Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Tukiwa tumebakiza miezi 11 na siku 28 kuumaliza mwaka huu wacha nami nilete kisa cha kukula kimasikhara.

Mwaka 2016 nikapewa jukumu na ofisi niliyokuwa nikifanya kazi wakati huo nikiwa kituo cha Bukoba, nilitakiwa nikafungue tawi Arusha na hivyo nilitakiwa nirudi Mwanza ilinikawachukue staff wengine twende nao, nilifika Mwanza na kesho yake tukaanza maandalizi, siku iliyofuata asubuhi mapema nikaambiwa staff wenzangu tutakutana nao Nyegezi, nimefika nikakutana na wadada wawili mmoja wa kawaida na kengine ni kakali kweli.

Muda wa safari umefika, chuma ikanyanua, ikumbukwe mie nilikaa upande wa dereva siti ya upande wa kolido na huyu dada mkali alikaa upande wa kushoto upande wa kolido pia kwa hiyo tulikuwa tunatenganishwa na njia. Tumetembea mpaka shy ndo kunaanza kupambazuka ndo nikajionea utukufu wa Mungu, kilichonichanganya zaidi ni kuwa huyu dada alikuwa kapiga kisket flani kifupi halafu kina mpasuo wa mbele upande wa kulia (nilikokaa mie) sasa hali ile iliniweka pagumu maana ule weupe wa lile paja na ndo kilevi chetu wasukuma, nilitembea nikiwa vibaya.

Mida ya usiku wa mwanzo mwanzo tukaingia arusha tukachukua usafiri mpaka eneo tulilotakiwa kwenda na hapo maisha yakaanza, nina bahati mbaya ya kupuuza mambo sana hasa yasiyo na faida ya moja kwa moja. Tukiwa watatu boy niko mwenyewe walifanya kazi zote hadi kunifulia maana tuliishi nyumba moja. baada ya miezi mitatu yule dada mbovu akawa anaumwa mara kwa mara baada ya vipimo ikabainika ujauzito wake unashida na hapo ndo nikajua kuwa alikuwa mke wa mtu na alitakiwa arudi kwake ili awe karibu nafamilia yake

Baada ya yule dada kuondoka tukabaki mie na huyu dada mkali, ile nyumba ilikuwa maeneo ambayo hatukuwa na majirani kivile na hatukuruhusu kuzoeana sana na wale majirani. Baada ya kuwa wawili nikawa namsaidia baadhi ya kazi, ikiwa anafua ntamchotea maji, ikiwa anapika tunagawana, yeye atapika mboga mie ugali, muda wa jioni tunatoka wote tunafanya matembezi, muda mwingine tunanunua chakula huko huko na kisha tunakuja kulala,

Siku moja tumerudi tukakaa sebureni tukawa tunaangalia movie kwenye pc, tumecheki mara nikaanza kuhisi usingizi, nikamuambia wacha nikalale akakataa na kuniambia kama vipi twende chumbani kwake ili amalizie movie kisha ataniamsha nikalale chumbani kwangu, tukakubaliana hao mpaka rum, tulivyoingia nikakaa kidogo baadae nikajilaza kitandani nikapitiwa na usingizi nikaupunyua, nakuja kustuliwa na mkojo wa saa 11, wenge la usingizi, kibano cha mkojo na baridi jumlisha ramani ya rum hii ikabidi nitulie kidogo ili nivute kumbukumbu ndo nikakumbuka tukio zima. na hapo pembeni yangu yupo huyu dada, nikiwa natafakari niende bafuni au nimalizane na huyu kwanza, mdada akageukia upande wangu akanitupia mguu, nikasema hapa napiga hata kwa nguvu.

