NiLIVYOKULA PISI KALI YA KITAA
Hii inshu ya huyu mtoto mazingira yake yanafanana na mada niliyowahi ileta humu
Inshu ilikuwa hivi
Hapa nilipopanga ni eneo ambalo lina watu wenye 'kahadhi' flani hivi..hakuna nyumba ambayo haina uzio..kila mtu kwake,kwa hiyo mambo ya uswahili swahili hakuna kbsa
Sasa haka kamtaa kuna sehemu moja tu ndo kuna duka ambapo "wana mtaa" karibu wote huwa tunaenda kupata mahaitaji ya nyumbani hapo
Sasa katika enda enda zangu hapo dukani kuna pisi moja ni kali hatari,nyeupe,imepanda hewani,kifua kimejaa,chura ipo ile ya kawaida...nilikuwa naonana nayo ila sikuwahi kusalimiana nayo wala nn,huwa tunachunia tu..maisha yakawa yapo hvyo
Sasa siku 1 muuza duka "ni mmama mtu mzima tu" akaniuliza dhehebu nnalo sali,nikamjibu ni RC,akaniuliza kwa nini sijagi jumuia?nikipatwa na katatizo itakuwaje?basi akanishawishi hapo nikaona sio inshu,nikamwambia jumuia inayofata ntaenda
Jumuia iliyofata sa 1 kasoro nikawa dukani kwake..huwa anafunguaga then anamwacha mtoto wake hapo dukani then anaenda jumuia/kanisani,kwa siku za jumamosi na j2
Basi nikampitia dukani kwake tukaenda jumuia..tukafika,kumbe siku hyo jumuia ilikuwa inafanyika nyumbani kwa hiyo pisi nnayokutanaga nayo dukani tunachuniana
Basi baada ya jumuia mwenyekiti akasema naona tuna mgeni,naomba ajitambulishe..nikaamka pale,nikamwaga maneno 2, 3 ya hapa na pale...baada ya hapo nikaandikwa kwenye daftari la jumuia(ile pisi ndo ilikuwa na daftari)..hvyo nikamfata akaniandika jina + no ya simu
Sasa mwezi August,kuna chuo kimoja cha kilimo(kilishaleta barua ya maombi ya kuomba wanafunzi wake waje wafanye field kwenye taasisi yetu) baada ya kukubaliwa,wanafunzi idadi 12,walikuja kwenye taasisi yetu,hivyo mkuu wao akaja nao kuwakabidhi kwenye uongozi
Basi kati ya hao wanafunzi 12,kale kadada kalikuwepo,sasa nilipokaona tu nikajikuta nimecheka,nako kakacheka,sasa wenzake hawakujua kwa nn tunafurahi,ikabdi niwaaambie kuwa mwenzao ni jirani yangu kabisa ila anajidaigi "nunda" tukikutana hanisalimii wala nn...kakaanza kujitete pale uongo na kweli...basi baada ya kumalizana nao nikawakabidhi kwa mtu wa kitengo husika akaendelea nao
Basi kama wiki 2 mbele siku nimeenda dukani wakati narudi nikakutana nae anaenda dukani..tukasalimia,nikamuuliza field inavyoenda akajibu vzr tu
Sasa shida ilianza siku zamu ya kusali jumuia ilipodondokea kwangu...siku ya jumuia ilipofika ile pisi nayo ilikuja..utaratibu wa huku jumuia watu wanasali ndani ya nyumba sio nje
Basi baada ya jumuia kuisha,nashangaa no mpya inanicheki whatsapp,kuuliza ni nani,akanijibu..sikushangaa no alipoitoa kwani tuna grup la jumuia,so nikajua no yangu kaitoa huko
Akaanza na kusifia mazingira ya gheto..then akaniuliza kuhusu "WIFE"..Nikamjibu indirect tu kuwa pale naishi peke yangu..mambo ya WIFE sikugusia kbsa
Sasa nikaona anauliza maswali mengi ya kutaka kujua ABC zangu..kumkatisha nikamwambia anakaribishwa nyumbani mda wowote,atajibiwa maswali yake...nikaona kapotea online..na mm nikatoka zangu...kwa vile ckuwa na wazo hata la kumtokea/kumla,hata sukumtafuta
Sasa ikapita kama wiki hivi,jumuia iliyofata SIKWENDA,Nilikesha na wana maeneo yetu yale ya kupiga vyombo
Saa 3 asububi nashtuliwa na simu..kupokea ni yeye..akaniuliza kwa nn sikuja jumuia..nikamjibu najisikia hovyo,akanipa pole tukaishia hapo
Sasa jioni nipo zangu ndani nachek muvi nikahisi kama geti linagongwa(ila kwa vile sikutarajia ugeni wowote)nikapuuzia
Nikaona simu inaita kumbe ni yeye,kupokea ananambia yupo getini anagonga..nikatoka kwenda kumfungulia
Kilichonipa wazo kumdinya ni namna alivyokuja amevaa..alikuwa amevaa tyt zao nyeusi zile ndefu na khanga kwa juu..then juu katupia kitop kimeacha mabega wazi..yeye akawa mbele mm nyuma naangalia tu tentemente
Kufika ndani ananambia eti amekuja kuniona mgonjwa...nikamuuliza mbona hajaja hata na juice au matunda ya mgonjwa...kakacheka pale kanajitete uongo na kweli...nikaona usintanie...nikamwambia usihofu,hata na ww ni zawadi tosha...akaniuliza kivipi?nikamsogelea pale nikaanza kucheza na mikono yake naona anaanza kuwa na aibu zile za kike...nikaanza kusifia nywele huku nazishika naona hana pingamizi..nikapeleka mkono ndan ya khanga naona hana pingamizi...nikacheza nae pale mpk hisia zilipoanza kumpanda then nikampeleka ghetto
Kumvua nguo,kumbe alikuwa hajavaa hata "pichu"..nikajua huyu alikuwa amejiandaa kuliwa kbsa...nikampelekea moto haswaaa!!
Sasa hv ananisumbua hatari....na kwa vile kashajua hapa nakaa peke yangu,yani mda wowote anakuja tu anavyojisikia..nimepanga kuhama hapa,asije niletea balaaa kwa Wife!!