enjai ya kyasha
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,065
- 3,585
Papuchu itaziba mkuuHeeeeeeee mmmh cjall n mwanaume nna takribani miez hata mi4
Papuchu itaziba mkuuHeeeeeeee mmmh cjall n mwanaume nna takribani miez hata mi4
unajua nimekumiss
Yaani wewe!
Mie nimekumiss zaidi.unajua nimekumiss
kuna vitu vinanifanya niwe busy DarlingMie nimekumiss zaidi.
Its okey sweetheart. We pambana tu mpenzi, wish you all the luck.kuna vitu vinanifanya niwe busy Darling
Haya maneno mazuri mazuri, sio bure umetumiwa m pesaIts okey sweetheart. We pambana tu mpenzi, wish you all the luck.
aibu nimeona mimiHaya maneno mazuri mazuri, sio bure umetumiwa m pesa
Haya maneno mazuri mazuri, sio bure umetumiwa m pesa
Eti baby kwani umenitumia pesa?aibu nimeona mimi
huyo Heaven Sent ni wivu tuEti baby kwani umenitumia pesa?
Si lawaida yetu tu!
Huyu mtoto ameanza tabia mbaya ya kumuonea wivu mama yake.huyo Heaven Sent ni wivu tu
Nakubaliana na wewe kuna mazingira,but utakuwa umewahi kumtamaniAchana na hiyo ya kuingia na mtu chumbani, iko hivi wakati mwingine unaweza kuwa na mtu ambaye unamheshimu but kuna scenario inatokea unajikuta umefanya nae mapenzi. Kwa jinsi ulivyokuwa unamchukulia na lililotokea unajikuta huelewi ilikuwaje coz ni mtu ambaye huwezi kusema utaanza kumtongoza au kumshika shika.
Mfano mwingine, niliwahi kuzini na mtoto wa dada yangu enzi za ujana huko!! Siku hiyo tulikuwa nyumbani wenyewe na ni mara nyingi ilikuwa inatokea hivyo hasa baada ya kumaliza kidato cha nne lakini hhata siku moja hakuna aliyewaza swala hilo. Kiukweli sikuwahi kuwaza hata kidogo kwamba naweza kufanya hivyo ila kilichotokea ni kwamba wakati tunakunywa chai uani asubuhi ya kama saa nne, nilikaa kwenye mkeka hivi na yeye alikuwa analeta themosi huku kashikilia kikombe cha chai yake mkononi. Wakati anainama ile chai ya kwenye kikombe ilinimwagikia kwenye suruali eneo la zip kabisa so kwa aibu ya kuogopa kujishika pale nilikimbilia chumbani kubadilisha ile nguo haraka haraka!! Nikiwa nimevua nimebaki mtupu natafuta nguo ingine nivae nae akaingia kwa hofu kutaka kujua kama nimeumia au lah!!
Kilichotokea hapo yaani hata sielewi lakini tulijikuta tumebanjuka na kila mmoja akaanza kutafakari baada ya tukio. Ila hatukurudia tena coz kila mmoja alimuogopa mwenzie na mie ni kitu ambacho sikukipenda so mpaka leo tunaheshimiana.