Nikainuka niende chooni, ile nainuka nikaulizwa unaenda wapi, si umalizie tu usiku hapa, nikamwambia naenda chooni, naye akainuka tukaongozana nilivyofika nikaingia, nilivyomaliza akaingia,kisha hao tukarudi kitandani, ilikuwa mwezi wa nne lile baridi kwangu mimi niliyeishi maeneo yasiyo na hali ya hewa ya vile ilikuwa ni mateso asee, tulivyopanda kitandani akasema hii baridi mbona tutakufa, nikamwambia sogea nikukumbatie tutoe baridi, mara mtoto huyu hapa, ilipigwa mechi ya kawaida ila ndefu sana mpaka tukachelewa kazini! Baadaye ndo akaniambiaga nikiwa na namsaidi na kumjali alikuwa akijisikia vizuri na alitamani tuwe wanandoa, hata ule mpago wa mie kulala kule kwake aliupanga kitambo, mpaka ulipofanikiwa kwa siku ile Baada ya hapo tuliishi kama mke na mume. Baada ya hapo maisha yalikuwa matamu sana asee.

UBARIKIWE MKE WANGU, ULINIKULA KIMASIKHARA NAMI NIKAKUOA KIMASIKHARA KWAVIAPO VYA DHATI
story zote za kimasihara zenye mwisho wa ndoa ndio zina likes nyingi zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa zangu 2 walimla mke wa mtu usiku. Stori ilikuwa huvi.
Jamaa walikuwa wanafanya kazi na kuishi tabora. Usiku wakati wanatoka kula bata mida ya saa saba kasoro hivi wakakutana na mwanamke ana kanga tu kifuani anatembea huku akitweta akionyesha alikuwa anakimbia. Wakamsimamisha na kumuuliza kulikoni usiku wote huu na kanga kifuani. hana hata pichu, dada akajibu nyie acheni tu mitihani ya dunia. Kumbe alikuwa kagombana na mmewe kala mabanzi ya kutosha akashindwa kuhimili akatoka nduki. Akawa kama anawapita wakamzuia na kumwambia usiku huu ni hatari utabakwa na wahuni. Kama hutojali twende ukalale kwetu then asubuhi utajua ustaarabu mwingine. Basi bwana dem akatiki.
Wameenda ss jamaa wana vyumba viwili na sebule choo na bafu public na jiko la ndani. Wakamwambia akaoge kwanza, wakati dem kaenda kuoga wakaanza kubishana nani alale naye, mshkaji wangu ikabidi amwachie rafiki yake sababu ndiye aliyekuwa ameonyesha ukaribu toka wamekutana na ndiye alomkaribisha dem, basi jamaa ikabidi atoke kwenda kutafuta condom. Ile kutoka tu jamaa akamfuata hukohuko bafuni akamwambia uzalendo umemshinda ampe tu kidogo, ikatokea mabishano kidogo ila baadae dem akatoa mzigo jamaa akapiga.
Baada ya kumaliza kuoga dema akazama room kwa mshikaji kumsubiri, huyu mwingine naye akaja akala mzigo hadi alfajiri wakamtoa dem arudi kwake maana hakuwa na nguo zaidi ya kanga moja. Hivo jamaa wakawa wamekula tunda kimasikhara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati tunasoma A level shule flani ya wavulana mkoa wa wala leo waondoka leo sasa tulikuwa na mazoea na uhusiano wa karibu zaidi na shule ya wasichana maaarufu saana katika mkoa huo.

Ilikuwa kipindi cha graduations lazima tualikwe kwenda kucheza mziki na wao kuja kwetu kucheza mziki. Enzi zile kuwa na mtoto kutoka k.o sec ilikuwa title saana. Washkaji waliokuwa wanamilik warembo from that school walikuwa wana enjoy saana hususani siku za graduu na event nyingine full kuletewa mizawadi cards na barua.

Unaweza kuta mwamba anamiliki madem hata sita wote wanamshobokea yeye sisi wengine wanyonge hata hatuna hata wale wa kuzugia. Rafiki yangu ambae tulikuwa tunakaa nae cube moja alikuwa ni miongoni mwa wana ambao watoto wa k.o walikuwa wanampenda saana alikuwa na dem kule sasa walikuwa wanachart nae.

Yule binti kule school kwao alikuwa anajisifu saaana kuhus mshkaji ikatokea dem mwenzake akamwibia namba akaanza kumtafuta mshikaji.

Kipindi kile hizi wasap kulikuwa hamna so alikuwa anachart lakini jamaa alikuwa hamjui huyo bint alafu pia binti alikuwa hamjui mshikaji ila alivutiwa na stori tuu from her friend.

