Part 2
Mimi + L + E tulipiga sana story hadi mida flani ya late noon, nilishtuka nikaona kama siku itaisha sijagusa tamuu ya L ndipo akili ikachanganya na nikakumbuka kuna ndugu yangu alikua akipita pita nikamwita nae hakusita akaja na kuchangamka maana alikua anamjua L, kumasihara L akamwambia "nimekuletea mchumba" wakati ndugu yangu akiendelea kupig story na E mimi nikamshtua L na kumuashiria chumba, tukaruka na kwenda kufanya tabia mbaya kwa watoto ila tabia njema kwa wakubwa.. Tulipotoka siku ikaisha na wakaomba niwasindikize, wakati nawasindiliza kila nikimgeukia E aliku akiniangalia kwa matamanio na kila nilipomuangalia nilizidi kumtaka pia sababu alikua na macho mazuri sana.
Tulivokaribia mtaani kwa kina L nikajipanga kimashambulizi nikasema "Sasa L imekuwaje umemletea ndugu yangu mchumba alafu ujampa namba zake" hapo hapo nikamgeukia E nikauliza "Au mlibadilishana namba?" E akajibubkwa aibu "Hapana", nikamgeukia L nikamwambia anipe namba nae akasema "Mwambie E akupe ukampe ndugu yako".. Moyo ukaruka kwa shangwe nipokua nikitajiwa namba za mtoto E mwenye msambwanda na macho ya Rihanna.
Usiku wa siku iyo nilimtext E nikamjulisha ni mimi akaruhusu kuchat ndipo tulipoanza mazoea na ndo ikawa kawaida yetu kuchat. Nakumbuka siku hii nilikua nafua msg ya E ikaingia akisema "Nipo mtaani kwako napita karibu na kwenu" Kwa mshtuko wa kimatamanio nikamjibu "Upo na L?" akajibu "Hapana nipo mwenyewe" kama kawaida moyo ukashangilia kwa nderemo na vifijo, chyap nikaacha kufua na kumvizia mtoto E nae akafika nikamkaribisha ndani nae hakusita.
Tukaanza story hadi mida ya jioni nikamsindikiza kupita njia ya migombani kuna makaburi kadhaa, mtoto E akawa na uwoga wa kale kagiza nikajiongeza kumshika mkono akaitikia kwa kunishika kwa nguvu(makosaaaaa!!). Nilipoona nakaribia kwenye barabara kubwa nikamwomba kiss akakaidi kwa kusema "Sisi sio wapenzi na pia wewe ni mpenzi wa mdogo wangu L" Nikasimama nae akasimama nikamwambia "sio french kiss bali ni friend kiss" akachekelea nakuniambia sawa embu nionyeshe iyo friend kiss(makosaaaaa)..
Mkuu nikanywa juice ya mate kwa dakika kadhaa huku mikono ikiwa makalioni palipojaa nyama laini, nikajinywea juice huku najiminyia sambusa laini mithili ya baloon lililojazwa maji, rojo lainiiiii.. Basi tukamaliza nakuendelea na safari ya kumsindikiza hadi alipofikia kuna shamba lenye giza. HAPA ndipo napo unga mkono UZI wetu pendwa Wa KULA TUNDA KIMASIHARA

..
Nikamvuta mkono na kumuambia "Naomba tuagane kizungu" akasema ndo aje ivo nikamwambia "Njoo karibu" akaja, na kale kagiza nipitisha mkono mmoja kiunoni kwake huku mwingine ukimshika nyuma ya kichwa kumleta kilipo kichwa changu, taaratibu lips zake zikagusana na zangu mtoto nae akaelewa akanikubalia ombi na kuninyonya lips zangu, huku nikiendelea kusafiri taaratibu kwa mikono yangu mwilini mwake huku akihema kwa kasi, nikafanya kummpima ubishi nikapitisha mkono ndani ya blouse yake, nae akapokea kwa kupitisha mkono wake ndani ya tshirt yangu akaanza kunishika kifua akishusha na kupanda huku nami nikajiongeza kuona mtoto anatoa ushirikiano. Speed yakunishika ikaongezeka pale nilipofungua kifungo cha jeans yake na kuishusha zip, nikauchombeza uke wake kwa mkono wa kuli huku wa kushoto ukizitomasa chuchu zake, taaratibu vidoleni kukajaa utelezi nikajua mtoto kaitikia wito.
Nikamsogeza pembeni kidogo kwenye giza nene zaidi nikatoa jacket langu na kulilaza chini kisha nikamuongoza lilipo jacket nae akakalia jacket na kunitanulia paja zake nene ambazo zilitoa vile vipele vya baridi maana aliivua ile jeans wakati mimi nikilitandika jacket chini, Wakati nikiendele kumnyonya juice mtoto E aliushika mmpini na kuuongoza kwenye tundu lake lililo lowa kwa utelezi. Taaratibu kikamshindilia huku nikimyonya juice, Mtoto nae akanikubali nakuanza kuniletea uno, tukapiga show la style moja tu nikamuuliza mtoto "nje ama ndani" mtoto aknijibubkwa sauti ya kulialia "kokote" paaap ndaniiiiiiiiiii nikamaliza mchezo huku mtoto akinibana kwa paja zake na kunikumbatia kwa nguvu.. Tukanyanyuka nikampa kitambaa akajifutia alanambia "Ntakifua", nikaliokota jacket langu na kulikung'uta nikalivaa huku mtoto akivaa jeans na chupi yake.. Nikamsindikiza hadi kwenye nyumba ya dada yake tukakiss tukaagana..
Sent using
Jamii Forums mobile app