Ulinzi mkali Dar. Ni kama na leo kuna kesi ya Lissu. Kinachojiri ni nini

Ulinzi mkali Dar. Ni kama na leo kuna kesi ya Lissu. Kinachojiri ni nini

Kuanzia Mwenge, Ubungo na hadi kwenda mjini. Polisi wamejaa na gari zao. Kama wako tayari. Tayari kwa nini? Chadema wana mkutano au maandamano?
Inasikitisha kama Tu kama kifo cha mtoto kipenzi cha Imam wetu Ali Asghar aliyekufa mkononi mwake na mshale shingoni. Imam wetu kipenzi Hussain ibn Ali ASmkombozi wa waislamu aliyeuwawa kikatili kuutetea, kuulinda na kuupigania uislamu dhidi ya dhulma, ukandamizaji, unyanyasaji na uonevu alilmkumbatia na kulia Sana.

786312df323142b2d7fde862af70fc7c.jpg
 
Kuanzia Mwenge, Ubungo na hadi kwenda mjini. Polisi wamejaa na gari zao. Kama wako tayari. Tayari kwa nini? Chadema wana mkutano au maandamano?
Ni mimi nipo na shemeji yenu kwenye chopa ya Chaumma , tutakuwa na mikutano mikubwa kwenye hayo maeneo uliyoyataja, hivyo kwa usalama wa kila mmoja nimewaambia waimarishe ulinzi.
 
Inasikitisha kama Tu kama kifo cha mtoto kipenzi cha Imam wetu Ali Asghar aliyekufa mkononi mwake na mshale shingoni. Imam wetu kipenzi Hussain ibn Ali ASmkombozi wa waislamu aliyeuwawa kikatili kuutetea, kuulinda na kuupigania uislamu dhidi ya dhulma, ukandamizaji, unyanyasaji na uonevu alilmkumbatia na kulia Sana.

View attachment 3411966
Utaokota makopo soon
 
Back
Top Bottom