Hata umri kalikudanganyaHa ha ha nyie hamfui dafu kwangu, nlipata kitoto kidogo kama cha 17yrs hivi kikali balaa nikakitia mara moja bila ndomu asubuhi ananipigia simu ana mimba na hataki kutolea sehemu yoyote zaidi ya aghakhan na ni sh. 1m tena kwa kompyuta
Wengine ni wehu tu na wala sio kupagawishwa wala nini. Na ndio maana visa vya wanaume kuchinja wake na wapenzi wao ni vingi siku hizi.Mweeh! Ulimpagawisha dume la watu
Hahahahaha! Kha! Ulikutana na shujaa wa makamanda wa uchepukaji. Eti ajali kazini,mambo yaendelee kama kawaida.Nilikuwa na kamoja bahati mbaya nikatumbuliwa na wife si mnajua tena mambo ya digital age hayasahau kitu usipokuwa makini. Nilipokaelezea nimetumbuliwa na wife wala hakakushtuka eti ajali kazini mambo yaendelee kama kawaida duh ilibidi nitoke mita nikabadilisha na namba ya simu.
Nimeipenda hii yakoo.. Hatari sana...Nakumbuka bana kipind nipo chuo dar nikapataga kimchepuko kipindicho Mr yupo Arusha sasa bana yule mchepuko akawa habanduki na mimi asbh kanipitia kwenda chuo jion kanichukua kurud nyumban atahakikisha anaondoka saa tano za usiku ikiwa weekend ndio kabisa naunganisha home kwake mpka j2 mda wa kuongea na Mr hata sina siku iyo tunagombana ananambia nichague nimuache Mr au na yeye awe na mchepuko heee katikati ya bonge la ugomvi Mr si akawa anapiga simu akaipora akapokea saa iyo inaenda saa tano za usiku me presha nakwambia nikajidai kuzimia maana nilihisi kufa hahaha nikikumbuka nacheka sana aisee
Basi Mr anasikia simu kapokea mwanaume ikabidi amuulize wewe nani unapokea simu ya mke wangu akajiadai eti mke wako kazimia njian alikuwa anatokea chuo me msamaria nampa msaada hapa nimemleta dispensary mimi huku ndio kamoyo kakapoa ila nikajidai nimezimiaa mwanzo mwisho mpka kampigia rafiki yangu kuja ndio nikajidai naendelea vizur yeye akaenda akatuacha
Uzur Mr wangu hakuelewa chezo maana pia ilikuwa kipind cha karibu na mitihan so nakuwa chuo mpka saa nne kudiscuss akanipa tu pole weekend yake akaja kuniona loo toka siku iyoo stakii habar ya michepuko pilipili khaaa kaka alitaka kunitoa uhai yule
Yamekumuta eeeeh hehehehe!!! Toa baba toaaaMichepuko ya Dar mafundi wa mizinga
Duh avatar yakoNimechekaje
You are very bad woman..Ha haaa wewe noma,kuzimia ikawa pona yako
Nakumbuka bana kipind nipo chuo dar nikapataga kimchepuko kipindicho Mr yupo Arusha sasa bana yule mchepuko akawa habanduki na mimi asbh kanipitia kwenda chuo jion kanichukua kurud nyumban atahakikisha anaondoka saa tano za usiku ikiwa weekend ndio kabisa naunganisha home kwake mpka j2 mda wa kuongea na Mr hata sina siku iyo tunagombana ananambia nichague nimuache Mr au na yeye awe na mchepuko heee katikati ya bonge la ugomvi Mr si akawa anapiga simu akaipora akapokea saa iyo inaenda saa tano za usiku me presha nakwambia nikajidai kuzimia maana nilihisi kufa hahaha nikikumbuka nacheka sana aisee
Basi Mr anasikia simu kapokea mwanaume ikabidi amuulize wewe nani unapokea simu ya mke wangu akajiadai eti mke wako kazimia njian alikuwa anatokea chuo me msamaria nampa msaada hapa nimemleta dispensary mimi huku ndio kamoyo kakapoa ila nikajidai nimezimiaa mwanzo mwisho mpka kampigia rafiki yangu kuja ndio nikajidai naendelea vizur yeye akaenda akatuacha
Uzur Mr wangu hakuelewa chezo maana pia ilikuwa kipind cha karibu na mitihan so nakuwa chuo mpka saa nne kudiscuss akanipa tu pole weekend yake akaja kuniona loo toka siku iyoo stakii habar ya michepuko pilipili khaaa kaka alitaka kunitoa uhai yule
I'm very good woman..You are very bad woman..