Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

ngoja waendelee kukiwakisha

Watakimbilia tu uku kwetu, kisha tunajilia.


Sema hawa watu wabaguzi sanaa, juzi wamewa deport masalia yao ya kikush
Wabaguzi kinoma mzee,,wanajiona wao ndo magenious wa dunia hii,lakini kuna ukweli fulani ndani yake.
 
Achana na JF yenye Inbox au mitandao mingine yenye huduma ya inbox/DM



Kama umeshakula Demu wa Youtube ...weee ni shetan


Unachotakiwa kufanya.


Tengeneza Email yako ya kazi maalumu.


Alafu wazamie kwenye komenti pale unakuta watu wanachangia mada ..chagua ID ya demu mwanamke alafu


Unamwambia kwa maneno haya

"Hey Miss Ireen, you are so royal and kind, check me " asochekanaK@gmail.com."

Fala sanaa..unaweka hiyo email yako.


Alafu subiria Samaki ale chambo.


Nmeshawatafuna wachache .na mwezi ujao kuna mmoja MTZ yupo Guangzhou China, anaileta papuchi Bongo
Huyu kakoleaa anataka na ndoaa.



Siku zaja ambazo wanawake 1000 , watamlilia mwanaume mmoja.
Ila we jamaa malaya sana dah
 
Uuu ushauri wanangu wa kua una mwambia demu twende nikakut"mbe baada ya kukutana nae tu mtakuja mtukanwe, sema carlos mkuu we endelea na njia zako uache kutujaza upepo
mkuu yamekukuta nini 😅 😅 😅 🤣
 
Back
Top Bottom