ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,629
- 127,275
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Japo umesema ukweli mtupu lakini haya mambo mara nyingi yanaamriwa na jamii husika. Ndo maana hata lugha yetu inamwonyesha mmoja ni mtenda na mwingine ni mtendwa....
Nondo za kwenda hizi[emoji122][emoji122]