Na me ngoja nichangie nilivyokula kimasihara enzi nasoma advance mkoa mmoja wa usukumani huko:
Nikiwa kidato cha sita nlkua na rafiki yangu tuliekua tunasoma naye,alkua ana demu wake shule jirani ya wasichana, kuna kipindi kilifika wakaachana sababu wanazifahamu wao, sasa mimi nikaendelea na mawasiliano na "shem" wa shule jirani ya wasichana, nakumbuka ilkua ni mwezi wa tisa,kulikua na likizo fupi takribani wiki mbili, sisi kidato cha sita tulibaki shule, wanafunzi wa ile shule jirani pia walifunga lakini yule ex wa rafiki angu akaendelea kubaki shule coz home palikua mbali kutoka pale shuleni, wakati wa likizo hiyo tukiwa katika chattings za kawaida na huyo ex wa rafiki yangu,nikamtania tu sikuwa ata serious, nikamwambia nimemiss natamani nimuone, akaniuliza "tuonane wapi"? Na me nikamjibu popote tu ambapo patafaa, cha kushangaza yule binti akaniuliza tena "hata tukionana guest itafaa?", Sikutegemea swali kama lile na me nikaona kaingia kwenye kumi na nane nishindwe mwenyewe tu, Basi tukakubaliana badae mida ya usiku niende shuleni kwao nikamchukue, shule yao ilkua porini, umbali kidogo shule yetu ilipokua, Basi ilipofika mida hio nikapita zangu pori hadi nikatokea karibu na lilipokua bweni lao nikamchukua tukaenda lodge town,nikaichakata mbususu ipasavyo na kesho yake asubuhi nikamrejesha skuli kwao