Darlin
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 4,815
- 10,702
Aseeh nimepanda mwendokasi gerezan to morroco kuna dada mmoja mzuri sana alikuwa anapitia uzi wetu pendwa heshima kwake![]()
Ndio umeamua uje kunisemea huku mkuu
Sijapenda



Aseeh nimepanda mwendokasi gerezan to morroco kuna dada mmoja mzuri sana alikuwa anapitia uzi wetu pendwa heshima kwake![]()



Kila mla cha mwenzake na chake pia huliwaHahaha share tu mkuu,we do make mistake(s) as a human beings
Huna jipya kwake ndio maana kimoja tu hoiwakuu hv kwanin kwa wife ukipiga kimoja hoi ila za nje unapiga ata tano
Kwa hiyo ulimchakata sehemu zote mbili?Mtoto mzoefu kinoma, c ndio maana nikasema anabadili gia bila kupunguza mwendo.
Usipofanya utajilaumu 100%. Be bold na umwambie lasivyo utakaa week miezi na mwaka ukijutia. Halaf wanawake wako hiv... akinotice hauna ujasiri wa kumuambia yeye pia atakuwa mwepesi kukukatalia. Mwanamke anatak mwanaume ujue nn unataka na unakichukua!Jamani, kuna kula tunda kimasihara nakaribia 95%
Lakini naogopa kukataliwa ikawa aibu kwangu, manzi mumewe yupo mbali ila kila akikwazika mim ndio kimbilio.
Ichakate, ila andaa KY pia (just kidding)Jamani, kuna kula tunda kimasihara nakaribia 95%
Lakini naogopa kukataliwa ikawa aibu kwangu, manzi mumewe yupo mbali ila kila akikwazika mim ndio kimbilio.
Haitakua poa telegram ndio unyama zaidi mzeeNASHAURI LIUNDWE GROUP LA WHATSUP LA KIMASIARA ILI WATU WASHUSHE NA CONNECTION DIRECT
Cjui uyo jamaa ake alikua na. Cheo gan ata ashndwe kumtia vzur mwanadadaMemory nyingine ni upuusi hahaha
Arusha, Njiro
Ilikua 2011, kipindi hicho sina kipato cha kueleweka japo nnamudu mahitaji yangu ya msingi na kujilipia nyumba, nkaokota dafu kwenye mwembe.
Moja ya masiku nlipokea simu isiyo njema asubuhi, mama yangu kanipigia simu kuwa kaibiwa vifaa vyake vya kazi. Nlikua nmetoka mnunulia vifaa
Mke wa mtu sumu Ali manusura nichomwe visu Bora nijilie ma single mother aiseeMara ya 3 ndo nkakachaa...Kingine mke wa mtu aiseee
Ulete ile ya sex on mini skirt,siku nikitulia nitaleta kimasihara yangu nyingine
Huwajui wanawake na hujui nguvu ya ny***ge.Utakuwa ulikula Clinical officer ila sio MD, kwa jinsi niwajuavyo hawa watu kukuxshobokea mpaka kutoa mzigo labda uwe na cheo kikubwa serikalini au ni mfanyabiashara una pesa za maana pia muonekano wako uwe wa kipedeshee, tofauti na hapo hii ni chai.
ChaiMemory nyingine ni upuusi hahaha
Arusha, Njiro
Ilikua 2011, kipindi hicho sina kipato cha kueleweka japo nnamudu mahitaji yangu ya msingi na kujilipia nyumba, nkaokota dafu kwenye mwembe.
..kachukue chapati unyweeChai
"Kwann asiende medical akapate medications" and yet u want to regarded as a medical personnel? Bas sawaNawaletea nyingine tena wanangu
Jana nipo maskani nasubilia game la utopolo hivi kiuchovu
Mida ya saa nane hivi kuna mshikaji wangu ananicheki anasema baadae nimtafute kuna mishe ni kamwambia poa ...
Halafu pia waambie waache haka kamsemo "Nikapiga goli kama tatu hivi" waweke idadi kamili maana maneno "kama" na "hivi" kwenye sentensi yanathibitisha uwepo wa chai kwa asilimia 100. Tunaruhusu chai iwepo lakini siyo mwenye chai atuthibitishie. Atuachie kazi tuitafute hiyo chai ikiwezekana tutumie hata tochi.Embu muwe mnatueleza jinsi mnvyo vuana nguo zenu sio kutuambiaTUKAJIKUTA TUPO UCHI KIANDANI huenda mkatuelimisha na sisi wengine
Hii mwenyewe niliisoma halafu nikabaki "hiiiiiiiiiiii" (in Magufuli's voice)"Kwann asiende medical akapate medications" and yet u want to regarded as a medical personnel? Bas sawa