitanda godown. Mnapangwa mstari unachukua kimoja unatoka unaunga tella unachukua kingine mpaka vikamilike mdundo sasa ni ule muda wa kuvibeba vyote kwa pamoja logwa sasa upewe kitanda cha banko hakina spring unapewa chaga za mabanzi huo mzigo ni balaa. Mafinga sitapasahau enzi za Mlay RIP. Lengo ni kuonyesha mtofautiano wa kambi na kambi kama mimi uzoefu ulivotofautiana na wa kwako. Ila hilo la mwanaume kuingia mahanga ya wanawake namaanisha serengeti mmmh nina wasiwasi. Ingekuwa mwanamke kuja mahanga ya wanaume wao wanakuja sana afu kibalbu ni kimoja ukiwa mwisho wa kona ni kama giza kuna mabaharia walikuwa wanakula mzigo tukiwa humohumo ndani hasa siku ja jumamosi watu wakienda disko.
 
Hii nzuri kuliko. Nimekutamani ghafla.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi baharia alituwakilisha vizuri kwa shoo ya kibabe au ilikuwa chini ya kiwango?
 
Akasema anampenda sana Michael Scofield

Mimi nikamuambia hujui mbinu za Theodore yule T-Bag ni mkali kuliko Crew nzima akasema hamuelewi kabisa.

Nikamuambia siku ukipata muda njoo tuangalie Scene za Tbag tu. Akasema pia anampenda Sara nikamuambia nampenda Sara sanaa.

Siku moja akaja ile tunaanza kucheki tu mara Michael na Sara wanakiss hapo hapo Tunda likaliwa kimasihara na hakuna cha Tbag tukaanza kusuguana kila week.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake ndio walikuwa wanakuja kwenye mahanga ya wanaume. Katika kambi yetu hakukuwa na vitanda bali kulikuwa na magodoro ambayo yaliwekwa sakafuni. Mara baada ya kuwasili tulikaa muda mrefu tukitumia nguo za kiraia.
 
Hilo la kuja Serengeti kwenye maanga ya wanaume walikuwa wanakuja mchana na sio usiku.. Kipindi hicho pale 841 kj mkimaliza six week Serengeti walikuwa wanakuja mchana tu na sio usiku..

Mkuu ulipiga intake gani mafinga? Hata mm nilipga mafinga.. Dah! Naikumbuka root ya chakula toka uwanja Wa RSM uelekeo ria get airport mnaingia barabara ya mufindi mnatokea kwa Balali mnaingia zahanat main gate madarasani mwamunyange hall

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fresh tu mkuu. We hukuwahi kutumia hall v kula kimasikhara

komesha korona
Hall 5 pale sikuwahi bahahatika kula mtu kimasihara, sema nilishawahi bahatika piga 'CHABO' la watu wakikulana kima sihara sihara.


Ilikuwa saa saba mchana nimejilaza deca ya juu, mara nasikia room mate mwenzangu anafungua kitasa cha mlango na funguo yake uku anaongea na sauti ya kike pale mlangoni, Nilikuwa macho mda ule ila nikajifanya nimelala.

Yule mchuchu kwa maongezi niliyokuwa nikiwasikia wakiongea alikuwa amekuja azima desa kwa jamaa, ila inaonekana jamaa akamwambia lipo juu hall 5 twende nikakupatie maana nikipanda juu siwezi shuka, nahisi ndo sababu yule mchuchu akaja na jamaa mpaka room yetu namba 1289.

Kufika jamaa akaanza Ku force king, yule mchuchu akaanza kumuita dany mi rafiki ako, rafiki ujue. Niache please
Bwana dany naye hakutaka kusikia kitu, anamwambia mtoto wa watu "naingiza kichwa tu yani kichwa tu hata dakika mbili hazizidi" yule mchuchu akawa anatoa ishara ya vidole kwamba kuna mtu juu, kuona vile mimi nikajifanya na koroma, dany akaamka akasema jamaa kalala mbona, yule mchuchu akaamka naye kuhakikisha kama Mimi nimelala, basi ndo nikazidi kukoroma kweli, lengo langu ni kuwala chabo tu na jamaa afanikishe kumkula mtoto wa watu kimasihara.

Niishie hapa mzee wa hall 5

Ila chabo nalo lina raha yake

Ova
 
Hahaa noma saaana. Hiyo ilikuwa floor ya pili?? Au kule juu kwenye upepo?

Sisi tulikuwa side rooms wapwa mpo mtu nne alafu bado sublets bado wale wahuni wanakuja na magodoro.


Vurugu vurugu tu

komesha korona
 
Bora niangalie porn kuliko chabo😂😂. Mashine inaweza kupasuka
 
Hahaa noma saaana. Hiyo ilikuwa floor ya pili?? Au kule juu kwenye upepo?

Sisi tulikuwa side rooms wapwa mpo mtu nne alafu bado sublets bado wale wahuni wanakuja na magodoro.


Vurugu vurugu tu


komesha korona
Ilikuwa kama floor ya sita hivi.

Ilinikutaga mabibo hostel room mmoja tupo 12, hatakuvusha mchuchu huwezi, kila ukizunguka ukirudi lazima umkute mtu kaganda room tu.
 
Natamani kuziona hizo green vest za kijani mkuu
joke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwa kama floor ya sita hivi.

Ilinikutaga mabibo hostel room mmoja tupo 12, hatakuvusha mchuchu huwezi, kila ukizunguka ukirudi lazima umkute mtu kaganda room tu.
Hao inabidi uwe unajua kubet saaana. Yan katika week kuna siku like saa tano au nne wote wanakuwa hawapo.

Ila ula usiombee uwe na baed msuli room. Hata wasipo attend lecture wanatoboa tuu.

komesha korona
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…