Enzi za ujana nilipata manzi mmoja wa chuo hapo UDSM. Ilikuwa ni pisi proper yaani matata. Ilakuwa na ka baby face and a very very sexy body, yaani kila kitu kime balance kuanzia the ass mpaka kiuno. Sasa huyu hakuwa KIMASIHARA ila ilichukua kama 2 weeks kutunukiwa. Sasa hio siku ya show, tulikuwa tumetoka out so baada ya vyombo nini nikarudi nae getho nikala. Sasa asubuhi naamka chumba nasikia harufu kama siielewi hivi. Mimi pua yangu ndio silaha, yaani nina nusa hatari. Baadae nikagundua ni papuchi, nikawahi kuoga na demu show ya asubuhi sikupiga kwa madai nawahi kibaruani. Aisee hio next day mambo yakaanza kuwa mambo. Mashine napata maumivu kwenda chooni ni kama natoa maji ya moto. Fasta nikamcheki mwamba mmoja ni gyno akanielekeza dawa mmoja hivi inauzwa 75,000 enzi hizo hio itasaidia kutibu. Hapo mm muoga wa hospitali, nikawahi fasta na kuanza dozi, aisee sijui ulikuwa ugonjwa gani ule, nilikuwa kila nikisikia kwenda chooni yaani napata mawazo juu ya maumivu maana ukifika unatoa mkojo kwa channel yaani kama kimwagilio. Uzuri dawa ilichukua kama siku 7 kupona. Kutoka hapo ikabidi nichukue mawazo magumu ya kuchukua full blood test na vipimo vingine. Aisee ilinichukua miezi kama 5 kula papuchi ingine, yaani nilikuwa kama ni nyege bora nichukue hatua mkononi.
Ila nilijifunza kitu, kwanza nilimpeleka manzi kwa gyno akamcheki atibiwe then nikampa kibuti. Kutoka hapo nikapewa kautaratibu na huyo mshikaji ambacho sio scientific proven but inasaidia. Ukila mbususu kavu na manzi, hakikisha baada ya game no matter what kimbia bafuni rinse mashine na running water, especially kwenye kichwa Alafu hakikisha Unavuta hisia mpaka UKOJOE( mkoja wa kawaida). Hii inasaidia sana. Pia kabla ya show, wakati unapima oil, jitahidi unuse aisee, kama Una experience kuna common smell ya papuchi, ukiona harufu sio aisee usiendelee, ukisikia shombo achana nayo hio. Pia avoid to rub your dick kwenye sijui clitoris yake pale wahuni mnaita sijui ndio katekero bora utumie vidole, pale unahamisha ma infection kibao. Ukishindwa tumia mpira ( japo sasa show na mpira mm naita Advanced masturbation hakuna kitu hapo)
Kwa kipindi cha ujana wangu nilikuwa nafanya hivyo imesaidia sana kuepuka na haya wa UTI. 60% or more ya mademu especially wa chuo wanaoka hostel wanaumwa haya ma UTI. Na ndugu yangu muulize daktari yoyote yule, antibiotics zinapunguza sana body immune system. Mnajipunguzia life span bure. Sasa wewe kama kila baada ya miezi 2 uko na masindano na madonge aisee tutakupoteza mapema.
Enjoy sex, it’s the most adventurous activity na inapunguza stress sana but do it with caution.