Ex girlfriend ameolewa na mjeda, alilazimisha kuja kwangu na kwa vile anajua ratiba zangu zote siku hiyo nilishtukia tu katimba ofisini kwangu mida ya karibu na kutoka, amesafiri safari ndefu tu. Aliaga anaenda kwa ndugu zake
Siku aliporudi kwake, ilikuwa ni usiku na mmewe alikuwa shift ya usiku kwaiyo alinipigia simu kunijulisha na akalala. Asubui alipoamka akawa anaongea kwenye simu na ndugu zake kukazia kuwa wakipigiwa wajibu vizuri maana kuna ndugu zake walikuwa wanajua ushetani ule
Kumbe wakati anaongea na simu jamaa alikuwa mlangoni anasikiliza yote... aliingia na mlango na kilichofata ilikuwa balaa