Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,477
- 45,786
Sasa Tz nayo Rais nae ana ulinzi? Tz Rais hana ulinzi ila ana watu wa kuzuia Raia wasimsogelee Rais basi.
ile tabia ya Rais kuongea kwenye roof ya gari ni moja ya ishara inayo tambulisha Rais hana ulinzi ila ana watu wa kuzuia Raia wasimsogelee tu maana ni hatari sana hata Sniper aliekaa mita 1500 anaweza kumtungua
Acha NewYork wawafundishe jinsi ya kulinda viongozi maana ulinzi wa Tz ni bure kabisa
Yaani yule mpambe Kanali, kakubali hadi kumbebea Mange handbag ili ampe nafasi nzuri ya kupiga picha
Yule PSU wa Tiss nae akakubali kushika simu ya Mange ampige picha akiwa na Namba moja!!
Wakuu wa Makumbusho na Mbweni hakika leo vijana wenu wamewavua nguo mchana kweupeeee
Kweli mkuu sifa mojawapo ya walinda usalama huwa wana suspect kila kitu
Ukiachana na huyo aliyepiga picha kuna wale wadada wawili wanaokuwa pembeni na Rais mmoja alikuwa anavuta mabegi hadi nikajiuliza ulinzi anafanya saa ngapi sasa alikosekana mwingine wa kubeba.!Wale wanaitwa special weapon and tactics unit (Combat bakabaka) ni kikosi maalamu ndani ya kikosi cha ulinzi wa raisi kwa ajili ya kuboresha ulizi wa rais.
Na kwa ufupi ni kwamba kila nchi zina utaratibu wake wa ulinzi, hata kwa mama pia alipotua US kuna special security anakuwa amepangiwa na UN tena wale ndio wanaume kwelikweli achana na hawa wavulana wetu.
Ila nikirudi kwenye ile clip ya jana nimeumia mno kumuona mmoja wa walinzi wa Rais anaacha jukumu lake la ulinzi na kushika simu ya Mange kimambi (malaya wa kisiasa) na kuruhusu kupiga nae picha.
Tukifuata protokali za ulinzi hakupaswa kufanya vile kabisa, amevunja miiko ya ulinzi.
Anatuchezeaje?Ndo Maana PK Anatuchezea anavyotaka
Anagongwa sana kanajiuza ukoIla mange ana sura ngumu
Una akili timamu?Nje ya mipaka ya miji, Magufuli hakuwa na maadui. Aliteka akili zao na kujibainisha kuwa ni mtetezi.
Mkuu kwanza usibishe Kama hujui soma viena convention.Sio kweli! Obama au Bush walipokuja Tanzania,walikua wanalindwa na walinzi wa Tanzania walipokua nje ya Hoteli??
Walinzi wa connection hawajui wajibu waoNawasalimu katika jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!
Wapendwa tumekua tukiona kwa macho yetu,kwamba Mh Rais Samia ana walinzi wenye mabunduki mazito mazito pindi anapokua kwenye tukio au sehemu yoyote hapa Nyumbani Tanzania!
Wale wana usalama ni wenye miili mikubwa,warefu na wamekula gwanda la kijeshi na pia zile bunduki sijui ni aina gani,maana hua ni heavy machines!
Sasa Jana Mh Rais Samia kaingia Marekani,Nchi ya watu watukutu,wanatembea na bunduki zao mifukoni na wananunua bunduki madukani kama sisi tunavyonunua unga wa ugali kwa Mpemba au kwa Mangi!
Sasa Jana sijawaona kabisa wale wanausalama wetu,Jana kina Mange Kimambi walikua wanamsogelea Mh Rais wetu,hadi yule mpambe wa Mh Rais,akawa na kazi yakumzuia Mange Kimambi,sijui alikua anataka kumpa zawadi gani Mh Rais!
Sasa nauliza,huu Ulinzi mzito wa Mh Rais wetu,hua ni wa hapa kwetu, Tanzania pekee?? Mbona wao wakija hapa kwetu hua wanaweka Ulinzi mzito hadi kupanda kwenye paa letu la Ikulu? Airport yetu wanaichukua kwa mda wote ambao Rais wao yupo?? Je tunawaamini sana kwa ulinzi wa kiongozi wetu,ila wao hawatuamini kwa ulinzi wa kiongozi wao??