Mwezi kama huu wa january tarehe za 20'ilikuwa ndio graduuu yetu. Sasa mshikaji alikuwa ashampanga dem wake kuwa atakuja na pia huyo dem mwingine pia atakuja

Basi mtoto wa watu alijipanga akaja na mizawad kibao kumletea mshikaji wangu paka wanafika saa nne nne shulen na coaster yao wameshuka wamekaa bado tulikuwa hatuja mtambua.

Mi nilikuwa nafaham picha nzima kwa sababu tulikuwa tunashea nae simu yetu ya kitochi na mwana. Tukamuelekeza bint aende sehem fulan tukaonane nae.

Tukawa tumetega sehem flan kumcheki ile anatokea binti alikuwa sio mzuri wakawaida saana kwa mabaharia wanaweza sema alikuwa mbovu jamaa alivyo ona vile akamkataaa kata kata akakataa kwenda kuonana nae.

Sijui nilipata wapi ujasiri nikaenda na kile kisimu nkampokea nkam hug nkamisifia. Yani nilijifanya ndio mshikaji. Hata jina yan alikuwa ananiita la mshikaji. Alifurahi saana. Then after there tukawa tumeweka miadi kuwa february akimaliza pepa ya six aje tanga mjini chap alale ndio aanze safari ya kwenda kwao.

Nakumbuka sisi tuliwah kumaliza pepa yeye kwa vile alikuwa science comb walichelewa wenzangu walisha sepa m nlibak school na wasayansi kusubiri zali.

Kama utani vile akamaliza pepa kanichek. Nkabeba mizgo paka town tukaonana alikuwa sio mzuri but kwa ule ukame wa uboizini sikuona shida. Kwa vile bint alinikubali nilikula siku mbili mfululizo. Mbaya kwa sura ila kwenye majamboz alikuwa goood. Goood saana. Kwa wakati huo sura nilikuwa siangaliii bali ninachohitaji

Yani binti alikuwa anampenda msela wangu kinyama yani ananiambia b nakupenda kumbe mie hata sio b ni sumbai. Akasepa kwao.

Tukaenda chuo alichaguliwa mhimbili mie chuo kingine but thesame city nkaja nikaonana nae ilipofika ikabidi nimwambie ukweli nakumuelezea kila kitu maana ilikuwa vigumu kudanganya ukizingatia tulikuwa tushaanza kufatiliana kwenye social netwok alisikitika saana.

Tamaa mbaya na uongo ni mbaya wakuu.


