kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,131
- 6,125
Siredi ya mwaka hii...hakuna kulala.Niliwaona madogo nikasikia wakisimuliana walivyokula tunda kimasihara nikasema hii ishaingia Hadi mtaani. rikiboy umeharibu vijana.
Siredi ya mwaka hii...hakuna kulala.Niliwaona madogo nikasikia wakisimuliana walivyokula tunda kimasihara nikasema hii ishaingia Hadi mtaani. rikiboy umeharibu vijana.
Hivi hilo tunda ni la aina gani embe parachichi apple tikiti maji fenesi maana kila mtu humu inaonekana amelila tayari


Mkiona Sehemu Dada Kasimlia Aliliwa Kimasihara mniitee![]()
Dadake babako huyo bro Mbuna.
Sawa bahariaBaadaye mnikumbushe, niwape stori nilivomla mtu na mdogo wake kimasihara!
Mabaharia tunapitia mengi sana aisee! Khaa!!
Wewe ndio uliliwa kimasihara mkuu!
Infact ulibakwa!! Sema uka take advantage, haukupiga kelele!!
Vipi, yule mtoto alozaliwa, unafanana naye hata kdg!??