Mzee wa Chai
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 708
- 1,270
Kuna tukio umeshuhudia pia misungwi ama?Ulikuwa misungwi?!
Kuna tukio umeshuhudia pia misungwi ama?Ulikuwa misungwi?!
Ndo maanake mkuu...nikajua nimekubamba wegero kwetuKuna tukio umeshuhudia pia misungwi ama?


yaani ni vituko.










Bado unaendelea kuchamba?Kama kuna mtu anamuda wa kutosha aanzishe uzi kwa ajiri ya kuwafundisha watu namna ya kutongongoza hususani vijana wa kiume.
Kifupi vijana wa kiume wamegeuka vituko huko kwa wanawake yaani hawajui kabisa kutongoza.
Yaani hawa vijana wanaenda kuomba kazi Pepsi ila wanaongelea mambo ya coca colayaani ni vituko.
Yaani unaenda kwa mwanamke badala ya kujiongelea wewe na shida zako unaanza kumuongelea vibaya mwanaume aliopo kwa sasa ...kwa taarifa yenu mwanamke anapenda na kuvutiwa na vitu vibaya vibaya kwa mwanaume yaani asikie yule mwanaume malaya ...yaani vitu vya kijinga jinga
Unavyo mkandia mwanaume mwenzio ndio unampandisha thamani kwa huyo mwanamke kama hamjui.
Vujana hamjui hata kuteka attention ya mwanamke kwa taarifa zenu hata mwanamke malaya ili umgonge nae anataka uwe na skills za kuteka attention yake.....yaani da ni huzuni mnatia buruma.
Nimeandika haya baada ya vijana kuendelea kumsumbua dada wa watu nilie vuja nae mawasiliano humu.
Kwa taarifa yenu hamuwezi mkamla yule anajielewa sana sio malaya kama mnavyo dhani.
Kwa utongazi mlio nao humu nauhakika yule manzi hamumuwezi hivyo endeleeni kupiga puri maana ndio demu mnaye muweza![]()
Kutongoza hakupo hivyo kama mnavyo fanya nyie no wonder mpo desperate sana na mbunye na ndio maana mnakua malofa wa mademu.Bado unaendelea kuchamba?
Wewe ni unahasila demu itakuwa kashakutoalea njee kakuachia 😂😂 jikaze ww mwanaumeKutongoza hakupo hivyo kama mnavyo fanya nyie no wonder mpo desperate sana na mbunye na ndio maana mnakua malofa wa mademu.
Kuambiwa ukweli kuwa hamjui kutongoza ni kuwachamba.......?
Basi nitawachamba hadi mjue kutongoza kwa faida yenu na sabuni zipumnzike
Hahahaha hapana aisee ila ni kanda hiyo hiyo ya AsasNdo maanake mkuu...nikajua nimekubamba wegero kwetu
... uzi huu wa Jul 3, 2014 (9 yrs) una sifa kuu tatu;
- ... at 48k+ posts, most likely ndio uzi uliovunja rekodi ya kuchangiwa zaidi humu JF. Unazidi hadi nyuzi maarufu kama zile za Dr. Slaa kukisaliti Chama; Lowasa kuteuliwa ugombea Urais; na kifo cha former president.
- ... ndio uzi ambao umekuwa ukiendelea kuchangiwa kwa muda mrefu zaidi - 9 yrs+.
- ... unapima akili za vijana wa kibongo; wanapendelea nini; wanawaza nini. Kama kuna kampuni linataka kuwekeza au ku-introduce products Tanzania, thread hii itatoa picha ya niche market!



