Tetesi: Ulinzi mkali wa polisi umewekwa kwenye makaburi ya kondo huku macho ya watanzania na dunia yapo pale

Tetesi: Ulinzi mkali wa polisi umewekwa kwenye makaburi ya kondo huku macho ya watanzania na dunia yapo pale

Wewe unafikiri hii shtuma ilivyokubwa ya mauwaji ya halaiki hilo eneo la makaburi lisiwe na polisi mpka hivi sasa au wewe ni mpumbavu
Una uhakika walichoongea CNN ni kweli ? Maana huku nimepita sijaona chochote
 
Tetesi: Ulinzi mkali wa polisi umewekwa kwenye makaburi ya kondo huku macho ya watanzania na dunia yapo pale.

Hakuna cha kuficha hata wakizima mitandao,

Je, #D9 watanzania tutaenda kuyachimbua tukiona mambo hayaeleweki, sasa watachagua walinde ikulu au walinde makaburi.
Satellite safari hii itaonyesha Makamanda wakilinda (wakifukua) makaburi ya halaiki
 
Hivi kwanini wasiruhusu makaburi yafukuliwe kama hawajafukia hapo?
Kuna namna tu mambo yatabumbuluka hata wafuche vipi. Ukute wakuu wote wa vyombo wapo kwenye tinted wanafuatilia mambo hapo.
 
Hii taka taka zamani ilikua ina akili ila toka iungane nao limekua choko
20251121_182709.jpg
 
Back
Top Bottom