Kuna demu nilikuwa namtamani anafanya Kazi mgahawani, siku 1 (juz juma 3) nikamfata mchana nikamwambia nataka chakula, lakini nataka nifunge kazi nikalie nyumbani. Utanikuta.
Yuko "ooh sipajui" nikamwambia mwenzako (mfanya kazi mwenzake ) anapajua atakuelekeza. Ukipajua njoo pale kazini unipe majibu Kama unakuja.
Nikweli siku Kama 5 nyuma, huyo rafiki yake alikuja na msela wangu kuniletea chai geto na mvua ilikuwa inanyesha, ndo maana nikamwambia atamuelekeza sababu anapajua.
Basi bwana, mi nikatangulia kazini kwangu kusubiria jibu la binti Kama analeta nitangulie au haleti nijue nafanya nini.
Dakika 5 nyingi, demu huyu hapa na beseni kichwani..nikajisemea KIMEUMANA!!
Basi kiulaini (in mh. Temba's voice) nikafunga kazi haoooo mdogo mdogo geto. Fika home wapangaji na mama (mke wa baba mwenye nyumba) wako nje wamejianika nikasema ALAAA!!!
Bila kupoteza muda tukazama ndichi na mtoto..kwanza mtoto alifahamiana na mama mwenye nyumba..wakawa wanasalimiana kilugha pale, Mimi muda huo nishazama ndichi. Dakika 1 nasikia HODI nikafungua, mtoto akazama ndani.
Ndugu wasomaji, muda huo hakukuwa na umeme, kwaiyo nisingeweza kufungulia radio Wala simu (zishazima).
Mtoto rangi ya kunde, chuchu ndogo ngumu ngumu (embe dogo) aloooo!

Nikaanza uchokozi uchokozi pale..aah muda si muda wapangaji wasikia AAH..AAAH..AAAH..OOOH..OOH!!
Baada ya kumtundua nikala chakula chake..nilikula basi? Hamu iliiisha!
Baadae mtoto akasepa, hapo wapangaji washatoka pale nje wameingia ndani. Mimi nikajilaza baada ya dogo kutoka. Baadae naamka nikaoge wapangaji wako WEE MTU MBAYA SANA! UMEKULA KWANZA HALAFU NDO UKALA!!








