nimemsamehe , ila sirarudiana nae, sasa hivi nnae ambae ananipenda na mie nampenda.Akakuzaba kibao? Huko alikotegemea atapata pumziko kumemtenda sivo ndio mana amerudi, kwa kua umemsamehe sawa lakini ningekua ni wewe ningemsamehe huku namtakia kila heri kimoyomoyo maisha yaende tu,
Hongeranimemsamehe , ila sirarudiana nae, sasa hivi nnae ambae ananipenda na mie nampenda.
Nina mtu wangu mmoja ananipenda mpaka mm najua ananipenda ila sasa mm simuelewi kabisaupo sahihi mkuu
Nashkuru kwa ushauriii ila nampenda asee basii tuu...leo nimechukua chumba ili aje ata tuonane na tuongee vizurii coz tunapokaa hamna mazingira mazuri ya kukaa, nampigia sim saaa za kukutana hapokei sim imeniuma sanaafanya uchunguzi, kama ukijiri dhirisha hakupendi achana nae. usi force mapenzi, love is natural.
Ndio ilivo unaempenda hana habari na wewe usiempenda anakufa juu yakoNina mtu wangu mmoja ananipenda mpaka mm najua ananipenda ila sasa mm simuelewi kabisa
mapenzi na siasa ni watoto wa baba mmoja mama mmoja.Nashkuru kwa ushauriii ila nampenda asee basii tuu...leo nimechukua chumba ili aje ata tuonane na tuongee vizurii coz tunapokaa hamna mazingira mazuri ya kukaa, nampigia sim saaa za kukutana hapokei sim imeniuma sanaa
Ivii kwa nn mapenzi yapo ivii unayempenda haeleweki kabsaaa...inshort mapenz ni pasua kichwa apa nawaza sjui niwe nanunua papuch tuu niachane na kudate na mtu kwa malengoo
Fuvk hii type ya girls kama hanitaki si aniambie tuu
Mhh fresh mkuumapenzi na siasa ni watoto wa baba mmoja mama mmoja.
uongo, ulaghai,usaliti ndio rules za mchezo.
Kweliii asante kwa kunikumbushaaila mkuu siku ukija kupata anaekupenda usije ukamuumiza. hizi bahati hutokea mara moja tu maishani.