Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Mtu akilipiza itakuaje
Mkuu nimeileta hii story ilitujue wapenzi au wake ukimruusu kutoka pekeake kuna nafs kubwa ya kuliwa huko nje...mfn binafsi nikiona kuna mdada anatrip nyingi za kuja shop let say Mara 2-3 per night afu anategea mida ambayo IPO kmy...huyu kuna asilimia 80 Za kuliwa so tuwape ulinzi hawa viumbe....
 
Mkuu nimeileta hii story ilitujue wapenzi au wake ukimruusu kutoka pekeake kuna nafs kubwa ya kuliwa huko nje...mfn binafsi nikiona kuna mdada anatrip nyingi za kuja shop let say Mara 2-3 per night afu anategea mida ambayo IPO kmy...huyu kuna asilimia 80 Za kuliwa so tuwape ulinzi hawa viumbe....
Imeeleweka. 📌✅
 
Masihara yangu ya mwaka 2022.
wazazi wenye watoto shule fulani tulitengenezewa group la whatsaap. Kuna magroup mawili. Moja ni kama notice board tuu maana hakuna mzazi mwenye uwezo wa kutuma ujumbe.

Group lingine ndo tunabwabwaja humo kila mzazi mwenye jambo lake anabwatuka humo. Sasa kwenye kujadili issues mbali mbali kuna mwanamke mmoja akawa anasapoti sana hoja zangu. Kuna siku jambo lilikuwa linajadiliwa mara nikaona huyo kanifuata inbox kuniambia kuhusu mwendendo wa jinsi watu wanavyochangia hoja zao.

Basi nikasevu namba yake. Baadaye kidogo tukaanza kuulizana kufahamiana na mengineyo yakaendelea. Ikafika siku ya wazazi kwenda shule kuwaona watoto. Huyo dada kanifuata inbox tena anauliza kama ntaenda kuona mtoto nikasema ndiyo.

Akasema atafurahi kuniona maana tunavyochat hivi utadhani tunafahamiana. Sasa tukataniana kidogo nikaona amejaa full ndani ya 18. Siku ya kusafiri mm kwa kuwa niko mbali kidogo nikaanza safari siku moja kabla. Yeye alikuwa na uwezo wa kusafiri siku hiyo hiyo na kurudi maana anatoka karibu. Ila alivyojua mm nimeanza safari siku 1 kabla na yeye akaanza.

Nilipofika mjini akanitafuta kujua nilipo. nikamwelekeza nimefikia lodge. Nikiwa kitandani nimelala naangalia movies flani kwenye pc nasikia sim inaita, kupokea anasema yupo reception nimwelekeze niliko. Nikamwambia mhudumu akulete chumba namba.

basi shughuli imeisha hiyo... selebuka usiku kucha, hata hatukutoka nje kufuata msosi ikabidi kila kitu tuagize tuletewe. Kesho yake kuona watoto saa 4. Ikabidi asubuhi tupashe kiporo hadi saa 3 asubuhi ndo tukatoka. Mmama wa miaka 38 rangi chokolate ana turbo power heavy duty uuuuh. kuna watu wanafaidi jamani
 
Mbona mimi sijawahi kuwa na mtu wa "kila nikimtafuta anakuwa tayari"...nina gundu au kitu gani.
Ninao watano, mmoja kigamboni, wa pili kimara, watatu sinza, wa nne tabata, na wa tano mbez beach salasala yan hapa sijawachek miezi mitatu(lakini naview status zao whatsapp) ila nikigusa tu namba zao imo, yan hawa mademu ndio huwa nipo loyal kwao wakinipiga mizinga yan natumaga fasta bila hata maneno mengi... Nawaheshimu sana
 
Ninao watano, mmoja kigamboni, wa pili kimara, watatu sinza, wa nne tabata, na wa tano mbez beach salasala yan hapa sijawachek miezi mitatu(lakini naview status zao whatsapp) ila nikigusa tu namba zao imo, yan hawa mademu ndio huwa nipo loyal kwao wakinipiga mizinga yan natumaga fasta bila hata maneno mengi... Nawaheshimu sana
Ni pisi kali mkuu 😒🤔
Au ni amina ndala ndefu 🤣🤣🤣
 
Ni pisi kali mkuu 😒🤔
Au ni amina ndala ndefu 🤣🤣🤣
Tungekuwa tunaruhusiwa kuweka picha hapa tungeleta tafrani ni pisi ambazo ukiweka status whatsapp views za wanawake ulowaacha yan baada ya lisaa zinafika hata themanini, si nlishasema hakuna sababu ya kuwa na mwanamke mbaya daslama sababu wanawake wazuri ni wengi na wapo loose sana...wanawake wazuri kuna namna ya wanaume huwa wanawapenda ndio sisi mazingira yetu tuliojitengenezea, mfano huyu wa kigamboni mwaka jana nlichoma nae mayfair plaza mikochen ndani tukakutana na babu tale lijamaa lilimtolea macho manake toto limeenda hewan kuliko mimi alafu tako lakushato, chuchu mchongoma.. Sichukuag me kina mwajuma ndalandefu sishindi mazingira yao mimi....
 
Tungekuwa tunaruhusiwa kuweka picha hapa tungeleta tafrani ni pisi ambazo ukiweka status whatsapp views za wanawake ulowaacha yan baada ya lisaa zinafika hata themanini, si nlishasema hakuna sababu ya kuwa na mwanamke mbaya daslama sababu wanawake wazuri ni wengi na wapo loose sana...wanawake wazuri kuna namna ya wanaume huwa wanawapenda ndio sisi mazingira yetu tuliojitengenezea, mfano huyu wa kigamboni mwaka jana nlichoma nae mayfair plaza mikochen ndani tukakutana na babu tale lijamaa lilimtolea macho manake toto limeenda hewan kuliko mimi alafu tako lakushato, chuchu mchongoma.. Sichukuag me kina mwajuma ndalandefu sishindi mazingira yao mimi....
Kongole mkuuu 😂 😶.
 
Kongole mkuuu 😂 😶.
Bro wanawake sio wakuwazingatia sana tutafute hela ndio mwisho wa matatizo... Ukiwa na hela daslama utang'oa hadi ushangae... Nikiwa sina kitu hata mizunguko napunguza sababu naona ntapata mfadhaiko tu ntashindwa hata kumsemesha mtoto mzuri, najifungia tu nafanya kuchek movies na mambo mengine ya msingi....
 
Back
Top Bottom