Ukawa mwisho wetu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu ananyota yake, uli- force kutemebelea nyota ya mshikaji..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuja shamba huku, nimepanga chumba na sebule kwa miezi hii ntakayokuwa nafanya yangu, nimelipia miezi mi4 lakin sikai naweza kuja nikakaa siku nikaondoka nikaja baada ya wiki kadhaa kutokana na mfumo wa utaftaj wangu uko hivyo, sasa juzi nimerudi nimekuta nimepata majiran kama wawili hivi wanawake, wana maumbo ya kike hasa, wote ni wachangamfu sana na napiga nao stori kidogo sana, sasa hiyo juzi nimerudi misele nikawasha subwoofer nikaunga na simu nikawa nachek movie ktk simu nimekaa zangu sebuleni kidogo kapita jamaa na mmoja wa wale wapangaji wamezama katika chumba cha yule mpangaji mi mlango ulikuwa wazi na milango inaangaliana di vyumba vya ndani vyumba huru kabisa. nikasema yees mwana anaenda kula keki ya Taifa ila yule jamaa kidogo anaonekana alikuwa kitungi ila manz yupo fres, nikarudisha mlango wangu nikaendelea na movie yangu..kama nusu saa yule dem katoka kaenda chota maji tukakutana bombani akaniuliza kaka unaangalia movie gan inaonekana nzur nikamwambia ya kawaida tu na ipo ktk sim tu akasema okey ntakuja kuangalia, sa nikajiuliza huyu si aliingia na jamaa ama ndugu yake ama jamaa alisepa zake ah nikaachana nae maana mm sina hata mazoea nae, kila mtu akaenda na zake, mida ya saa tano hv naskia mlango unagongwa nikafungua yeye tena ana khanga tu akasema movie yako inaitwaje unayoiangalia nikamwambia ANNA akaomba aione kwa mara ya kwanza kazama ndani basi mi nikawa namuangalia simuelewi kaka ktk sofa mipaja inavutia ukizingatia sikuwa taa kulikuwa na mwanga wa woofer tu wa bluu, nikamwambia sister kama una flash lete nikuwekee usepe kwangu sihitaj wagen bila taarifa akasema poa sasa wakat wa kutoka akaenda kwanza dirishani anachungulia nje kainama kidogo, mm nikaona huu ukenge maji sasa nikaingia chumban nikachukua ndom, namuuliza sasa wewe unachungulia nn si uende kwako? anasema kuna mtu kamuacha kalala, nikamuuliza yule umepita nae? eeh kalewa sana yaan kafika tu chumbani kafikia kitandani anakoroma nikamuuliza ni jamaa yako? akasema ni mzaz mwenzangu dah nikaona huyu akuja kwangu kwa ajili ya movie kafuata lingine nikamfuata pale dirishani wakat yeye anachungulia mm nikava ndom kabisa alaf nikamshika kiunon ah hamnakitu yaan huyu manzi ndio nikaukumbuka huu uzi wa kula kitu kimasikhara, alivyohis mkuyenge unamtomasa ktk mahaga yake eti kastuka ile anageuka kakutana nao live alaf nikaonahuyu ashauona mkuyenge wangu na kaja kwangu bila chupi nikamwambia tu sister mm sinaga mazoea ya hivyo kama jamaa kalala bilakukupiga mashine mm nakupiga mashine kwa niaba ya mshikaj haha manz akawa kama kastuka hv aamini kinachotaka kutokea sasa mm sikulemba vile vile bado anakodoa kodoa macho nikampindisha nikamtia ududuanataka kuleta wenge nikamuuliza unaingiaje chumba cha msela bila chupi? watu watakushangaa we nitengee vizur kweli kachomoa akaenda kuutenga vizur sasa..jamaa linakoroma mi napiga pum*u mpaka sa tisa yule manzi akatoka zake na mm nikamwambiamazoea ya kisenge sitaki tusizoeane, asubui namuona jamaa anaenda kuoga , dah kisha akasepa na mm nikasepa zangu jion nimerudi nakutana na yule dada mlangon kwake kasimama anauliza ushakula? nikamwambia tayar kwan vipi eti ooh jana umenifanyia vitu sijategea nikamuuliza kwa hiyo? eti naomba tena alaf usiniache...yaan nilijisikia hasira, nikamwambie mm sitak mazoea jana nimefanya vile sababu ningekuacha sijui ungenichukuliaje ila mimi sipo unavyofikiri na mimi ni pasua kichwa we komaa na jamaa yako..asubui sasa yaan leo akaniambia we mkaka mi naomba tena eeh nikaona hapa sasa huyu anataka kuniletea msala mi mapema tu sa nne nne nikasepa zangu nategemea kurudi huko baada ya mwezi...so juzi pia nimepiga show kimasikhara japo sitaki mazoea nayo.
 
