JAPHA ED
JF-Expert Member
- Aug 17, 2016
- 795
- 1,229
Daaah huu uzi kiboko ndio kwanza nimesoma mpaka 1K ila hii naiona kama kali kuliko, ukiusoma huu uzi unasahau mpaka kama maisha ni magumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja na Mimi nishee kidogo
Mwaka mpya hapo niko 1/1/2019 mida ya saa sita usiku natoka zangu mbuyuni pale nishapakia sana magari ya mchanga huyo narudi zangu geto salasala usiku ule nikapta zangu sehemu flani panaitwa mapangashaa mara gaFra namuon demu mrefu kweli anaenda toileti vile vyoo vya nje![]()
Hee nikamuita oya vipi akasema usiongee Kwa sauti mi mke wa mtu naenda toilet nikamwambia daah kwaio ngoja niite bodaboda kwangu choo kipo ndani kabisa Akasema kweli
Nikasema ndio twende ukajionee gafra boda boda huyo anapita nikamuita oya njoo basi nakamwambia panda basi heeeh si kweli akapanda nikatulia nyuma yake haoooo paka maeneo ya green acre pale huku namshika kiuno kwenye bodaboda
Kafika nimefungua geto kweli huyo kakimbila toilet mi namchora tu basi karudi kashaoga kabisa tena bila nguo yoyote kafikia kujilaza kitandani daah mi napakua zangu wali wa tokea asubuhi
Maraa daah hapa kwako pametulia takua nakuja kila siku
Basi nikidume nikapiga wali fasta nakaingia nakaoga ile narudi kanishusha taulo
Inashort nikapiga mzigo paka asubuhi![]()
Sema alikua tall ajabu alafu mi kawaida tu jioni narudi hajaondoka alafu kafua nguo zote2
Ndio ananiuliza eti unaitwa nani![]()
Sent using Jamii Forums mobile app



