Tetesi: Ulinzi mkali wa polisi umewekwa kwenye makaburi ya kondo huku macho ya watanzania na dunia yapo pale

Tetesi: Ulinzi mkali wa polisi umewekwa kwenye makaburi ya kondo huku macho ya watanzania na dunia yapo pale

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Tetesi: Ulinzi mkali wa polisi umewekwa kwenye makaburi ya kondo huku macho ya watanzania na dunia yapo pale.

Hakuna cha kuficha hata wakizima mitandao,

Je, #D9 watanzania tutaenda kuyachimbua tukiona mambo hayaeleweki, sasa watachagua walinde ikulu au walinde makaburi.
 
Tetesi: Ulinzi mkali wa polisi umewekwa kwenye makaburi ya kondo huku macho ya watanzania na dunia yapo pale.

Hakuna cha kuficha hata wakizima mitandao,

Je, #D9 watanzania tutaenda kuyachimbua tukiona mambo hayaeleweki, sasa watachagua walinde ikulu au walinde makaburi.
Kadri upepo uvyozidi kuvuma ndivyo nyeti za kuku zinavyozidi kubaki wazi...
 
Tetesi: Ulinzi mkali wa polisi umewekwa kwenye makaburi ya kondo huku macho ya watanzania na dunia yapo pale.

Hakuna cha kuficha hata wakizima mitandao,

Je, #D9 watanzania tutaenda kuyachimbua tukiona mambo hayaeleweki, sasa watachagua walinde ikulu au walinde makaburi.
Acha ramli chonganishi Mimi naishi huku na hakuna kitu kama hicho ndo maana hata CNN hawajathibitisha ni uvumi Tu kama wa kiwanda cha wazo
 
Tetesi: Ulinzi mkali wa polisi umewekwa kwenye makaburi ya kondo huku macho ya watanzania na dunia yapo pale.

Hakuna cha kuficha hata wakizima mitandao,

Je, #D9 watanzania tutaenda kuyachimbua tukiona mambo hayaeleweki, sasa watachagua walinde ikulu au walinde makaburi.

Kama walipata ujasiri wa kuua hadharani kwa kigezo kwaba waliwaua wahuni, kinachowatisha sasa ni nini. Ni ngumu sana kuficha miili ya watu zaidi ya 1000 kwa wakati mmoja.
 
IMG-20251121-WA0044.jpg
 
Back
Top Bottom