Habari
Pasipo kupoteza muda naomba niende kwenye mada na kutoa ufafanuzi yakinifu kuhusiana na ulipaji wa gharama za kuagiza gari Toka nje ya nchi.
ULIPAJI wa gharama za uagizaji wa gari Toka nje ya nchi huwa upo wa aina mbili. Aina ya kwanza ni kulipa kiasi chote Kwa pamoja yaani full payment nikimaanisha ulipaji wa Bei halisi ya gari na gharama zingine Kwa pamoja kama vile Kodi za TRA na gharama za clearance and forwarding na BIMA .
Ulipaji wa pili huwa ni by installment yaani unalipa Kwa awamu mbili, unaanza kulipa hela ya kuagiza gari, halafu baadae utalipa hela nyingine ya gharama za Kodi bima na clearance and forwarding agent fees na gharama za bandarini
Asante
OZB CAR IMPORTERS
0686153806
Pasipo kupoteza muda naomba niende kwenye mada na kutoa ufafanuzi yakinifu kuhusiana na ulipaji wa gharama za kuagiza gari Toka nje ya nchi.
ULIPAJI wa gharama za uagizaji wa gari Toka nje ya nchi huwa upo wa aina mbili. Aina ya kwanza ni kulipa kiasi chote Kwa pamoja yaani full payment nikimaanisha ulipaji wa Bei halisi ya gari na gharama zingine Kwa pamoja kama vile Kodi za TRA na gharama za clearance and forwarding na BIMA .
Ulipaji wa pili huwa ni by installment yaani unalipa Kwa awamu mbili, unaanza kulipa hela ya kuagiza gari, halafu baadae utalipa hela nyingine ya gharama za Kodi bima na clearance and forwarding agent fees na gharama za bandarini
Asante
OZB CAR IMPORTERS
0686153806