Wadau huu uzi ni mzuri sana iko hivi
"Mwaka 2015 natoka zangu likizo naenda kasulu t.t.C gafla tunatoka kibondo tunakuta magari mengi yamekwama kutokana na barabara ya kigoma kuwa mbovu kipindi cha masika
Kumbe kwenye gari kulikuwepo na mkufunzi mmoja wa kike akifundisha chuo jirani cha ualimu karibu na kasulu teachers college,,( ) mwaka huo nikiwa mwaka wa Kwanza,,
Daah tumekaa pale adi saa tatu,,nne,,tano za usku wakati natembea tembea mazingira hayo nikamwona madam huyo simjui hanijui alikuwa na miaka Kama 33-35,, gafla nikamsogelea nakuanza kumpa hai kwa ujasiri mdogo sana,,
Hakuwa mchoyo wa salaam akaitoa kama yote,,,zaidi alikuwa na soda za kopo (chemi -cola) ,,,akanipa moja nikasema asantee Dada,,
Chakwanza nikamuulza unaelekea wp akanijbu vizr tu,,na yeye akaulza je wewe nikamjibu wakati tumekaa pale akawa anacheka na anaulza maswali ya mambo ninayosoma chuoni,,nilishaangaa sana kuona anajua adi sio powaa
Basi nikaomba namba ya simu akanipa


#wakati nasave akadakia akisema save madam Jack# nikamjibu sawa madam,,
Basi nikamuaga na kumwambia narudi ndani ya gari kulala,,,akasema sawa
Nilipofka nikamtumia sms ya usku mwema madam,,

akajibu mbona mapema? Daah nikasema ,,,,uko wp kwani wewe ? Apa apa ulipo niacha! Uogopi peke ako? Njoo unipe kampani!! No njoo tukae uku kwenye gari
Siwez labda unifuate nisije itwa mwizi bure! Powa naja madam!
Kufka nikakuta amekaa na mama mmoja usku mzito nilikaa Kama dk 5 yule mama akawa anasinzia,,madam akamwambia sisi tunatoka apa!
Tukaingia kwenye gari tukakaa uku tunakula senene kutoka BK,,madam alifurahi sana kula senene,,
Badae tulianza kuchati kutoka na idadi ya watu kuwa karbu karbu mhhhh siwez kusahau hiyo siku,,tulikubaliana tutoke nje ili tuchangamke vizuri kidogo kiukweli sikuwa kupata mwanamke aliyenizidi umri tofauti na yule.Tukiwa mbugani usku kiliumana sawasawa



uyu mkufunzi alikuwa balaah Asante sana,,, bahati mbaya alikuwa ameolewa na ana mtoto mmoja,,lakini adi namalza chuo kila weekend ilikuwa lazma aje kasulu mjini kula bata ,,ilifka hatua mwaka 2018 alikuja adi bukoba nyumban kwetu ,,mwaka Jana nimeoa adi yeye kanipa mchango tena mkubwa Sana,, yote kwa yote mwka huu mwezi wa sita tumeamua kuacha maisha hayo na kuanza maisha upya,, asantee sana