Mwaka 2017 nikiwa nipo Bunju...kuna jamaa alikuja na Bint wawili wakiitaji Huduma ofisini kwangu,jamaa ninamfahamu ni jamaa yangu kwa juu juu tu.
Demu mmoja alikuwa pini balaaa hadi unachanganyikiwa.,na mwingine alikuwa wa kawaida sana.baada ya maongezi wakaondoka zao.
Sikuweza pata namba ya yule manzi nzuri.
Baada ya wiki kupita nikaona SMS inaingia hellow mambo,mim ni P unaweza ukaja Leo kuona flemu yangu maana ni expert wa biashara furani mjini hapa wengi huwa wananitumia kuangalia na za kwao pia.
Basi nikaenda chap,kufika tu nikamkuta na yule jamaa yangu basi story mbili Tatu nikaangalia kibanda chake kisha nikampa maelekezo namna ya kufanya.
Badae ya siku 3,nikapata SMS asante sana umenipa mawazo mazur na nimeanza biashara.kuanzia pale akawa anachati na mim sana tu,lakin sikuwa na uhakika juu ya yule jamaa yangu maana nae kitombi tu,halafu manzi mzuri vile asimtom**be
Nikamuuliza vipi,jamaa yangu ndio anapumzika hapo ,demu akakanusha,basi mm nikampa live Wewe ni mzuri sana.manzi akacheka tu
Next day nikamuuliza upo wapi akasema nipo home,njoo maana haikuwa mbali na ofisi yangu ,nikawasha boxer yangu nikaenda,kufika geto kwake duuuuu,nikakaribishwa ndani,eehh bwana naingia ndani seblen hakuna hata kochi moja,akasema njoo huku,nikazama room,Mara paaa kitandan
Story zikaanza,yule manz ni mzur jaman na ameumbika kwel,chuchu SAA sita.
Akasema ngoja nioge nakuja ,akatoka nje kuoga,mara akarudi aliporudi tu,nikasema huyu simcheleweshi,nikambeba mzima mzima nikaanza kunyonya matiti,demu kumbe ndio ugonjwa wake,akalegea pale then nikamlaza,ile nataka niuze mechi,akachomoa kondom, akanipa,nikapiga dude la fasta fasta .
Hadi Leo nakula tunda ingawa mpenz wake yupo Holland anakula kitabu


Sent using Jamii Forums mobile app
Masihara sio haya, tunataka masihara kweli kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuja shamba huku, nimepanga chumba na sebule kwa miezi hii ntakayokuwa nafanya yangu, nimelipia miezi mi4 lakin sikai naweza kuja nikakaa siku nikaondoka nikaja baada ya wiki kadhaa kutokana na mfumo wa utaftaj wangu uko hivyo, sasa juzi nimerudi nimekuta nimepata majiran kama wawili hivi wanawake, wana maumbo ya kike hasa, wote ni wachangamfu sana na napiga nao stori kidogo sana, sasa hiyo juzi nimerudi misele nikawasha subwoofer nikaunga na simu nikawa nachek movie ktk simu nimekaa zangu sebuleni kidogo kapita jamaa na mmoja wa wale wapangaji wamezama katika chumba cha yule mpangaji mi mlango ulikuwa wazi na milango inaangaliana di vyumba vya ndani vyumba huru kabisa. nikasema yees mwana anaenda kula keki ya Taifa ila yule jamaa kidogo anaonekana alikuwa kitungi ila manz yupo fres, nikarudisha mlango wangu nikaendelea na movie yangu..kama nusu saa yule dem katoka kaenda chota maji tukakutana bombani akaniuliza kaka unaangalia movie gan inaonekana nzur nikamwambia ya kawaida tu na ipo ktk sim tu akasema okey ntakuja kuangalia, sa nikajiuliza huyu si aliingia na jamaa ama ndugu yake ama jamaa alisepa zake ah nikaachana nae maana mm sina hata mazoea nae, kila mtu akaenda na zake, mida ya saa tano hv naskia mlango unagongwa nikafungua yeye tena ana khanga tu akasema movie yako inaitwaje unayoiangalia nikamwambia ANNA akaomba aione kwa mara ya kwanza kazama ndani basi mi nikawa namuangalia simuelewi kaka ktk sofa mipaja inavutia ukizingatia sikuwa taa kulikuwa na mwanga wa woofer tu wa bluu, nikamwambia sister kama una flash lete nikuwekee usepe kwangu sihitaj wagen bila taarifa akasema poa sasa wakat wa kutoka akaenda kwanza dirishani anachungulia nje kainama kidogo, mm nikaona huu ukenge maji sasa nikaingia chumban nikachukua ndom, namuuliza sasa wewe unachungulia nn si uende kwako? anasema kuna mtu kamuacha kalala, nikamuuliza yule umepita nae? eeh kalewa sana yaan kafika tu chumbani kafikia kitandani anakoroma nikamuuliza ni jamaa yako? akasema ni mzaz mwenzangu dah nikaona huyu akuja kwangu kwa ajili ya movie kafuata lingine nikamfuata pale dirishani wakat yeye anachungulia mm nikava ndom kabisa alaf nikamshika kiunon ah hamnakitu yaan huyu manzi ndio nikaukumbuka huu uzi wa kula kitu kimasikhara, alivyohis mkuyenge unamtomasa ktk mahaga yake eti kastuka ile anageuka kakutana nao live alaf nikaonahuyu ashauona mkuyenge wangu na kaja kwangu bila chupi nikamwambia tu sister mm sinaga mazoea ya hivyo kama jamaa kalala bilakukupiga mashine mm nakupiga mashine kwa niaba ya mshikaj haha manz akawa kama kastuka hv aamini kinachotaka kutokea sasa mm sikulemba vile vile bado anakodoa kodoa macho nikampindisha nikamtia ududuanataka kuleta wenge nikamuuliza unaingiaje chumba cha msela bila chupi? watu watakushangaa we nitengee vizur kweli kachomoa akaenda kuutenga vizur sasa..jamaa linakoroma mi napiga pum*u mpaka sa tisa yule manzi akatoka zake na mm nikamwambiamazoea ya kisenge sitaki tusizoeane, asubui namuona jamaa anaenda kuoga , dah kisha akasepa na mm nikasepa zangu jion nimerudi nakutana na yule dada mlangon kwake kasimama anauliza ushakula? nikamwambia tayar kwan vipi eti ooh jana umenifanyia vitu sijategea nikamuuliza kwa hiyo? eti naomba tena alaf usiniache...yaan nilijisikia hasira, nikamwambie mm sitak mazoea jana nimefanya vile sababu ningekuacha sijui ungenichukuliaje ila mimi sipo unavyofikiri na mimi ni pasua kichwa we komaa na jamaa yako..asubui sasa yaan leo akaniambia we mkaka mi naomba tena eeh nikaona hapa sasa huyu anataka kuniletea msala mi mapema tu sa nne nne nikasepa zangu nategemea kurudi huko baada ya mwezi...so juzi pia nimepiga show kimasikhara japo sitaki mazoea nayo.
Unajiona mjanja kwa majibu hayo..kumbe Boya
 
