Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Wakuu nina majonzi;
Crush wangu leo kavishwa pete ya uchumba na mwanaume wake.... nimehuzunika sana. Nifanyeje? Au nimpigie mpenzi wangu nimwombe ushauri?
 
Juzi nilikula kizembe sana toto la Kiha
Huyu manzi nilimpiga mistari miaka mitatu iliyopita. Akaonyesha dalili baadae ghafla akanipiga block. Bahati mbaya ni ofisi jirani ambayo kila siku lazima tuonane. Japo yeye alikuwa ananikwepa maana alikula kama 50k hivi. Mimi nikampotezea huku nikimuonyesha sijamind kabisa.

Mwezi huu akaanza kunitumia sms za usiku mwema na kazi njema. Mara juzi kanialika kwake. Nimeenda pale sina hili wala lile tunapiga stori tu tena kwa makusudi nikakaa naye mbali kabisa. Mpaka saa 4 usiku, mwisho nikamuaga, tukanyanyuka anitoe getini.

Mara ghafla akazima taa na kunikumbatia. Mwanaume wa kukataa fursa kama hii hayupo, nikaliunga.

Heeee si akaniambia twende chumbani. Kwa hiyo wazee mwanamke akikuringia usitie hasira.
 
Juzi nilikula kizembe sana toto la Kiha
Huyu manzi nilimpiga mistari miaka mitatu iliyopita. Akaonyesha dalili baadae ghafla akanipiga block. Bahati mbaya ni ofisi jirani ambayo kila siku lazima tuonane. Japo yeye alikuwa ananikwepa maana alikula kama 50k hivi. Mimi nikampotezea huku nikimuonyesha sijamind kabisa.

Mwezi huu akaanza kunitumia sms za usiku mwema na kazi njema. Mara juzi kanialika kwake. Nimeenda pale sina hili wala lile tunapiga stori tu tena kwa makusudi nikakaa naye mbali kabisa. Mpaka saa 4 usiku, mwisho nikamuaga, tukanyanyuka anitoe getini.

Mara ghafla akazima taa na kunikumbatia. Mwanaume wa kukataa fursa kama hii hayupo, nikaliunga.

Heeee si akaniambia twende chumbani. Kwa hiyo wazee mwanamke akikuringia usitie hasira.
hongera,

sema hamnaga masihara wanakua wameshapanga😂

ni basi tu tunaenda na kichwa cha uzi.....
 
Juzi nilikula kizembe sana toto la Kiha
Huyu manzi nilimpiga mistari miaka mitatu iliyopita. Akaonyesha dalili baadae ghafla akanipiga block. Bahati mbaya ni ofisi jirani ambayo kila siku lazima tuonane. Japo yeye alikuwa ananikwepa maana alikula kama 50k hivi. Mimi nikampotezea huku nikimuonyesha sijamind kabisa.

Mwezi huu akaanza kunitumia sms za usiku mwema na kazi njema. Mara juzi kanialika kwake. Nimeenda pale sina hili wala lile tunapiga stori tu tena kwa makusudi nikakaa naye mbali kabisa. Mpaka saa 4 usiku, mwisho nikamuaga, tukanyanyuka anitoe getini.

Mara ghafla akazima taa na kunikumbatia. Mwanaume wa kukataa fursa kama hii hayupo, nikaliunga.

Heeee si akaniambia twende chumbani. Kwa hiyo wazee mwanamke akikuringia usitie hasira.
Umekuwa kimasikhara hapo kaka
 
Kwa sisi ambao tulipita Mazengo enzi hizo ambapo siku hizi ndio St. John University pale Dom ilikuwa na vyoo na bafu ndani kila floor. Nje viliwekwa kwa kuwa maji yalikuwa yanatoka kwa shida
Zamani zile kulikuwa na pasi za shule za umeme na combination locks kwenye lockers.
 
Kwa sisi ambao tulipita Mazengo enzi hizo ambapo siku hizi ndio St. John University pale Dom ilikuwa na vyoo na bafu ndani kila floor. Nje viliwekwa kwa kuwa maji yalikuwa yanatoka kwa shida
Mie nimesoma kwiro,

Ndani ya bweni kuna mabafu, vyoo pamoja na washing place (sehemu maalumu ya kufulia na kupiga mswaki)
 
Back
Top Bottom