General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Niliwahi kugombea Urais wa Chuo kipindi fulani nikiwa Chuoni Bahati mbaya nikawa nimezidiwa kura na mgombea mwenza (Nikawa Makamo wa Rais wa serikali ya Wanafunzi)
Baada ya kula viapo vya uongozi nikaanza kazi ya kuongoza wanafunzi (Rais alikuwa ni mwanamke ila madaraka makubwa ni kama yaliniangukia mimi kutokana na Misimamo yangu).
Dk 15 Baada ya Kiapo Makofi yalikuwa ya kawaida nilikuwa gaidi sana (hakika kipindi kile nilihitaji ulinzi kama wa Mh Magufuli) Nilikuwa napambana na magenge ya watu kama sio kwa maneno basi hata kwa ubabe.
Ulinzi kwa marais ni kitu muhimu naweza kusema hivyo.
Nashangaa watu wanavyosema Magufuli ni Mbabe ningekuwa kwenye hicho kiti watu wangekuwa wanaondoka Nchini mmoja mmoja.Avatar yako inaonesha tuu.
Mchungaji/Nabii/Mtume anayekuuzia 'maji ya upako' au sticker uweke kwenye mlango wa nyumba yako, yeye analindwa na bodyguards kama nane hivi. Imani bana ni kitu tofauti sanaHahaha Sasa anasali nini wakati haamini ulinzi wa mungu
Hooooo! Naomba mbinu nami nitumie kwenye ndoa yangu maana nina mlinzi ambae ananilinda.Hahahahaaa uncle Ben alikuwa a najiachia sana.
Jinsi gani au ilikuwa inafanyikaje siwezi sema hapa.
Ila inawezekana sana mkawa wawili tuu, yaani mkuu na totoz pekeyao. Wakimalizana akiingia kwenye gari ndo board guard wanaanza kazi yao kumrudisha mjengoni.
Nashauri ibada zifanyike ikulu. Sio kuja kubugudhi watu kwenye ibada.View attachment 784933
kama yupi anacheki wa nyuma??Wakuu naombeni kuuliza,hivi mbona hawa jamaa (walinzi wa mkulu) kama huwa hawaaminiani vile,yaanubunaweza kuta mkulu anazifata kamera kwenye watu wengi jamaa huwa wanapigana vikumbo wenyewe kwa wenyewe kumzumguka mkulu.?
Pia ukitazama picha hiyo licha ya wengine kuweka concentration huko nyuma kumlinda mkulu ila jamaa mwingine hapo kageuka kuwacheki guards wa nyuma.
Iko vipi hii?
Hooooo! Naomba mbinu nami nitumie kwenye ndoa yangu maana nina mlinzi ambae ananilinda.
Thursd 1800 and U. UMENIELEWA?Hahahahaaa siwezi to a siri bana watanistukia, labda wakisoma hapa wakwambie wenyewe.
Ngoja tuu watakuja kukwambia.
Napenda sana kujua maisha ya Sungusungu japo wanauma.Hahahahaaa looh
Catch you. ..
Napenda sana kujua maisha ya Sungusungu japo wanauma.
Hahahahaaa usijali, uko siku utajua tuu.
Ukionesha nia na ukitia bidii.
Mkapa mbona watu wanajua wengi tu mishe zake?? Alikua anatoka ikulu usiku anaenda zake kupata kiraji pale salender,kuna mlinzi wake mstaafu tunaishi nae huku hua anatupa ma story ya town!!!Hahahahaaa looh
Catch you. ..
Anko na ule mtambi mashine ilikuwa inapanda kwel?Hahahahaaa uncle Ben alikuwa a najiachia sana.
Jinsi gani au ilikuwa inafanyikaje siwezi sema hapa.
Ila inawezekana sana mkawa wawili tuu, yaani mkuu na totoz pekeyao. Wakimalizana akiingia kwenye gari ndo board guard wanaanza kazi yao kumrudisha mjengoni.