Bwahahahaha
Mpk sasa na umri wangu nayajua vizuri mahusiano tena ukija upande wa kula kimasihara ndo hatari kabisa mkuu story za wadau wengi uwa zinavutia na kufanya tupende pitia uzi huu kila mara ila story ya mdau kiukweli haivutii kwa namna nyingi haina udambwi udambwi yani imekua too much specific alafu ubaya zaidi nilichoona ni kujimwambafai kua anafanya kazi mahala flani, kitengo flani , amemla mtu flani ( kamtaja jina) na zaidi kuji proud ana mkaza mkenya sijachukia au kuwa na husda na story yake bali nimeona haivutii
Ni JF pekee umu watu wote wanavitengo, magari wanasex bao la kwanza dk 40, wanawake wakishikwa chini lazima wawe wet sana n.k

Huu uzi naupenda sana haswa kile kisa cha Juma p. Na vinginevyo wa watu wanao kula kimasihara mpk ndoa ila pia tunajifunza mbinu za kibaharia katika uzi huu ukiwai skia jamaa kapigwa kofi kisa kujaribu mla denda demu kimasihara ?

Uzi huu ni sehemu ya kurefresh mind ata usiku wa manane unasoma unapata kutoa stress tunategemea story nzuri zinazovutia sasa jamaa anaongea vitu vya juu juu tu na masifa mengi mengi kila mtu humu anakitengo chake ata kama anauza supu ya pweza barabarani sisi hatutaki jua ndo maana wanaojielewa watakwambia ( kipindi nafanya kazi ofisi fulani) yani kashaweka code ila jamaa katililika

Amenitoa kwenye mood ya kusoma na kudinda asee


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mzee saiv ni kama hakuna beki wala kipa golini la kipa yupo bhasi ni kindoki
Mwaka mmoja nilikuwa Shinyanga mjini,kwenye bar moja maarufu sana maeneo ya Kambarage,pembeni ya ile bar palikuwa na duka la Mwarabu,alikuwa akiuza chachacha,katambuga na mashuka ya kisukuma(walikuwa wanavaa wasukuma wa Maganzo na eneo la Shinyanga lote miaka ya nyuma),shanga za wanaume na wanawake wa kisukuma pamoja na sukari guru.

