Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Muwe mnakumbuka tu Kinga Kaka zetu Maradhi yapo.

Yaani nikiusoma huu Uzi na nikiangalia nna watoto wa kiume pale home, haipiti Week nawapa elimu ya jinsia
Usiishie kuwapa elimu wanunulie boksi la kondomu wawekee koridoni ...utawafanya wawe makini sana
 
Katika harakati za maisha ilitokea kuna kipindi nlikuwa nmejishikiza katka shule fulani binafsi ambayo niliunganishwa na jamaa yngu coz ilkuwa ya mzee wake..

Ko kipindi hicho i I was acting like an Admin..moja ya majukum yngu ilikuwa ni kupanga bus trip zote za kusambaza watoto majumbani.. na kuna gari moja ambayo nilkuwa naondoka nayo mpka kwenye makazi yngu..
Daaaaa baharia ulifaidi
 
Muwe mnakumbuka tu Kinga Kaka zetu Maradhi yapo.

Yaani nikiusoma huu Uzi na nikiangalia nna watoto wa kiume pale home, haipiti Week nawapa elimu ya jinsia
Mi nionavyo, ukimwi siyo tishio tena. Yaani corona ni mbaya kuliko ukimwi. Hata usemeje, watu wataendelea kula raha tu
IMG-20211110-WA0098.jpg
IMG-20211110-WA0045.jpg
 
Back
Top Bottom