Ulipokeaje na ulikuwa wapi siku ya tarehe 17 Machi, kifo cha Dkt. Magufuli

View attachment 1906800
Japo wapo watakaochukia picha na wazo hili, pia wapo watakaofurahia kumbukizi hili. Jamaa alilaumiwa kwa mengi pamoja na kufanya mengi. Sasa hayupo na mengi yanasemwa kuhusiana na waliomrithi. Je wewe kama mtanzania usawa huu wa tozo na kesi za ugaidi usio kichwa wala miguu, unammiss huyu mwamba au la? Nashauri mchangie kwa staha na si matusi wanangu. Hebu tujikumbushe enzi zile na hizi tuweze kutafuta majibu ya maswali ambayo hadi sasa hayajapatiwa majibu. Kila la heri wanangu.
Siwezi kumkumbuka huyo Roho mbaaya...hata nifeee...
 
Wakati wa Mwinyi, watu walimkumbuka Kambarage.

Wakati wa Mkapa, watu walimkumbuka Mzee wa Ruksa.

Wakati wa Kikwete, watu walimkumbuka Mzee wa Zama za Ukweli na Uwazi.

Wakati wa Magufuli, watu walimkumbuka Kikwete (aka zake mtaweka wenyewe).

Na sasa wakati wa Samia, watu wanamkumbuka Magufuli

Hii ni aina mojawapo tu ya unafiki, watu wanakupenda wakati usiofaa na wanakuchukia wakati unaofaa...
 
Si umeambiwa kuwa kesi ya Ugaidi ilianza September mwaka jana.... Sasa hapo unajua, muasisi ni nani...!!
 
Political titan. He has left a lasting legacy on highest level of democracy.
Yani we acha tu:
Mwezi November tunaanza kujaza maji huko JNHPP na June 2022 tunaanza production ya umeme.
Mwezi December tunaanza majaribio ya Dar - Kilosa kwa treni ya umeme. Who thought Bongoland would reach that stage in just 5 years?
RIP uncle Magu, till we meet again 💪🏿🤝🏿
 
View attachment 1906800
Japo wapo watakaochukia picha na wazo hili, pia wapo watakaofurahia kumbukizi hili. Jamaa alilaumiwa kwa mengi pamoja na kufanya mengi. Sasa hayupo na mengi yanasemwa kuhusiana na waliomrithi. Je wewe kama mtanzania usawa huu wa tozo na kesi za ugaidi usio kichwa wala miguu, unammiss huyu mwamba au la? Nashauri mchangie kwa staha na si matusi wanangu. Hebu tujikumbushe enzi zile na hizi tuweze kutafuta majibu ya maswali ambayo hadi sasa hayajapatiwa majibu. Kila la heri wanangu.
Matatizo ya Watanzania ni CCM, Chanzo Cha Matatizo na katiba ya mwaka 1977
 
Matatizo ya Watanzania ni CCM, Chanzo Cha Matatizo na katiba ya mwaka 1977
Matatizo ya watanzania ni watanzania wenyewe kutojua wanachopaswa kufanya. Hiyo katiba mpya ambayo Kenya waliipata imewasaidia nini bila kujipanga. Afrika Kusini ewana katiba bora kuliko zote Afrika.
 
Nyie jamaa jamii yenu inaonekana ni ya watu wa fitna na umbea sana yani unapigiwa simu kupewa taarifa ya meko kufariki, real? Mkiacha shida zote tulizonazo kama taifa!
Mbele ya uchumi wa kati wa juu tunashida gani! Huo ni uzushi, watanzania hatuna shida, ndege tunazo, SGR tunayo, fulahiova zimajaa nyingine limasanja linagalagala bila shida na mengine mengi ambayo nchi nyingine hayapatikani.
 
Nilikuwa home najiandaa kulala...ilikuwa taarifa ya habari ya saa tano...nasikia magufuli amefariki.....tangu muda huo sijulala Tena,usingizi ulipaa kabisa.yani nilikuwa na FURAHA YA AJABU...huku nikisubiri kukuche sasa.
UNAFIKI mbaya.....ZIJAHUZUNIKA.
 
Political titan. He has left a lasting legacy on highest level of democracy.
Alikuwa anakutana na wapiga kura wake vijijini kwao kwenye makazi yao na kuyatatua matizo yao sehemu wanazo ishi wapiga kura wake.

Kiongozi wa juu kabisa kukutana na mpiga kura wake wa chini kabisa nyumbani kwake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siasa mchezo mchafu...
Alikuwa anaficha mabaya yake.
 
Sikumbuki nilikua wapi wakati napata taarifa ya kifo cha mwendazakesikusikiti
'Bora kafa'; wengi wamesema hivyo.

Lakini wapishi wengi wanaharibu mchuzi. Sasa tuna serikali gani?

Umoja wa kitaifa unahitaji plan ya kuongoza nchi itoke katika akili moja?

The road to hell is paved with good intentions. Washauri wamezidi. Askofu Gwajima juzi alikuwa anahojiwa na watu ishirini wakati watu wanne wangetosha.
 
Matatizo ya Watanzania ni CCM, Chanzo Cha Matatizo na katiba ya mwaka 1977
Matatizo ya watanzania ni watanzania wenyewe: tuna chama kinachojiita kikubwa cha upinzani kina umri zaidi ya miaka 25 sasa lakini hakina ofisi ya makao makuu, wala kiwanja wanapotarajia kujenga hiyo ofisi, lakini walikuwa wanapokea mabilioni ya pesa za ruzuku. Wakiulizwa wanasema matatizo ya watanzania ni ccm, utafikiri nao ni tawi la ccm!
Na sasa wameanzisha kisingizio kipya: katiba ya mwaka 1977 😅😅
 
Nilikuwa maporini tohara, jama mmoja alikuwa amebeti,akadamka zake sa 7 usiku kwemda kuchek mkeka kwenye ka mlima fulani mbali kidogo na geto, m 200 from nyjmba ya makazi, akaenda kuchek kama umetik maana ilibika timu moja ya chile, ile anachek akakuta amekula 700,000 na ushee, akawithdraw, sasa kabla hajarud kulala akasema apitie fb, mara nakuta na R.I.P ITV PAGE, akasema hapana ngoja nijaribu na azam the same story, akaja kutukurupusha akiwa mwenye furaha, tangu mda huo hatukulala tena tukaenda baa kumuamsha mhudumu na kuanza kula vitu
 
Back
Top Bottom