Yule Mwarabu alikuwa ana eneo la duka pia kwenye kijiji cha Maganzo,nje kidogo ya mji wa Mwadui...Kwa hiyo nilimfahamu sababu alikuwa maarufu na pale Maganzo hasa siku za mnada wa Maganzo.Wakati huo mimi na rafiki yangu ambaye ni marehemu sasa,alikuwa Kapten wa ndege za Mwadui(ntataja wajihi tu bila jina).Alikuwa shombeshombe,alizaliwa na Baba wa Kigiriki na Mama wa Kihehe huko Iringa,Mama yake alikuwa House girl tu wa Mgiriki,bahati nzuri akapendeza akiwa anafanya kazi kwa Mgiriki,basi mgiriki akazaa naye,kutunza ndoa yake akawa amemuondoa pale kwake,ila alimtunza mwanae(best yangu) mpaka akaja kuwa rubani.

Huyu Mwarabu wa Maganzo/Kambarage alituzoea sana,maana tulipokuwa tuna trip ya Mwadui tulienda pale Maganzo au Shinyanga mjini siku za weekend na Pigeot 504 yetu,tukapata mambo yetu na kurudi Mgodini kupitia njia ya Shy-bush,Utemini kutokea geti dogo.

Huyu Mwarabu alikuwa mkali sana,anafokea wateja ovyoovyo,hasa wasukuma wakiuliza bei ya vitu zaidi ya mara moja alikuwa anawafukuza "toka-toka" mpaka akapewa jina la "Toka-toka".Wakati huo makazi yetu ilikuwa Dsm na Mwadui.

Weekend moja tupo pale Kambarage,tunapata maji ya mende,tukiwa jirani na duka la mwarabu tokatoka.Tukiwa bado vijana tu wenye utimamu juu na chini.Yule Mwarabu alikuwa ana watoto wazuri sanaaa,lakini hawatoki nje.Ni mara chache sana kuwaona.Na hawa Waarabu walikuwa wanaoana wao kwa wao,wanapeana wake.Utakuta mwarabu wa Shinyanga anaoa Mwarabu wa Tinde,au wa Tinde anaenda kuoa Mwarabu wa Nzega,wa Nzega anaenda kuoa Mwarabu wa Mpanda kwa kina mbunge Kessy Mabodi.Kwa hiyo wanajuana mpaka waliopo Dsm.

Jioni ile yule tokatoka akapokea simu ya mezani toka Dsm kuwa mke wake kafiwa na baba yake Dsm,na mazishi watafanya kesho baada ya sala ya Alasiri.Huyu mkewe alimuoa kwenye familia moja hapo Ilala Dsm.Kwa hiyo alitakiwa kufika Dsm kesho yake na kwa usafiri wa wakati huo,angekaa njiani karibu siku 3 ili kufika Dsm.

Ukawa mtihani kwelikweli.Mara pale tukaona "Toka toka" anafunga maduka yake mapema na taarifa ni kuwa kafiwa na mkwewe Dsm,wakati huo msiba wa jirani ni kama msiba wa mji mzima.Na pale tulipokuwa tunakunywa na jamaa yangu(R.I.P) ikabidi pafungwe sbb ya ule msiba.Basi wakaweka turubai na sisi na bia zetu kichwani tukakaa pale kuomboleza.

Mjadala ikawa mke wa Toka-toka na mabinti zake na mwenyewe mzee waende msibani Dsm.Lakini kwa usafiri wa kipindi kile ambao ni treni kwa uhakika wasingewahi.Hivyo ikawa mtihani...Sasa sisi tulikuwa na trip yetu,kutoa almasi 'ghafi' Mwadui kuipeleka Iringa kiwanda cha Tun-Cut ikafanyiwe mambo,lakini mara nyingi tukibeba basi tunapitia na Dsm then tunaweza lala au kurudi Mwadui.

Kwa hiyo nikamwambia jamaa yangu tuwasaidie hawa watu,tuwape lifti,tuchukue wawili wenye umuhimu,wengine watapanda gari moshi kwenda kuhani msiba.Basi tukafikisha wazo lile kwa wananzengo pale,mzee Toka toka hakuamini,akasema sababu ya umuhimu,basi atangulie Mama na binti mmoja mkubwa(hapa ndio kosa la kiufundi lilipoanzia).

