skills man
Senior Member
- Nov 10, 2024
- 175
- 437
Ulioa ukiwa na miaka Mingapi?
Kwa ninSijaoa😀
HahahaKila nikifikiria kuoa 😁
What a guy☺️Nimeanza kuishi na mwanamke nikiwa na 23 nikamuoa rasmi nikiwa 31.
Hahaha 😂Kiongozi Leo umetukumbuka 😞
Ukioa naomba nije kwa sherehe Kila siku ww mada zako tuoe Kwa miaka ngapi🙌🏾Hahaha 😂
mmnhNimeanza kuishi na mwanamke nikiwa na 23 nikamuoa rasmi nikiwa 31.
Mbona umeguna ?mmnh
Iwe funzo kwa wanawake njoo tuishi kwanza then ndoa usiwe na papara.Nimeanza kuishi na mwanamke nikiwa na 23 nikamuoa rasmi nikiwa 31.
unaishije na binti wa watu mda mrefu namna hiyo bila kumwoa??,.Mbona umeguna ?
Nashukuru nilikutana na wakwe wastaarabu sana,walituamini na walituacha tujitafute na kupangilia mambo yetu kwanza .unaishije na binti wa watu mda mrefu namna hiyo bila kumwoa??,.
vipi wazazi wake hawakuwa na shida??
kama hivyo sawa,. sema pia shukuru ulikutana na mke mwelewa na mvumilivuNashukuru nilikutana na wakwe wastaarabu sana,walituamini na walituacha tujitafute na kupangilia mambo yetu kwanza .
Ilo lodogi apo linafanyeje kwa foleni?😄Kila nikifikiria kuoa 😁
21Ulioa ukiwa na miaka Mingapi?
Nakubali.kama hivyo sawa,. sema pia shukuru ulikutana na mke mwelewa na mvumilivu
Nyie nanyi hamueleweki. Mnasema siku hizi hamuoi sababu tunajirahisisha kuhamia majumbani mwenu kabla ya ndoa lakini huku mnataka kuhalalisha kitu ambacho mmekuwa mnakipinga wenyewe. Tuwaeleweje???Iwe funzo kwa wanawake njoo tuishi kwanza then ndoa usiwe na papara.
Haya Kelsea njoo tuishi pamoja ndoa itakuja tuu