Aise mambo si mchezo
 
Una bahati angekutoa marinda!
 
Niko hapa Kishimba Beach naona pembeni yangu kuna Mzungu, kajichora love shingoni. Nikasema ngoja nikaongee na mzungu jamn, nikahisi hajui Kiswahili, kumbe anajua vizuri tu. Basi amegeuka na kutabasamu.

Nami nikamwangalia kwa tabasamu, nikamwomba nikae nae, akasema "hamna shida, njoo tukae tu". Tuko nae hapa, wadau, kama upo Mwanza unaweza kufika hapa Kishimba Beach, jirani na ilipopaki boat ya MV. Bujiku.

Bado tunaongea mazungumzo ya kawaida tu lkn. Natamani itokee jmn!!! "Germany girl"

Pliz Pray for Me. Pray for Our Nation
 
uwakilishi wa nchi unanukia!!
 
Una kila dalili ya kuliangusha taifa as yaonyesha ushaingiwa na uogaa
 
Wakilisha nchi kimataifa usituangishe kama taifa starz
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…