Bila kuchelewa tukawasha Pegeot 504 yetu tukwabeba kwenda na mgodini ili mapema asubuhi tuje nao Dsm,mle mgodini kulikuwa na "Rest House",tukawatafutia pale wakala na kunywa wakalala.Kuangalia "Mayfly" ya kesho ya abiria,tukakuta bado kuna nafasi moja,jamaa yangu alikuwa muungwana,akasema washa gari tukambebe na mzee.Kufika kule Mwarabu akasema itabidi aende binti wa pili,yeye atakuja na treni.Kwa hiyo akawa Mama na mabinti wawili wakubwa.Warembo wa kiarabu,wanavutia sana kwa wakati ule.

It was their first time to experience a flying moment.Basi tulitoka pale mpaka Nduli Iringa,wenye mali yao wakashusha,then tukaenda Dsm.Majira ya saa tano hivi tupo Dsm...Tukaenda nao mpaka msibani na mambo yakaisha.

Tukawaambia wasubirie ndani ya week kutakuwa na nafasi kurudi Shinyanga tutawabeba,basi wakati wa kurudi ilikuwa kama baada ya mwezi hivi toka msiba.Tulifika majira ya jioni,na kuanza safari na 504 kwenda Shy town ikawa uchovu.

So wakalala pale ili asubuhi waende nje ya geti wapande Rand lover warudi kwao.Sasa huu usiku ndio ukawa na balaa sana.Tumekaa pale tumekula,mama yao akaenda kulala,na jamaa yangu akaenda kupumzika,mimi nikabaki na mmoja kati ya wale wawili.Alikuwa msichana mrembo sana kwa miaka ile...wakati huo kwa kweli ili umpate msichana atakuzungusha hataiezi sita.Na kwa kweli ile haiba ya Kiislamu na yale malezi ya ndani yule msichana alikuwa na aibu sana lkn pia alikuwa ndio siku anataka kujaribu.Maana alijua ndio nafasi na akiikosa pale akirudi nyumbani ni kufungiwa ndani.

Kila nikiaga naenda kulala anasema tuendelee kuongea,basi tuliongea pale mpaka saa saba usiku...kumbe ni kama walishaongea na mama yake kuwa jibane hapo,utaolewa umri ushafika.Basi nikasema sasa naenda kupumzika,mwanamke kwa ujasiri akasema twaenda wote,nikidhani anaenda kwake chumbani.

Naingia kwangu(Maana nasi tulikuwa tukiishi Rest house kwa wale waliowahi ishi kule wanajua) naona mwanamke mgongoni,basi mie nikaingia nikawasha taa,paja maji,naye nikamwambia akaoge lkn ana aibu sana maana ana haiba za kidini.Baadae tumelala kitanda kimoja,naye kalala ila kageuka hukooo,tena kalala na gagulo.Kuwasha taa naona mtoto mweupe sanaaa...Ujana ule nikashindwa kuvumilia,nikaanza purukushani,kila nikiingia nashindwa,jaribu sanaa...kumbe alikuwa ajaguswa,akawa anaumia sana.Mpaka kunakucha ni bilabila,mpira haujapenya wavuni.

Majira ya saa moja nikabadiri mbinu,huku na kule mara tayari.Kazi ikaenda pale mpaka saa tatu muda wa chai.Japo alilalamika sana maumivu.Ule mchezo Bi mkubwa wale kila kitu.Kwa hiyo toka hapo akawa anafanya mbinu nikienda Mwadui anakuja mgodini nafanya mambo.Najaribu kuweka codes sababu mwisho wa siku nilizaa naye,japo dini ilileta utata kuoana,nikachukua mtoto na yeye akaja kuolewa na mwarabu mmoja wa Kahama.

Nadhani kwa enzi zetu za ugumu wa kutongoza na kupewa tunda,hii ilikuwa ni moja kati ya tukio la kupewa tunda kimasihara,maana ilikuwa ngumu kupewa tendo na mwanamke kwa just usiku mmoja kama ilivyo leo.Ninaposoma visa vya vijana wa leo,naona kama wanapewa tunda kirahisi sana mpaka wanapoteza uwezo na ujasiri wa kutongoza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom