Jana nimetoka zangu mkoa X nkafika jiji Y,, nlivyofika jijini hapo nkaenda sehem kupata misosi!! Nkapiga chakula nlivyomaliza nkaona nitulie tulie hadi giza liingie! Hiyo siku nilikuwa nimependeza haswaaa( BTW napendeza eerday ila hiyo siku nilikamia sana maaan tangu stand ya mkoa nlipotoka kuna mzee aliniambia unaenda kuchumbia mbona umependeza sana


)…..
So baada ya kula nkawa nachat na sim ghafla akaja mama mmoja hivi( Bonge)… Akaniuliza sim gani hiyo nikamjibu( natumia apple) af maongezi yakaishia hapo sikutaka kushoboka( code 01 ukikutana na pisi for first time usioneshe kushoboka nae ili umpe attention zaidi)
Akaagiza msosi wake akala me naendelea kuchat….Akanambia mtoto wangu naomba ninunulie ndizi nkamwambia sina hela nmebaki na nauli tu



!!!! Akasema poa na maongezi yakaishia hapo!
Tumekaa kma 30 mins bila kusemeshana huku me namuangalia kiwizi wizi! Nkaona em nilichombeze!! Nkamuuliza vp we mwenyeji wa huu mkoa akasema ndio…… Nkamwambia me mgeni vp unaeza nionesha guest nzuri akasema ndioo


(ila me mwenyeji ila nlikuwa nataka tu jinsi ya kulila kimasihara).. Likasema basi poa ngoja amalize then anipeleke guest!!! Nkaona huyu kwenda guest ntajikuta nalipia wakati nna pa kufikia!
Basi nikampanga mwanangu anipigie ajifanye kaja kunipokea na ndo ikawa hivyo! Nkamwambia basi nipe no zako tutawasiliana! Nkachukua no af nkamwambia kesho ntakuja kukusalmia maan tulishaongea kuhusu mahusiano yake kwamba ameachana na mumewe hivyo anakaa mwenyew!
Basi kesho yake( ambayo ndo leo )nkamwambia nakuja akanielekeza fresh nkatimba kwake!! Kufika kanikaribisha fresh tukakaa wote kwenye kochi moja!! Me nlikuwa na ugwadu la kama siku 3 hivi nkalishika linanyama nyama hatari!
Balaa lilipoanzia sasa


Nkamwambia basi tuhame twende kitandani likasema kwahyo unaniachaje hapo akimaanisha anataka hela! Nkajua hili malaya hili( japo toka mwanzo nlijua hivyo sema shetani bhana af sijawah kula malaya before


) Nkamwambia we sema bei yako akasema nimpe 50k nkasema poaah!!
Basi tukahamia kwa bedi likavua likanivisha na ndom maan nlibeba kabisa!! Nkapiga cha fastaaaa huku nalisifia kwamba lipo vizuri so nkamjaza kuwa ntampa 100k

Baada ya kukojoa nkamwambia em naomba tukatoe hela kabisa ili tukijifungia ndo tumejifungia akajaaa


.. Me nkavaa fasta (kama kawaida yetu wanaume) hapo yeye bado anavaa!!nkajifanya nmepigiwa simu nkatoka nje!! Ile kutoka nje ya geti nlitoka nduki kama sina akili nzuri maan alipokuwa anakaa napajua vizuriii


Nlikimbia aisee njian nkakutaba na boda nkamwambia nipeleke sehem x

Hapa ananitumia message kwamba me muhuni and blah blah!!! Kilichiniogopesha anasema ana shahawa zangu mbichi ntamkumbuka siku moja



Wazoefu em nambieni eti anaweza fanya jambo lolote na hizo sperms!!
Nawasilisha!!!