Acheni uoga kama kuna mtu analala ndani sasa lakutokea likitokea si atapambana hao ni vibaka kama kuna mtu hawawezi kuingia kwani mlinzi anamzidi nini sana huyo kijana.
Apewe silaha kama panga, mkuki, mshale na nyingine nitakuambia pm. Fikiria ni wewe upo ndani wezi wamekuvaamia kwanza unapiga filimbi na kisha kuangalia namna ya kupambana na kujiokoa ikibidi. Uoga ni mbaya sana mwaka juzi alivaamiwa jirani yangu.
Akaanza kupiga kelele ndani ya fensi yake mvua inanyesha kusikia nikafungua mlango nikaanza kurusha mawe juu ya bati lake na kipiga kelele wezi/ vibaka hawaondoki wanakagua mtu wanakuja kweli.
Walikuwa ni wenyeji wa mtaa kumbe wanajiamini na walikuja kulipa kisasi/ kumuua jamaa nikamuasha dogo nikafika getini wakaona so nao wakatoka wanazuga yukwapi akasepa wengine walitokea kwenye fensi hivyo ndivyo nilivyomuokoa jamaa.
Ukivaamiwa uko ndani na familia unafanyaje? Nje kuna vibaka 2-3 unafanjaje? Ishu ni kujiandaa kujilinda na vibaka wenye silaha za jadi. Ukiwazidi kidogo lazima wapotee ila lengo lako liwe ni kitoa uhai wao.
Kawaida kibaka akiwa anavunja au kufungua mlango akisikia umeamka