Kwa hiyo huyo manzi wako kwamba hamna watu wanaweza kum..to.mba?Kama kuna mtu anamuda wa kutosha aanzishe uzi kwa ajiri ya kuwafundisha watu namna ya kutongongoza hususani vijana wa kiume.
Kifupi vijana wa kiume wamegeuka vituko huko kwa wanawake yaani hawajui kabisa kutongoza.
Yaani hawa vijana wanaenda kuomba kazi Pepsi ila wanaongelea mambo ya coca colayaani ni vituko.
Yaani unaenda kwa mwanamke badala ya kujiongelea wewe na shida zako unaanza kumuongelea vibaya mwanaume aliopo kwa sasa ...kwa taarifa yenu mwanamke anapenda na kuvutiwa na vitu vibaya vibaya kwa mwanaume yaani asikie yule mwanaume malaya ...yaani vitu vya kijinga jinga
Unavyo mkandia mwanaume mwenzio ndio unampandisha thamani kwa huyo mwanamke kama hamjui.
Vujana hamjui hata kuteka attention ya mwanamke kwa taarifa zenu hata mwanamke malaya ili umgonge nae anataka uwe na skills za kuteka attention yake.....yaani da ni huzuni mnatia buruma.
Nimeandika haya baada ya vijana kuendelea kumsumbua dada wa watu nilie vuja nae mawasiliano humu.
Kwa taarifa yenu hamuwezi mkamla yule anajielewa sana sio malaya kama mnavyo dhani.
Kwa utongazi mlio nao humu nauhakika yule manzi hamumuwezi hivyo endeleeni kupiga puri maana ndio demu mnaye muweza![]()
Huyu jamaa bhnaKwa hiyo huyo manzi wako kwamba hamna watu wanaweza kum..to.mba?
Wewe endelea kukumbushia....dont trust women.

Anadhani huyo dem wake anaweza kumwambia kila kitu.Huyu jamaa bhna![]()
Kama kuna mtu anamuda wa kutosha aanzishe uzi kwa ajiri ya kuwafundisha watu namna ya kutongongoza hususani vijana wa kiume.
Kifupi vijana wa kiume wamegeuka vituko huko kwa wanawake yaani hawajui kabisa kutongoza.
Yaani hawa vijana wanaenda kuomba kazi Pepsi ila wanaongelea mambo ya coca colayaani ni vituko.
Yaani unaenda kwa mwanamke badala ya kujiongelea wewe na shida zako unaanza kumuongelea vibaya mwanaume aliopo kwa sasa ...kwa taarifa yenu mwanamke anapenda na kuvutiwa na vitu vibaya vibaya kwa mwanaume yaani asikie yule mwanaume malaya ...yaani vitu vya kijinga jinga
Unavyo mkandia mwanaume mwenzio ndio unampandisha thamani kwa huyo mwanamke kama hamjui.
Vujana hamjui hata kuteka attention ya mwanamke kwa taarifa zenu hata mwanamke malaya ili umgonge nae anataka uwe na skills za kuteka attention yake.....yaani da ni huzuni mnatia buruma.
Nimeandika haya baada ya vijana kuendelea kumsumbua dada wa watu nilie vuja nae mawasiliano humu.
Kwa taarifa yenu hamuwezi mkamla yule anajielewa sana sio malaya kama mnavyo dhani.
Kwa utongazi mlio nao humu nauhakika yule manzi hamumuwezi hivyo endeleeni kupiga puri maana ndio demu mnaye muweza![]()
We kweli kibwengoWewe ni unahasila demu itakuwa kashakutoalea njee kakuachiajikaze ww mwanaume




ndio ningekua najua ushamba wenu unao endeleaI don't trust them ila kwa swagger zenu ni za kishamba sana.Kwa hiyo huyo manzi wako kwamba hamna watu wanaweza kum..to.mba?
Wewe endelea kukumbushia....dont trust women.
Sasa hawa nawapa mbinu wao wanasema nawachamba.Kweli kabisa. Mimi malaya ila demu anajua kabisa sifa yangu ila wanajipanga tu.
I don't trust them ila kwa swagger zenu ni za kishamba sana.
Sio za kung'oa mademu wanao jielewa

we jamaa mswahili sanakuna makapuku forum piaKuna selfika kule
kuna uzi wa wazee wa kubet wa mkuu Rockcity nativeKuna selfika kule
Zipo nyinga sanakuna uzi wa wazee wa kubet wa mkuu Rockcity native
Ningekuonesha pickup line za hawa vijana ungecheka ufe mkuu . Hawa vijana ni washamba hasa wa zanzibar unguja na pemba maana wengi wanatoka huko na chugawe jamaa mswahili sana