Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,774
- 54,843
Hahaha vipi ulifanikiwa kumweka?Wataalamu sii mnajua tena leo end month so vijihela vimepatikana. Nikasema ngona na mie leo bodaboda nikaenjoy na watasha masaki.
Sasa nipo hapa water front alooo huyu demu aliyetupokea hapa nimemzimia toto titi tako sura ila sasa mie domo zege nashundwa msaundisha. Najua wana humu wanamjua japo istagram page yake nikatongoze kwa kutumia marimba ya mzungu.
Mzee wa kupambania najua vitu vyako hivi