Natamani sana nioe, niwe na watoto nafikiria jinsi gani nitakavyo tumia mda wangu na hela kuwekeza kwa watoto lazma wapate elimu bora yeye ubora wa kimataifa...
siyo unawah kuwa na watoto halafu unakuja kuwatelekeza
Nilivyoona waloolewa na 30yrs nikasema kumbe muda upo kidogo miaka michache hii naweza kukutana na my mr right mara ukaja wewe na 25yrs yako ukanifanya nijione nishachelewa