ulishawahi kujiuliza hili?

mkulasabo

Member
Dec 21, 2011
21
2
kwanini unsaherehekea siku yako ya kuzaliwa siku ambayo ulitoka tumboni mwa mama na wakati uhai wa binadamu unaanza sikuambayo mimba imetungwa? na unakuwa tumboni mwa mama kwa miezi tisa? hii miezi kwa nini huwa hatuitambui kuna mtu amewahi kujiuliza mimi na pata taabu kwenye hili maana kama una miaka kumi utasomeka miaka kumi na tisa badala ya miaka kumi tu naomba maoni yenu kwenye hili
 
Kwahiyo wote wenye miaka 10 in reality wana miaka 19 kwasababu walikaa tumboni kwa mama miezi 9?!

Ngoja nilale zangu mie!!
 
Shida kubwa ya MEMBERS WA JF ni kuwa kila post inapobandikwa cha kwanza wanatafuta makosa, na kosa lolote linabadirisha kabisa content ya thread
 
Umeishasema mtu anafanya SHEREHE YA KUZALIWA. Sasa kama unafanya sherehe ya kuzaliwa kwako kuna haja gani ya kufikiria miezi 9 ya mimba? Mtu anayefanya sherehe hiyo akisema ana miaka 10 huwa anamaanisha miaka kumi toka amezaliwa, sio miaka yake tangu kutungwa mimba. Umri wake halisi unakuwa miaka 10 na miezi 9 lakini umri wake toka azaliwe ni miaka 10 tu. Ndugu Mkulasabo, jamii yetu ilikwisha jiuliza mara nying juu ya hoja yako hiyo. Wewe sio wa kwanza. Labda jambo hili ni geni kwako tu. Ktk nchi ya Vietnam suala la umri wa mimba wanalizingatia sana. ukimwuliza mtu una umri gani atakwambia umri wake tangu ilipotungwa mimba yake. Mtu mwingine anakwambia ana umri wa aina mbili, sasa atakuuliza wewe mwuliza swali unataka kujua umri upi. Ukimwuliza ulizaliwa lini atakwambia mwaka ambao ukifanya hesabu ya kutoa na kujumlisha utashangaa kuona tofauti ya umri wake aliokwambia na umri wa kuzaliwa. Usipomwuliza tena ufafanuzi utaishia kusema ni mwongo. Hawa watu wa vietnam wanazingatia hilo. Kwa heri.
 
Mkuu unawaza nini, we sherehe inaitwa ya kuzaliwa halafu unataka watu washerehekee kutungwa kwa mimba??!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom