Eti niliingia kwenye mgahawa mmoja mjini,eti nikawakuta watu wanajadili kuhusu Lema,eti watu wanaojipeleka gerezani,eti mzee mmoja akasema,anachezea serikali legelege ya jk,eti wanasema alitaka akadake posho za bunge eti eti! Wewe unafikiria nn?acheni majungu na umbea