Wewe ni Mjaluo au mkurya ndio mnapenda Kula vichuri
 
Aisee

Huku nilipo tulishaacha kusafirisha watumishi/wapendwa wa jinsia tofauti.
 
Hongera Mkuu, Mungu ni mwema
 
Hehehee
 
Mmelaaniwa mnafanya ngono zembe hata na mama zenu waliowazaa...moto wa jehanamu unawasubiri mbwa nyinyi

Usitutishee wewe.... Wewe Umewahi Uona Moto Wa Jehanamu? Una ushahidi wa Huo Moto? Tulia Nikifa Nitaozaa Kama Paka Wanavyo Oza Na Kunuka Basiiii.... Mengine baki nayo moyoni...!!! Nizaliwe Tumboni Mwa mama Halafu kufa niende Motoni wapi na Wapi Kaa kimya.
 

Mwanaume huwa hajisifii hivii, hizi ni mambo za kina Dada Zetu kujisifia sifia Ovyo! So Akiamka na Hizo hela wewe Zitakusaidia nini?
 
Hahaha ameiita bahati !!!? ...my foot
 
We mod uliefuta comment za huu Uzi hivi haiwezekani kumpiga ban hata ya wiki 1 huyu jamaa Hapa

Maana naona anawashwa washwa bapa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…