Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Baba hawa mademu maarufu wana madalali alafu madalali wao ni mashoga yan ni noma mzee kuna watu wanahela wanawapa hizo hela kama kuna jamaa alimpiga lina kwa laki nne aisee me kama tunakuwa wapenz sawa ila kununua mbususu kwa hela mingi hapana
Kaka lina amekuja kuliwa na mwanangu mimi green city kwa laki 5 kagharamiwa flight chakula na hotel , na tumekunywa nae sana pombe ila mwana akapiga chini japo demu alifall kwa mwamba sema jamaa analalamika demu ana vizinga balaa mara elfu 70 anunue umeme sjui nni jama akapiga chini, na jamaa anasema demu anatoa
 
Mkuu, anatoa nini?🤣
Kaka lina amekuja kuliwa na mwanangu mimi green city kwa laki 5 kagharamiwa flight chakula na hotel , na tumekunywa nae sana pombe ila mwana akapiga chini japo demu alifall kwa mwamba sema jamaa analalamika demu ana vizinga balaa mara elfu 70 anunue umeme sjui nni jama akapiga chini, na jamaa anasema demu anatoa
🤣
 
Kaka lina amekuja kuliwa na mwanangu mimi green city kwa laki 5 kagharamiwa flight chakula na hotel , na tumekunywa nae sana pombe ila mwana akapiga chini japo demu alifall kwa mwamba sema jamaa analalamika demu ana vizinga balaa mara elfu 70 anunue umeme sjui nni jama akapiga chini, na jamaa anasema demu anatoa
hahha anakwenda sio ? hahaha we jamaa bwana kumbe lina waKWENDAAA...
 
Baba hawa mademu maarufu wana madalali alafu madalali wao ni mashoga yan ni noma mzee kuna watu wanahela wanawapa hizo hela kama kuna jamaa alimpiga lina kwa laki nne aisee me kama tunakuwa wapenz sawa ila kununua mbususu kwa hela mingi hapana
Laki nne ndoa ya kiislam safi na chenji inabakia.
 
Na me ngoja nichangie nilivyokula kimasihara enzi nasoma advance mkoa mmoja wa usukumani huko:
Nikiwa kidato cha sita nlkua na rafiki yangu tuliekua tunasoma naye,alkua ana demu wake shule jirani ya wasichana, kuna kipindi kilifika wakaachana sababu wanazifahamu wao, sasa mimi nikaendelea na mawasiliano na "shem" wa shule jirani ya wasichana, nakumbuka ilkua ni mwezi wa tisa,kulikua na likizo fupi takribani wiki mbili, sisi kidato cha sita tulibaki shule, wanafunzi wa ile shule jirani pia walifunga lakini yule ex wa rafiki angu akaendelea kubaki shule coz home palikua mbali kutoka pale shuleni, wakati wa likizo hiyo tukiwa katika chattings za kawaida na huyo ex wa rafiki yangu,nikamtania tu sikuwa ata serious, nikamwambia nimemiss natamani nimuone, akaniuliza "tuonane wapi"? Na me nikamjibu popote tu ambapo patafaa, cha kushangaza yule binti akaniuliza tena "hata tukionana guest itafaa?", Sikutegemea swali kama lile na me nikaona kaingia kwenye kumi na nane nishindwe mwenyewe tu, Basi tukakubaliana badae mida ya usiku niende shuleni kwao nikamchukue, shule yao ilkua porini, umbali kidogo shule yetu ilipokua, Basi ilipofika mida hio nikapita zangu pori hadi nikatokea karibu na lilipokua bweni lao nikamchukua tukaenda lodge town,nikaichakata mbususu ipasavyo na kesho yake asubuhi nikamrejesha skuli kwao
Chai
 
Back
Top Bottom