Ulinitesa sana, sababu nilikupenda

Ulinitesa sana, sababu nilikupenda

Nafikiri wewe ni mzoefu sana hapa JF na ni moja ya watu walioona thread nyingi sana na mabadiliko ya aina mbalimbali kwa miaka yote uliyokuwepo kama ya kiuandishi,misemo,matusi na changamoto nyingine

Kwa uzoefu wako tayari najua unafahamu kuna watu wengine wanaleta mada ambazo either zimewakuta au wamezisikia hii yote ni kwa sababu tunatumia id fake

Kikubwa ni kuleta kisa ambacho watu wanaweza kuchangia full stop.
swadaktaaa, wengi hawaamini wanapo ambiwa ukweli. ukiwadanganya ndio wanaamini
 
Mwanamke anafikiaje hatua ya kukunasa kibao mwanaume?? Loh
yote maisha tu, sie wengine hatuwezi kupigana na wanawake. ni udhaifu wa level ya chini sana kwa mwanamme kupigana na mwanamke, especially mwanamke anaempenda.
 
yote maisha tu, sie wengine hatuwezi kupigana na wanawake. ni udhaifu wa level ya chini sana kwa mwanamme kupigana na mwanamke, especially mwanamke anaempenda.
Sjasema umpige, nasemea uanaume wako, stand as a man
 
Aiseeeee. Pole sana mkuu. Hawa viumbe ni vizuri tukaishi Leo kwa akili sana.
 
Kwanini usiende kwa anaekuelewa sana?


Natamani sana ingekuwa hivyo,

Tatizo moja alilonalo sasa huyu kwanza kabisa hasikilizi maelekezo kutoka kwangu hata kidogo

Yaani anacho amini yeye ndo anataka kiwe vile yaani naweza kaa nae tukaongea mambo mengi sana anakuwa kama kakuelewa ila mkiachana na yale mambo anayaacha

Sasa mara nyingi mambo yakimharibikia anarudi kunismulia sio siri ile kitu inanitia hasira sana yaani sana

Kingine sasa mimi ni kama sex addict hivi yaani napenda ngono na nikikutana na mtu walau nitembeze nne ndo kidogo najisikia kama nimecheza mpira

Ila huyu mwenzangu hata kumaliza moja tu ile ni shughuli

Yaani anabana miguu mpaka mvutane weeee mrudi huku muende kule sio mzoefu coz mm ndo nilisafisha njia ila ni almost mwaka na nusu hazoei

Kwa staili aiseeee siwezi kuvumilia
 
Hahaha yani hapo ulipo kubali kuzabwa kibao na huyo mwanamke ndipo ulipo ni kera...alijua wewe ni mjinga mjinga ndio maana alio akupige....Hivi unaanzaje kupigwa vibao na mwanamke na wewe una angalia tuu..... Hayo mapenzi ya kizungu yana waponza sana.....
Mwanamke anacho penda zaidi kwa mwanaume ni pale tuu mwanaume anapokuwa imara kiuchumi....
Siyo mambo yote unaweza kutumia nguvu kutatua tatizo. Hekima na busara ni njia nzuri sana. Km nayy angetumia nguvu unafikiri angekuwa wapi? Mtoa uzi ametumia busara sana.
"Karma is a bitch''
 
Hahahhaa halaf akatulia
Kutulia haimainiishi alishindwa kumpa vitasa. Nampongeza sana mtoa uzi sbb unaweza ukampiga ukamvunja hata mbavu ambapo baadae ingemgharimu hata kufungwa jela na faini pia. Baada ya kumpiga akaenda huyo mwanamke alipata nini? Malipo ni hapa hapa duniani. Ktk maisha yako yote epuka ugomvi sbb unaweza kupiga ukaua ukafungwa jela maisha au kunyongwa sasa hapo utakuwa umepata faida gani?
 
Kutulia haimainiishi alishindwa kumpa vitasa. Nampongeza sana mtoa uzi sbb unaweza ukampiga ukamvunja hata mbavu ambapo baadae ingemgharimu hata kufungwa jela na faini pia. Baada ya kumpiga akaenda huyo mwanamke alipata nini? Malipo ni hapa hapa duniani. Ktk maisha yako yote epuka ugomvi sbb unaweza kupiga ukaua ukafungwa jela maisha au kunyongwa sasa hapo utakuwa umepata faida gani?
asante mkuu, umemaliza mjadala. wengi humu wanadhani nduvu ndio msuluhishi wa kila mzozo. muda mwingine subira ndio the only solution.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom